Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Binafsi ma-ccm ( mwenyekiti wa mtaa wangu ambaye ni ccm na diwani ambaye ni ccm) yananifanyia hila kutaka kunidhulumu kiwanja changu kisa kipo kwenye eneo zuri kibiashara.
Katika kufuatilia chanzo cha tatizo kwa nini viongozi wa ccm wa mtaa wangu ni wadhulumaji , nikagundua wanatumwa na mwenyekiti wao taifa aliyewaambia wale kwa urefu wa kamba zao.

Mimi nina karama ya kumuona malaika ndani yangu au ndani ya mtu mwingine. Ninapo muomba Mungu jambo fulani , Mungu ananionyesha au anatenda kupitia malaika aliyepo ndani yangu.

Nilipomuomba Mungu kuhusu kudhulumiwa ardhi yangu na ma-ccm, Mungu kupitia malaika aliyepo ndani yangu, alinionyesha namna atakavyo tenda kuwaangamiza hao ma-ccm wanaopanga hila kunidhulumu ardhi yangu na namna atakavyo muangamiza rais samia anayewatuma hao ma-ccm. Kutokana na nilivyooneshwa namna malaika aliyepo ndani yangu atakavyo waangamiza samia na hao ma-ccm, naona samia atakutana na mambo magumu 2025-2030 ambayo hatakuwa na uwezo wa kuyamudu, it will be a disaster. Kuna watu huwa hatudhulumiwi,malipo yao ya dhuluma lazima wayapate samia anayewatuma na hao ma-ccm.
Ha!
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
misaada unapata kama kawaida kwa shartin la kujitenga na mashoga .
 
Sasa ujio wa Trump unamlazimisha nasi tupate KICHWA aina yake.

Tofauti na hapo,

Tutalimia meno!
"WANANZILANKENDA" MJIANDAE KULA MLO MMOJA.TRUMPET NA NDUGUYE MUSK NI HATARI KWA USTAWI WA MASKINI NA WAVIVU🥱
 
Kwa mujibu wa nani?
Kwa mujibu wa biblia
Yesu alipozaliwa watoto wote wote wa kiume waliuliwa ile ilikua ni roho ya mpinga kristo

Hata baada ya Yesu kufa mpinga alijaribu kuwaua baadhi ya wanafunzi wa Yesu kama stephano

Changamoto ya wakristo wa leo mnadhan mpinga mkristo atakuja kutawala kibinadamu hamna tofauti na wayahudi ambao wanadhani Yesu atakuja kutawala kama wafalme wa kibinadamu
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Tanznaia ikiyumba ,Afrika inayumba,hakuna hata mmja wa kutumbisha Nchi hii Kwa lolote.

Nchi imevuka vipindi vigumu vya kiuchumi chini ya Mama shupavu sembuse kelele za kina Trump?
 
Kwa mujibu wa biblia
Yesu alipozaliwa watoto wote wote wa kiume waliuliwa ile ilikua ni roho ya mpinga kristo

Hata baada ya Yesu kufa mpinga alijaribu kuwaua baadhi ya wanafunzi wa Yesu kama stephano

Changamoto ya wakristo wa leo mnadhan mpinga mkristo atakuja kutawala kibinadamu hamna tofauti na wayahudi ambao wanadhani Yesu atakuja kutawala kama wafalme wa kibinadamu
Pole sana kwa uelewa duni kiasi hiki
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1886843053459009760?t=x44nDQfO7DieQijXNKqgqg&s=19

CCM imeongiza hii Nchi Hadi Leo kabla ya huyo mropokaji
 
Nadhani umesahau Ile press iliyoitishwa kushangilia mkopo wa Trillion 1.5 za uviko 19 Kwa ajili ya kujengwa maboma ya madasa na vyoo.

Www endelea kusikiliza stori za walevi hapo kilabuni ulipokaa.
Imefanyaje?
 
Kamwe usitegemee waelewe hao kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, kuna gonjwa linakuja, sector ya fedha inaenda kuanguka, kwa kifupi mvinyo mpya kiriba kipya ukilazimisha mvinyo mpya kwenye kiriba cha zaman lazima kipasuke na hakika kuna taasisi, vyama, serkali na vingine vingi vinaenda kupasuka asikiaye na afahamu
Mifumo inawekwa tayar tayar kumkaribisha mpinga kristo.
Watu mnawaza mbali jmn😶
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏

Wanaye mkuu na washamkabidhi kwa majini atamuweza trump bila shaka kwa technolojia ya gizani
 
Mkt wa CCM Taifa: Wana CCM msiingiwe na Pepo la kuwaogopa WAPINZANI.

Mimi naqauliza, mnaye mgombea anayeweza kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia ujio wa Donald Trump?
 
Back
Top Bottom