MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

Itakua maana nateseka nimeshakoswa koswa ajali karibia tatu
Usiku napata ndoto za kutisha [emoji24][emoji24][emoji24] yaani mateso tuu sijui niliwakosea nini
Aiseee pole sana imeniuma km miye vile rafiki.
 
Ongeza na Peripheral neuropathy ambalo hospital nyingi husema hawajaona tatizo.

Peripheral neuralpath linawezaje kutumika kama neno la kudescribe ugonjwa (disoder) ? Hivi humu mbona tunapenda kuchukuliana poa?😅.
 
Nimefuatilia comment zote za mleta mada na kwa uwezo wangu wa kuchanganua mambo kupitia maandishi au mazungumzo, nachelea kusema kuwa mleta mada ni MUONGO.
 
Peripheral neuralpath linawezaje kutumika kama neno la kudescribe ugonjwa (disioder) ? Hivi humu mbona tunapenda kuchukuliana poa?😅.
Lina-describe nini?

Naona unaleta ujuaji tu huku hata uandishi wako unaonesha ni mbumbumbu tu.

Hata neno Disorder tu huwezi kuliandika,kuna haja ya kukutilia maanani?
 
Aiseee pole sana imeniuma km miye vile rafiki.

Acha tuu macho ya rohoni ndo yamenigharimu hiv niliwaona wachawi usiku wanaloga nikawatambua kuanzia hapo nikaanza kuumwa jmn [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Pole.

Kwenye maombi inatakiwa imani.

Maji ya kutosha ya uvuguvugu, tafuta pia mbegu za mlonge tafuna tatu mara tatu ila maji kunywa ya kutosha
 
Nimefuatilia comment zote za mleta mada na kwa uwezo wangu wa kuchanganua mambo kupitia maandishi au mazungumzo, nachelea kusema kuwa mleta mada ni MUONGO.

Hayajakukuta ndo maana unasema hivyo
 
Lina-describe nini?

Naona unaleta ujuaji tu huku hata uandishi wako unaonesha ni mbumbumbu tu.

Hata neno Disorder tu huwezi kuliandika,kuna haja ya kukutilia maanani?

Elewa context ya comment yangu.

We ungesema tu PERIPHERAL NEURITIS ukaeleweka, bwana mdogo.
 
Kwahiyo mkuu, we ulijuje kuwa chanzo cha huo ugonjwa ni kuwaona wachawi?

Nilijua kwa sababu nina jicho la tatu na hao watu ni watu wangu wa karibu ikawa rahisi wao kunidanganya kwa kumleta mganga kwangu kama vile ananitibu kumbe alikuja kuniloga ili nife nisitoe siri yao
 
Bora umemjibia kitaalamu maana wengine wanamshauri akakanyage mafuta...
 
Nilijua kwa sababu nina jicho la tatu na hao watu ni watu wangu wa karibu ikawa rahisi wao kunidanganya kwa kumleta mganga kwangu kama vile ananitibu kumbe alikuja kuniloga ili nife nisitoe siri yao

Kwamba wao ni wachawi na uliwaona walipokuwa wakifanya uchawi wao.

Wachawi haohao, ili kukuroga usitoe siri zao wakaamua watumie mganga kukuroga. Unamaanisha warogaji alitumia mganga kukuroga?

Na kama haitoshi, watu uliowashuhudia kwa macho yako mwenyewe wakifanya ulozi, wakakuletea mganga kwa uongo wa kwamba wanakutibu na ukakubali?

Mbona sioni mantiki ya jicho lako la tatu unalosema hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…