Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Umezaliwa nae
1[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]???.umemuoa??..kakuzalia??..amekuzaa??.hayo yote hajafanya ya nini kumng'ang'ania..hesabia umetoa sadaka....ushapoteza vingap....wanakufa watu tunasonga ndo sembuse huyo mwanamke...acha ufala...

Km vipi nenda kamuue..ukakae jela maisha kwa kuendekeza akili za chini

Amka fanya kazi ..tafuta hela mwanaume acha kulia lia....
Utasahau km ulivyosahau mengine
 
Kijana wachuchu wapo bwerereeeee, katika maisha jifunze kusogea mbele pale mpenzi anapokata kamba...

Kuna makosa uliyofanya, mosi, ni wewe kukubali kwenda kuishi kwa mwanamke badala ya yeye kukaa kwako...

Pili, ni pale ulipoanza kuona X wake anaanza kufanya fujo, ulipaswa umpige chini bi mkubwa kwamba huwezi kuwa naye hadi amalizane na mtu wake...
Hiyo paragraph ya Pili nimeipenda ilitakiwa nifanye hivyo Ila kwa ubwege wmg nkangangana kumbe kikao kilishapitisha uamuzi X arudi hapa nyumbani,, so far mm Nina kwangu naishi na wanafamilia tatizo la kumleta kwangu lilishindikana baaada ya kukosa mtu atakayekua anamuamgalia nyumba tukaamua tuwe tunafanya yetu pale kwake
 
Mbio zako ndio zitazo kuokoa.Achana na wake zawa tu miaka10 unadanganywa wameachana??? Tafuta mwanamke uoemabinti wako lundo.
Sio MKE wa mtu bro, huyo X Ana wake wawili nyumbani kwake hapa Ni Kama mchepuko wake japo wamekaa kwenye mahusiano kwa muda wote huo
 
Jamiiforums.... ... Mada hii Muipin

Ikawe msaada kwa Vijana hawa wanaowekeza Muda, Pesa kwa wanawake.



 
So lawama zako ni kwamba kakupotezea muda? Ilihali ilijua kuwa tyari ni mke wa mtu je hukutegemea hayo? Hukupiga mahesabu yako vizuri
Hakua MKE wa mtu!! Miezi 11 niko nae na huyo X wake alikua anajua , sema kilichotokea hata sijui Ni nn
 
Tafuta hela mkuu,mzigo umekuka miezi 11 laki tano yako imeisha ,tafuta hela
Mimi Ni mpambanaji mkuu na mizigo ninayo yenye kiwango hata kumzidi Ila huwezi amini anavyoipeleka roho yangu puta!najiuliza mbona nimekua hivi kwa Nini??
 
Hukujifunza kwa ile kesi ya uhujumu uchumi? Naona kama unapenda sana majengo ya serikali. Unapata hasara gani ukimuacha afurahie maisha kwa msaada wako uliompatia? Ichukulie kama sadaka na furahia kuona hao wawili wakifurahi sababu yako.
Sawa mkuu!! Wala mm Ile laki 5 siiwazii maana nilisaidia sio kwa matarajio ya kurudishiwa
 
Umezaliwa nae
1[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]???.umemuoa??..kakuzalia??..amekuzaa??.hayo yote hajafanya ya nini kumng'ang'ania..hesabia umetoa sadaka....ushapoteza vingap....wanakufa watu tunasonga ndo sembuse huyo mwanamke...acha ufala...

Km vipi nenda kamuue..ukakae jela maisha kwa kuendekeza akili za chini

Amka fanya kazi ..tafuta hela mwanaume acha kulia lia....
Utasahau km ulivyosahau mengine
Asante kwa ushauri , najua ntasahau na litapita, kinachoniumiza tumeachana bila kukosana
 
Story fupi lakini imekatwa katwa hadi kero. Me nadhani umekomeshwa maana hata kuandika hujui
 
Ndugu yangu pole sana huyo mwanamke kwanza ni team ya mjini lkn pia alikua na wewe kwasababu alikua ananufaika na wewe yani ilikuwa kula kwako kulala kwa x wake

HITIMISHO: achana hawa watu ni urithi wetu afu wapo kibao mwanangu
 
Mimi Ni mpambanaji mkuu na mizigo ninayo yenye kiwango hata kumzidi Ila huwezi amini anavyoipeleka roho yangu puta!najiuliza mbona nimekua hivi kwa Nini??
Ahaaaaa usiwaze sana mkuu futa namba yake na picha zake kwenye simu tafuta mwanamke mwingine wa kukupa kampani,binadamu tumeumbwa kusahau,hakuna mtu hajawahi kuachwa
 
Sio MKE wa mtu bro, huyo X Ana wake wawili nyumbani kwake hapa Ni Kama mchepuko wake japo wamekaa kwenye mahusiano kwa muda wote huo
Mku mwanamke hawezi kumiliki wanaume wawili mkafahamiana. Achana na huo mzigo utakutoa roho.
 
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani ! Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!! Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!! Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana


Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
We nae hujui hapo uliwekwa kama stress releaser a.k.a kipozeo ili aweze kupambana na separation sasa amerudiwa weee wa kazi gani.
We nenda ukamfanyie baya ukose vyote..
Mtaani K zipo nyingi sana why uteseke na K moja?? Hata hapa JF zipo K za kutosha sasa Leo mtu mmoja amekukata unapoteza tena mda wako ili iweje?? Futa vumbi tafuta mona ichakate kisawa sawa....hadi stress zikipungua utakuwa sawa
 
Mnatoaga wapi ujasiri wa kuthubutu kuingia sembuse kulala nyumba ya mwanamke?
Hili Ni tatizo,
IPO siku watakutana na wanaolipia Kodi hizo nyumba afu wacharangwe mapanga[emoji4]
 
Back
Top Bottom