T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Mmmmmmmmmmkaamka muda si mrefu na sasa namwona anasugua miguu yake baada ya kutoka kuoga na namwona hapa dirishani kwangu tena akiwa kavaa kanga moko tu. yaani wewe acha tu mkuu huyu mtoto natamani hata leo agombane na mumewe nizoe mzigo kwani kama uwajuavyo " wahaya " walivyo na " mawezere " ya kufa mtu. ni full midadi!