Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 547
- 344
Wasalaam!
Heri ya mwaka mpya 2018.
Ninampango wa kubadilisha tairi kwenye kigari changu ninaomba ushauri wenu kwa wenye ufahamu zaidi je ni tairi zipi bora na imara kati ya Michellin, Kumho na BF Goodrich? Je wanapatikana wapi dealers wa hizi brands. Je gharama zake zikoje. Maamuzi yangu yanategemea sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni
Heri ya mwaka mpya 2018.
Ninampango wa kubadilisha tairi kwenye kigari changu ninaomba ushauri wenu kwa wenye ufahamu zaidi je ni tairi zipi bora na imara kati ya Michellin, Kumho na BF Goodrich? Je wanapatikana wapi dealers wa hizi brands. Je gharama zake zikoje. Maamuzi yangu yanategemea sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni