Msaada tafadhalini: Nifanyeje nimwamshe mke wa mtu kwani anasafiri alfajiri hii na bado amelala

Msaada tafadhalini: Nifanyeje nimwamshe mke wa mtu kwani anasafiri alfajiri hii na bado amelala

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna mdada mmoja anatakiwa saa 10 hii awe ameshaamka ili ajiandae kwani anasafiri na basi la saa 11 na nusu kwenda mkoani kagera na kibaya zaidi ni mke wa mtu na tokea saa 9 kengele ya kumwamsha " alarm " imekuwa ikilia tu na yeye nadhani sijui ni kwa usingizi mtamu au " majamboz " ya mumewe anaizima na mpaka muda huu naandika uzi huu bado hajaamka na kujiandaa na imebaki saa moja tu basi analopanda lianze safari. nasikia uchungu sana kwani jana usiku aliniaga kuwa leo anasafiri na mpaka sasa bado hajaamka na napatwa na hamu ya kwenda kumuamsha ila kuna kizingiti kikubwa ambacho ni mumewe ambaye ni " mkorofi "na ana " wivu " balaa na ni mcheza " karate " maarufu tu haa mtaani kwetu hivyo naogopa! akili inanituma nijitolee nikamwamshe ila mwili unakuwa mzito kutenda na unasita sita. nawaombeni ushauri members wenzangu je nifanyeje ili niweze kumsaidia huyu dada jirani yangu aamke na awahi usafiri wa kwenda kagera? nipeni majibu ya haraka na upesi ili fasta fasta nimsaidie mwenzetu huyu. mama yangu kengele imelia tena sasa hivi jamaa namsikia anamwambia " zima na lala ". madirisha yetu hayapo mbali kivile!
 
Umbeya tu unakusumbua
Hapo umeshiba daku unaanza kusumbua

hebu toa jibu haraka bhana niweze kumsaidia huyu dada aweze kuwahi " usafiri " kwa kwenda kwao huko bara. na nipo serious tumsaidie jamani.
 
inawezekana na yeye " mumewe " amesahau kuwa mkewe leo na alfajiri hii anatakiwa kusafiri kwani hata jana usiku alirudi akiwa " tungis " mno.
Unajuaje kama ni lazima arudi leo,huyo mumewe atatafutiwa maneno tu,kama unamuogopa mtu aliye mka wa mbali basi chukua maji baridi mwagia kitanga muamke wote.
 
Kama una karedio kene sound turbo achia sauti mpaka mwisho jifanye umelalia remote
 
Acha kufuatilia mambo binafsi ya watu.

Kama amehairisha safari?
Wewe kila siku na topic za masuala binafsi ya watu, huoni aibu.
 
Isije ikawa umeshirikiana nae kufake hyo safari upate gegedo la wiki ndo mana unahaha sahv
 
We si bure..lazima kuna kitu na huyo mke wa mtu..Kibano kinakunyemelea ipo siku yako.
 
Si bure,huyu jamaa ni mzinzi mkubwa,wewe mke wa mtu wa nini? Anakuuma nini? Tiket ulimkatia wewe? Aende au aachwe na basi yanakuhusu? Wewe unamgegeda huyo mwanamke si bure,na kwa jinsi wanawake wa kagera wengi wao walivyo wepesi wa kugawa papuchi,we unazini na huyo mama,maisha yake yanakuhusu nini? Ulivyo huna aibu unasema kabisa eti roho inakuuma,mjinga sana wewe,oa wa kwako ili ikuume vizuri.
 
inawezekana na yeye " mumewe " amesahau kuwa mkewe leo na alfajiri hii anatakiwa kusafiri kwani hata jana usiku alirudi akiwa " tungis " mno.

Safari ilipo pangwa ulihusishwa? Mme amesikia alarm na amemwambia lala kwa maana yuko macho, sasa wewe unahusikaje na issues za jirani.
Nakushauri usijiingize kwenye swala la mtu na mkewe isije ikasomeka vingine.
Je huyo mdada alikuaga wewe tu kwenye nyumba hiyo? Kama wapo wengine kwa nini hawahangaiki kama wewe.
Mtume mkeo akamwamushe mwanamke mwenzake kama huna mke jihadhali usije nunua kesi.
 
Back
Top Bottom