Msaada tafadhalini: Nifanyeje nimwamshe mke wa mtu kwani anasafiri alfajiri hii na bado amelala

Msaada tafadhalini: Nifanyeje nimwamshe mke wa mtu kwani anasafiri alfajiri hii na bado amelala

Hizi ID zenye majina ya dawa ni hodari kwa kutunga hadithi/ umbeya ...

kwani kuna id gani nyingine unayoijua yenye jina la dawa humu jf kushinda hii tu yangu? naitamani sana kuijua hiyo id kwani nilijua nipo peke yangu tu.
 
kwani kuna id gani nyingine unayoijua yenye jina la dawa humu jf kushinda hii tu yangu? naitamani sana kuijua hiyo id kwani nilijua nipo peke yangu tu.

Pekenyua tu mkuu utaipata; ila nahisi unaitambua kwani nayo huwa ina story kama zako hivihivi
 
Pekenyua tu mkuu utaipata; ila nahisi unaitambua kwani nayo huwa ina story kama zako hivihivi

chagua moja kati ya hizi zifuatazo halafu niambie ni id gani nyingine ipo humu ya dawa dawa kama unayoisema :

  • panadol
  • asprin
  • arv
je ni ipi kati ya hizo? kwani katika kupekenyua kwangu kote ndiyo nimezigundua hizo id tatu tu tajwa za dawa dawa zilizomo humu jf.
 
Nyumba za kupanga shida

we acha tu kaka kama ulijua. yaani hata akiwa anabanduliwa na mumewe huwa naona kila kitu na muda mwingine wananiomba ushauri kwa kutoa sauti wakiwa wanabanduana jinsi ya kukunana barabara!
 
chagua moja kati ya hizi zifuatazo halafu niambie ni id gani nyingine ipo humu ya dawa dawa kama unayoisema :

  • panadol
  • asprin
  • arv
je ni ipi kati ya hizo? kwani katika kupekenyua kwangu kote ndiyo nimezigundua hizo id tatu tu tajwa za dawa dawa zilizomo humu jf.

Unatania mkuu ...na umeiacha makusudi ili nikutajie;
Jaribu tena kupekenyua....
Back to the topic: Huyo Mke wa mcheza karate keshasafiri au bado yupo?
 
Unatania mkuu ...na umeiacha makusudi ili nikutajie;
Jaribu tena kupekenyua....
Back to the topic: Huyo Mke wa mcheza karate keshasafiri au bado yupo?

namwona anaenda chooni sasa sijui kuoga au haja kubwa ila yawezekana labda akaondoka kesho alfajiri au hata baadae na "mbung'o" ndege.
 
Huna adabu kabsa, kwan alikuambia umuamshe? Unajuaje kama amegaili safari? Elimu imekusaidia kwenda kuzimu
 
Vipi aliamka?

kaamka muda si mrefu na sasa namwona anasugua miguu yake baada ya kutoka kuoga na namwona hapa dirishani kwangu tena akiwa kavaa kanga moko tu. yaani wewe acha tu mkuu huyu mtoto natamani hata leo agombane na mumewe nizoe mzigo kwani kama uwajuavyo " wahaya " walivyo na " mawezere " ya kufa mtu. ni full midadi!
 
Ndio matatizo ya kukosa nafasi ya kujiunga na kidato cha 5
 
Back
Top Bottom