dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Habari zenu waungwana,
Kuna biashara nilikuwa nafanya, yakuchukua mahindi hadi tone kumi kutoka mikoani, kuleta DSM. Sasa soko limeyumba kidogo hapa DSM, nikaamua kuanza kununulia hapahapa.
Ishu inakuja pale unapompa mtu mzigo , halafu kuikusanya ile pesa inachukua hadi wiki, ukiangalia faida yenyewe sio ya kuridhisha kabisa .
Kwa mfano unaweza mpelekea mtu tone 4, faida inakuwa kama 80,000 , inakaa siku tatu hadi wiki na zaidi ni hasara kwakweli.
Kuna mdau alileta uzi juzi hapa aliomba ushauri , alikuwa anataka kununua pikipiki aina ya boxer, watu wakamshauri vizuri sana, kuna mdau mmoja akamshauri kama kweli anataka kufanya biashara amtafute PM, faida sikumbuki vizuri kama sio kwa wiki ama kwa mwezi anaingiza laki nane.
Kama kuna mtu anayo hiyo link naiomba aniwekee hapa, ili nimtafute huyo jamaa.
Nawasilisha
Kuna biashara nilikuwa nafanya, yakuchukua mahindi hadi tone kumi kutoka mikoani, kuleta DSM. Sasa soko limeyumba kidogo hapa DSM, nikaamua kuanza kununulia hapahapa.
Ishu inakuja pale unapompa mtu mzigo , halafu kuikusanya ile pesa inachukua hadi wiki, ukiangalia faida yenyewe sio ya kuridhisha kabisa .
Kwa mfano unaweza mpelekea mtu tone 4, faida inakuwa kama 80,000 , inakaa siku tatu hadi wiki na zaidi ni hasara kwakweli.
Kuna mdau alileta uzi juzi hapa aliomba ushauri , alikuwa anataka kununua pikipiki aina ya boxer, watu wakamshauri vizuri sana, kuna mdau mmoja akamshauri kama kweli anataka kufanya biashara amtafute PM, faida sikumbuki vizuri kama sio kwa wiki ama kwa mwezi anaingiza laki nane.
Kama kuna mtu anayo hiyo link naiomba aniwekee hapa, ili nimtafute huyo jamaa.
Nawasilisha