Nimekupata mkuu budget yangu ni 200K@ ambayo ni 800K kwa zote nne. kwa bajeti hii naweza pata aina ipi kati ya hizo tatu.Mkuu, budget ndio itakayo sema. Kuna tyre size 14" zinauzwa hadi 85,000Tsh Kariakoo, wakati kuna brands size hiyo hiyo zinauzwa 450,000Tsh.
Me nadhani tungeanzia budget kwanza.
Kama budget sio issue basi Michelin ndio kila kitu.
unataka size gani ya tairi??maana kila size na bei yakeNimekupata mkuu budget yangu ni 200K@ ambayo ni 800K kwa zote nne. kwa bajeti hii naweza pata aina ipi kati ya hizo tatu.
Kama ww ni mtu wa rough road chukua bf Goodrich, kama ni wa lami sana chukua Michelin. Nenda Superdoll pale pugu road ndio dealer mkuu kwa tz, tena wana offer ukinunua tairi nne unapata moja ya bureWasalaam!
Heri ya mwaka mpya 2018.
Ninampango wa kubadilisha tairi kwenye kigari changu ninaomba ushauri wenu kwa wenye ufahamu zaidi je ni tairi zipi bora na imara kati ya Michellin, Kumho na BF Goodrich? Je wanapatikana wapi dealers wa hizi brands. Je gharama zake zikoje. Maamuzi yangu yanategemea sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni
ahsante boss, ngoja nitawatembelea the coming weekend.Kama ww ni mtu wa rough road chukua bf Goodrich, kama ni wa lami sana chukua Michelin. Nenda Superdoll pale pugu road ndio dealer mkuu kwa tz, tena wana offer ukinunua tairi nne unapata moja ya bure
Vipi kuhusu ubora wa tairi aina ya Infinity na Goodride ...?Mzee baba chukua LingLong....hautajutia. Michelin ilikuwa zamani asaivi zinauzwa zikiwa mbichi sana. Ukitaka nalikupe number za FUNDI mtaalamu wa kuchagua tairi na atakusaidia sana. Mi nipo Dom ila yeye yupo dar
Good ride yes. Michelin kimeoVipi kuhusu ubora wa tairi aina ya Infinity na Goodride ...?
ungeweka matumizi ya gari pia ingerahisisha wewe kupewa ushauri mzuri.Wasalaam!
Heri ya mwaka mpya 2018.
Ninampango wa kubadilisha tairi kwenye kigari changu ninaomba ushauri wenu kwa wenye ufahamu zaidi je ni tairi zipi bora na imara kati ya Michellin, Kumho na BF Goodrich? Je wanapatikana wapi dealers wa hizi brands. Je gharama zake zikoje. Maamuzi yangu yanategemea sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni