Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Mkulu usijikanyage tu mukichwa.

Umeuliza swali lako kisiasa.
* kwamba pale ulipoingiza hao mafisicM basi teyari mada ni suala la Kisiasa sio la kitaifa tena ingwaje kwa mapana linahusu ustakabali wa muinchi.

Nasema labda uombe mods wabadilishe huko juu na isomeke Watanganyika

Msaada tutani, Watanganyika mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?​


au kwa tafsiri nyingine

Batanganyika mna mikakati gani ya kukabiliana na mabadiliko na sintofahamu yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?.​

otherwise endesha mada za Udini

Unawekaje vyama vya siasa pembeni wakari umeitaja CCM?
Hujaelewa,

Si kuwekwa pembeni kama unavyodhani,

Ni katika kuweka vipaumbele,

Kwamba inaanza Nchi Kisha vyama na itikadi vifuate.

U mkongo wewe?
 
Hujaelewa,

Si kuwekwa pembeni kama unavyodhani,

Ni katika kuweka vipaumbele,

Kwamba inaanza Nchi Kisha vyama na itikadi vifuate.

U mkongo wewe?
Asanti. Nimekuelewa.

Rais Samia Suluhu Hassan pia alishasema, so nukuu fasaha, kuwa nchi za wanaotufundisha Demokrasia huwa baada ya uchaguzi na kampeni za vyama vya siasa na siasa zake zinaakoma.

Rais Magufuli marehemu, nae pia alishsemaga maneno kama hayo pia.

Kwamba maendeleo ya watu na uchumi wao ndio uwe kipaumbele.

Kwa maneno ingine, country first au nakosea?
 
Ukinithibitishia ya kwamba wewe ni Malaika Gabriel mleta Ujumbe kutoka kwa Mungu nitakuunga mkono kwa asilimia mia!
Binafsi ma-ccm ( mwenyekiti wa mtaa wangu ambaye ni ccm na diwani ambaye ni ccm) yananifanyia hila kutaka kunidhulumu kiwanja changu kisa kipo kwenye eneo zuri kibiashara.
Katika kufuatilia chanzo cha tatizo kwa nini viongozi wa ccm wa mtaa wangu ni wadhulumaji , nikagundua wanatumwa na mwenyekiti wao taifa aliyewaambia wale kwa urefu wa kamba zao.

Mimi nina karama ya kumuona malaika ndani yangu au ndani ya mtu mwingine. Ninapo muomba Mungu jambo fulani , Mungu ananionyesha au anatenda kupitia malaika aliyepo ndani yangu.

Nilipomuomba Mungu kuhusu kudhulumiwa ardhi yangu na ma-ccm, Mungu kupitia malaika aliyepo ndani yangu, alinionyesha namna atakavyo tenda kuwaangamiza hao ma-ccm wanaopanga hila kunidhulumu ardhi yangu na namna atakavyo muangamiza rais samia anayewatuma hao ma-ccm. Kutokana na nilivyooneshwa namna malaika aliyepo ndani yangu atakavyo waangamiza samia na hao ma-ccm, naona samia atakutana na mambo magumu 2025-2030 ambayo hatakuwa na uwezo wa kuyamudu, it will be a disaster. Kuna watu huwa hatudhulumiwi,malipo yao ya dhuluma lazima wayapate samia anayewatuma na hao ma-ccm.
 
Binafsi nawashauri waache kuweka mabango barabarani na badala yake kazi ziwe ndio "mabango' kwani mabango yanaonyesha kuna weakness kubwa na wameamua kujificha ktk mabango.
kumbukeni msemo usemao "chema chajiuza kibaya chajitembeza"
 
Binafsi nawashauri waache kuweka mabango barabarani na badala yake kazi ziwe ndio "mabango' kwani mabango yanaonyesha kuna weakness kubwa na wameamua kujificha ktk mabango.
kumbukeni msemo usemao "chema chajiuza kibaya chajitembeza"
Na mabango Yana picha za maridhiano ambayo yalikwishavunjika.

Sasa afadhali yangewekwa mabango ya biashara Kodi ikaingia Serikalini.
 
Samia atawezq tena sana tu ila angekuwa yule bwana tungekwisha
Sio kweli! Magu alikuwa mfano wa viongozi wa Africa ambao Trump anawapenda kwasababu ya siasa zao za kizalendo : kuweka maslahi ya nchi zao kwanza!
Hawezi kwenda na Samia kwasababu ya kupenda kwake kukopa kopa na kuzurula nchi za nje huku anashindwa kuthibiti rushwa na wizi katika serikali yake!
Tanzania hamna budi mjipange kwani bajeti yenu tegemezi ya Mwigulu itabidi ifumuliwe Trump haleti tena hela kwa wezi!
 
Sio kweli! Magu alikuwa mfano wa viongozi wa Africa ambao anawapenda kwa siasa zao za kizalendo : kuweka maslahi ya nchi zao kwanza!
Hawezi kwenda a na Samia kwasababu ya kupenda kukopa lipa na kuzurula nchi nzima huku anashindwa kuthibiti rushwa na wizi katika serikali yake!
Muda Bado upo, wanaweza kurudi mezani kutatua hili.
 
