GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Mbona unajikanyaga umesema ameamriwa kuzima taa wakati amemelala? Alafu kati ya mke, mme na doezi nani anajua umuhimu wa safari?
jirani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajikanyaga umesema ameamriwa kuzima taa wakati amemelala? Alafu kati ya mke, mme na doezi nani anajua umuhimu wa safari?
Na je kama ameahirisha safari?
mwezi mchanga.
Hizi ID zenye majina ya dawa ni hodari kwa kutunga hadithi/ umbeya ...
Acha ufalasi
kwani kuna id gani nyingine unayoijua yenye jina la dawa humu jf kushinda hii tu yangu? naitamani sana kuijua hiyo id kwani nilijua nipo peke yangu tu.
Pekenyua tu mkuu utaipata; ila nahisi unaitambua kwani nayo huwa ina story kama zako hivihivi
Nyumba za kupanga shida
chagua moja kati ya hizi zifuatazo halafu niambie ni id gani nyingine ipo humu ya dawa dawa kama unayoisema :
je ni ipi kati ya hizo? kwani katika kupekenyua kwangu kote ndiyo nimezigundua hizo id tatu tu tajwa za dawa dawa zilizomo humu jf.
- panadol
- asprin
- arv
Unatania mkuu ...na umeiacha makusudi ili nikutajie;
Jaribu tena kupekenyua....
Back to the topic: Huyo Mke wa mcheza karate keshasafiri au bado yupo?
namwona anaenda chooni sasa sijui kuoga au haja kubwa ila yawezekana labda akaondoka kesho alfajiri au hata baadae na "mbung'o" ndege.
Choo cha nje. Inaelekea uko uswahiline e?
Vipi aliamka?