Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Mzee baba chukua LingLong....hautajutia. Michelin ilikuwa zamani asaivi zinauzwa zikiwa mbichi sana. Ukitaka nalikupe number za FUNDI mtaalamu wa kuchagua tairi na atakusaidia sana. Mi nipo Dom ila yeye yupo dar
Yaani tairi ya kichina ya shiling elf 80 ufananishe na tairi ya ufaransa ya laki 4?? U can't be serious