Huku kwetu vituo vyote vya afya vya binafsi hawataki tena bima,

Sijui kama mwashasshambwa anajua hilo
 
Kamwe usitegemee waelewe hao kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, kuna gonjwa linakuja, sector ya fedha inaenda kuanguka, kwa kifupi mvinyo mpya kiriba kipya ukilazimisha mvinyo mpya kwenye kiriba cha zaman lazima kipasuke na hakika kuna taasisi, vyama, serkali na vingine vingi vinaenda kupasuka asikiaye na afahamu
Mifumo inawekwa tayar tayar kumkaribisha mpinga kristo.
Mpinga kristo alikuwepo hata-kabla yesu hajazaliwa
 
Sio kweli! Magu alikuwa mfano wa viongozi wa Africa ambao Trump anawapenda kwasababu ya siasa zao za kizalendo : kuweka maslahi ya nchi zao kwanza!
Hawezi kwenda na Samia kwasababu ya kupenda kwake kukopa kopa na kuzurula nchi za nje huku anashindwa kuthibiti rushwa na wizi katika serikali yake!
Tanzania hamna budi mjipange kwani bajeti yenu tegemezi ya Mwigulu itabidi ifumuliwe Trump haleti tena hela kwa wezi!
Magufuli ndo rais wa pili kukopa sana baada ya samia
 
Sio kweli! Magu alikuwa mfano wa viongozi wa Africa ambao Trump anawapenda kwasababu ya siasa zao za kizalendo : kuweka maslahi ya nchi zao kwanza!
Hawezi kwenda na Samia kwasababu ya kupenda kwake kukopa kopa na kuzurula nchi za nje huku anashindwa kuthibiti rushwa na wizi katika serikali yake!
Tanzania hamna budi mjipange kwani bajeti yenu tegemezi ya Mwigulu itabidi ifumuliwe Trump haleti tena hela kwa wezi!
Siasa za kizalendo hazitakiwi kwa zinazoendelea ni kuua watu ndo mana hata ujerumani wanaandamana hawazitaki. Nchi inayojitishereza angalau inaweza jarbu siyo africa. Ndo kama kipindi cha magu ilikuwa vilio na kusaga meno kila kitu hakiendi
 
Magufuli ndo rais wa pili kukopa sana baada ya samia
M
Siasa za kizalendo hazitakiwi kwa zinazoendelea ni kuua watu ndo mana hata ujerumani wanaandamana hawazitaki. Nchi inayojitishereza angalau inaweza jarbu siyo africa. Ndo kama kipindi cha magu ilikuwa vilio na kusaga meno kila kitu hakiendi
Sasa Unataka kutembeza bakuli kama Samia? Halafu hela anapewa Abdul kuhonga wanasiasa na viongozi wa dini ili wamfanyie campaign?
Sasa mfadhiri wenu mkuu Trump amewapiga spana inabidi mjitafakali!
 
M

Sasa Unataka kutembeza bakuli kama Samia? Halafu hela anapewa Abdul kuhonga wanasiasa na viongozi wa dini ili wamfanyie campaign?
Siyo issue ya kutembeza bakuli bali kuwa na open economy system. Closed economy system haifanyi kazi kwa nchi maskini ndo mana kwa mgabe inflation ilifika mpaka asilimia 30 kisa ubabe wake kama wa magufuli. Uchumi ni sayansi siyo maguvu. Bahati nzuri mgabe alikufa vinginevyo jeshi lingempindua
 
Siyo issue ya kutembeza bakuli bali kuwa na open economy system. Closed economy system haifanyi kazi kwa nchi maskini ndo mana kwa mgabe inflation ilifika mpaka asilimia 30 kisa ubabe wake kama wa magufuli. Uchumi ni sayansi siyo maguvu. Bahati nzuri mgabe alikufa vinginevyo jeshi lingempindua!

Siyo issue ya kutembeza bakuli bali kuwa na open economy system. Closed economy system haifanyi kazi kwa nchi maskini ndo mana kwa mgabe inflation ilifika mpaka asilimia 30 kisa ubabe wake kama wa magufuli. Uchumi ni sayansi siyo maguvu. Bahati nzuri mgabe alikufa vinginevyo jeshi lingempindua
Kwani Tanzania toka lini ilikuwa na closed economy. Miaka yote tunafanya biashara na kila mtu! Hatubagui wala hatuchagui
 
Kwani Tanzania toka lini ilikuwa na closed economy. Miaka yote tunafanya biashara na kila mtu! Hatubagui wala hatuchagui
Magufuli alitaka kutupeleka kwenye closed economy ndo mana wawekezaji walikuwa wanakimbia daily na Mo alitaka kusepa wakamteka mapema. Kwanza kitendo cha kumteka mo tajiri namba mona tanzania kiliwafanya wafanya biashara wote wahisi siyo salama tena kufanya biashara nchini tanzania. Wakabaki machinga ndo wanatamba nchini. Ukimaliza degree unaambiwa kasajili vocha mtaani
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Ntakuwa nasoma comments
 
M

Sasa Unataka kutembeza bakuli kama Samia? Halafu hela anapewa Abdul kuhonga wanasiasa na viongozi wa dini ili wamfanyie campaign?
Sasa mfadhiri wenu mkuu Trump amewapiga spana inabidi mjitafakali!
Hata magufuli alikua ananunua wanasiasa wa upinzani
Huu upuuzi wote anaofanya samia muanzilishi ni magufuli
 
Back
Top Bottom