Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

1.shida iko kwako...mambo ya mjini na wanawake wa mjini huyajui.....huyo mwanamke ni wa mjini....anawachekecha....

2.ww kwenye mapenzi bado....ila kwasababu unampenda huna pa kwenda....komaa nae

3mpe hela huyo mwanamke x wake anampa hela ndio maana ww huelewi

4.ukikutana nae next time hakikisha unamla rojo.....
 
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Brother muache huyo ni kahaba......kaa tulia endelea na maisha mengine wanawake wa sasa ni changamoto sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
pole sana mkuu.. sehemu ya mwisho umeomba umfanye nini huyo mwanamke .. mimi nakujibu huna chakumfanya na pia amekuwa mkweli kwako mapema so ukweli ni huo na chakufanya ni kuukubali na kuendelea na maisha yako kumpigia pigia ama kumlilia hakukusaidii zaidi ya kumpa bichwa .
NARUDIA : FANYA MAMBO YAKO ACHANA NAE achilia hivyo visasi wapo waliofanya mazuri zaidi yako wakaachwa tena kwe fadhaa kubwa zaidi yako . lakini sasa wana maisha mengine .
POLE SANA KIONGOZI
Hata Mimi ndivyo nlikua nafikiria kufanya lakini nafsi inakataa kukubali hii Hali sijui kwa nini
 
1.shida iko kwako...mambo ya mjini na wanawake wa mjini huyajui.....huyo mwanamke ni wa mjini....anawachekecha....

2.ww kwenye mapenzi bado....ila kwasababu unampenda huna pa kwenda....komaa nae

3mpe hela huyo mwanamke x wake anampa hela ndio maana ww huelewi

4.ukikutana nae next time hakikisha unamla rojo.....
Kusema alikua anatuchekecha naweza kukubali, hayo mengine sio sahii!! Mm Ni ekaa nae muda huo hakuna anachopata kutoka kwa x wake , kikubwa niseme tu ndg zake ndio wameingilia na wakafanikiwa kumuwini
 
Siku aliposema usije tena kwake ndio siku ambayo ulitakiwa kukata mawasiliano nae! Wrong move na umetumika vibaya kweli mzee sina la ziada zaidi ya kukupa pole sana😅

Sikuingine usimuamini mwanamke hata kidogo. Hata kama ulimkuta ametundikiwa dripu usimuamini mwanamke ever! Mwanamke akikupa mbunye piga tu ila usimuweke sana akilini.
 
Hata Mimi ndivyo nlikua nafikiria kufanya lakini nafsi inakataa kukubali hii Hali sijui kwa nini
Nafsi yako ifanye ikubali hali tu mkuu! Kama mungu kakujalia vichenchi malaya ni wengi mjini kamata mmoja uhonge kidogo uwe unajipigia itakusaidia kumsahau huyo shankupe muuza unga!

Tafta pisi moja kali sana uwe unaizibua mara kwa mara lazma umsahau huyo mwendawazimu na X wake!
 
Mkuu muda uliokutana na huyo mwanamke wala sio mrefu kiasi cha kusema umevurugwa, ushaachwa hivyo achika. unasema umewekeza lakini kwenye stori ako hakuna sehemu umesema umewekeza zaidi ya kumsaidia akiwa na matatizo ambalo ni jambo jema binadamu kusaidiana.
 
Atakutafuta uyu mwanamke na x wake wanapendana ila awaishi kugombana baada ya miez kazaa watagombana na atakurudia ww kwa kuendelea na unajimu huu nitafutie jina la mama yake uyo binti niendelea kunajimu
 
1.shida iko kwako...mambo ya mjini na wanawake wa mjini huyajui.....huyo mwanamke ni wa mjini....anawachekecha....

2.ww kwenye mapenzi bado....ila kwasababu unampenda huna pa kwenda....komaa nae

3mpe hela huyo mwanamke x wake anampa hela ndio maana ww huelewi

4.ukikutana nae next time hakikisha unamla rojo.....
Ushauri wa kibabe [emoji23][emoji23]
 
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Laki tano tu unawaza kufanya kitendo kibaya ? Kuna shida mahali
 
Alichonifanyia huyu mwanamke sijui kwa kweli, na alivyokua ananiambia alichofanyiw na yule X wake sijui kwa kweli yaani nimekubali mwanamke sio mtu wa kuamimi hata siku moja
Watu wengine wameletwa katika maisha yetu , sababu kubwa ni waje kutufundisha jambo .
Samehe na usonge mbele
 
Back
Top Bottom