T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Mmmmmmmmmmkaamka muda si mrefu na sasa namwona anasugua miguu yake baada ya kutoka kuoga na namwona hapa dirishani kwangu tena akiwa kavaa kanga moko tu. yaani wewe acha tu mkuu huyu mtoto natamani hata leo agombane na mumewe nizoe mzigo kwani kama uwajuavyo " wahaya " walivyo na " mawezere " ya kufa mtu. ni full midadi!
Ndio matatizo ya kukosa nafasi ya kujiunga na kidato cha 5
sema ndiyo tatizo la kukosa nafasi ya kwenda kufanya " phd " yangu mbwiga mkubwa wewe! hiko kidato cha tano usikute hata wewe hujafikia!
Mzee wa upopoma una ID tatu zote una mwandiko unaofanana
mmmh nafikiri ukikatwa mshipa mmoja wa akili uliokuwa nao bas utakua kichaa....nainanysha ww ni bwabwa sio bure
phd unaweza kuandika ujinga kama huo? kumbe hata hiyo ya kujiunga na kidato cha 5 nilikosea utakuwa ni wa STD VII wewe
ujinga na upumbavu wa mtu unataokana na kile anachokiona na kukipokea na mpaka hapa na kwa haya majibu yako nimeshajua uwezo wako wa kufikiri lakini sikulaumu sana wewe kwani yawezekana siku " walipokupigia bao " wahusika walikuwa wanakunywa vidonge vyao vya " ukichaa " huku wakiwa " wamepombeka "sana ndiyo ukapatikana " poyoyo " wewe.
Mbona unatoka mapovu mkuu sio kosa langu ni kosa la wazazi wako kutokupeleka shule.
Hivi hii Post bado ipo?na bado inapata replies??
Piga kelele za mwizi. Wakiamka na kutoka unamwambia ulikuwa unaota upo kituo cha basi unasafiri leo saa kumi alfajiri sasa wakati unawahi mwizi akajaribu kukuibia.
Piga kelele za mwizi. Wakiamka na kutoka unamwambia ulikuwa unaota upo kituo cha basi unasafiri leo saa kumi alfajiri sasa wakati unawahi mwizi akajaribu kukuibia.
Piga kelele za mwizi. Wakiamka na kutoka unamwambia ulikuwa unaota upo kituo cha basi unasafiri leo saa kumi alfajiri sasa wakati unawahi mwizi akajaribu kukuibia.
Kumbe kazi yako kuamsha watu Usiku?
Unalipwa shilingi ngapi....
Wewe utakuwa shoga.
Mwanaume halisi hawezi Kuwa mbea na kufuatilia mambo binafsi ya watu.