Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

Usicheke jamaa kapata choo kigumu kimechuna rectum aisee inabidi aloweke makalio na deto siku mbili tu anapona inabidi aanze kula Dona na matunda matunda
Ulivyokazana kuloweka makalio😏
Halafu anamwambia mwanaume😂
Au Kuna neno amelitafuta amekosa. Alimaanisha kuyakalia maji kama kwenye beseni? Itakua? 😥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…