Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Na mfumo Toka Mbinguni unamtaka Nabii, Mlawi akalie KITI Ili Kupambana na mfumo wa mpinga Kristo unaoandaliwa uanze kufanya KAZI,

Nchi hii ni Makao makuu ya Afrika nzima kama lango,

Hili jambo tumelisema sana mnaziba masikio,

Ni sharti mbadilike au mbadilishwe!!

Niliona kundi kubwa la wananchi wakiwakimbiza wanasiasa wakiwaambia ninyi ndio mmetufikisha hapa,

Muda Bado upo, badilisheni haraka,

Kamwe mwanadamu hawezi kushindana na Mungu akashinda.

Tusubiri 🙏
Naomba maelekezo kidgo kaka kuhuu hili
 
Trump ataleta machungu.zaidi.nchi kama Tunisia.huko yanaweza yakatokea mapinduzi
 
Hata hawa CHADEMA na ACT WAZALENDO nao wanapaswa kuja na mgombea Urais mwenye kwendana na mabadiliko ya sera za kina Tramp juu ya misaada yao kwa mataifa masikini. Ni wakati sasa wapinzani kufikiria ni kwa jinsi gani wataweza kuendesha nchi bila kutegemea misaada toka nchi wafadhili na wahisani. Rasilimali za nchi zipo
 
Chama cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimekuwa na historia ndefu ya utawala nchini Tanzania, kinakabiliwa na changamoto kubwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa urais wa mwaka 2025. Wakati dunia inakumbana na mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii, CCM inahitaji kuwa na mgombea ambaye anaweza kukabiliana na hali hii mpya. Hata hivyo, hadi sasa, chama hakijapata mgombea anayeonekana kuwa na uwezo wa kukabiliana na mabadiliko haya, hususan katika muktadha wa siasa za kimataifa zinazohusisha viongozi kama Rais Donald Trump wa Marekani.

Mabadiliko ya kisiasa duniani yanaashiria kuongezeka kwa mitazamo tofauti na mahitaji ya wananchi. Rais Trump, akiwa na mtindo wake wa uongozi, ameathiri siasa za kimataifa kwa njia nyingi. Sera zake za ndani na nje zimeratibu mabadiliko katika mahusiano ya Marekani na mataifa mengine, na kuibua maswali kuhusu uhusiano wa kiuchumi, usalama, na demokrasia. Katika muktadha huu, CCM inapaswa kutafakari ni vipi mgombea wake anaweza kujenga sera zinazokabiliana na changamoto hizi, ili kuweza kushindana vyema katika uchaguzi ujao.

Kwanza, ni muhimu kuelewa kwamba CCM inahitaji mgombea ambaye anaweza kuelewa mabadiliko ya kiuchumi yanayotokea duniani. Uchumi wa dunia unabadilika kwa kasi, na nchi nyingi zinajitahidi kujiimarisha kiuchumi kwa kutumia mbinu mpya. Hivyo, mgombea wa CCM anapaswa kuwa na upeo mpana wa masuala ya uchumi, ikiwa ni pamoja na teknolojia, biashara, na uwekezaji. Hii ni muhimu ili kuhakikisha kuwa Tanzania inabaki kuwa mchezaji muhimu katika soko la kimataifa.

Pili, mgombea anayetafutwa anapaswa kuwa na uwezo wa kuleta umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Katika kipindi cha uchaguzi, ni rahisi kwa hisia za kisiasa kugawanya jamii. Hata hivyo, ni muhimu kwa CCM kuleta mgombea ambaye anaweza kuunganisha watu wa makundi tofauti ya kisiasa na kijamii. Hii itasaidia kujenga mazingira ya amani na utulivu, ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Tatu, mgombea anapaswa kuwa na maono ya maendeleo endelevu. Katika dunia ya sasa, ambapo masuala ya mazingira yanazidi kupewa kipaumbele, ni muhimu kwa CCM kuwa na mgombea ambaye anaweza kutunga sera zinazolinda mazingira na kuzingatia maendeleo endelevu. Hii ni pamoja na kuzingatia matumizi ya nishati mbadala, kilimo endelevu, na uhifadhi wa rasilimali za asili. Hivyo, mgombea wa CCM anapaswa kuwa na uelewa wa kina kuhusu mabadiliko ya tabianchi na njia za kukabiliana nayo.

Nne, CCM inahitaji mgombea ambaye anaweza kujenga mahusiano mazuri na viongozi wa kimataifa. Katika ulimwengu wa leo, ushirikiano wa kimataifa ni muhimu katika kushughulikia changamoto zinazokabili nchi nyingi. Hivyo, mgombea anayetafutwa anapaswa kuwa na uwezo wa kujenga na kudumisha mahusiano mazuri na mataifa mengine, pamoja na mashirika ya kimataifa. Hii itasaidia Tanzania kupata ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kutoka kwa washirika wa kimataifa.

Kwa kuzingatia yote hayo, ni wazi kwamba CCM inahitaji kufanya kazi ya ziada katika kutafuta mgombea anayeweza kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani. Hadi sasa, hakuna mgombea aliyejitokeza ambaye anaweza kuonekana kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto hizi kwa ufanisi. Hali hii inahitaji CCM kufikiria kwa makini kuhusu mchakato wake wa uteuzi wa wagombea, ili kuhakikisha kuwa wanaweza kupata kiongozi ambaye atakidhi mahitaji ya wakati huu.

Kwa hivyo, CCM inapaswa kujiandaa vyema ili kukabiliana na mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi yanayojitokeza. Mchakato huu wa kutafuta mgombea wa urais wa mwaka 2025 unapaswa kuwa wa kina na wa busara, ili kuhakikisha kuwa chama kinapata kiongozi ambaye atakuwa na uwezo wa kuongoza Tanzania katika kipindi cha mabadiliko haya makubwa. Ni wazi kwamba, kwa CCM, uchaguzi ujao ni fursa ya kipekee ya kuonyesha uongozi bora na kujenga mustakabali mzuri wa nchi.
 
Jpm kaacha deni la taifa trillion 68 wakati alikuta trilion 40 tu. Halafu alikuwa anakopa kimya kimya na kutipiga fix kwamba anatumia hela za ndani
Umejibunswali au umeamua kutoka Tu maoni?
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Li Trump limejua kutugombanisha Waafrika safari hii! Fujo lazima zitazuka tu pale dawa zitakapokosekana
 
D
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Duh 🙄 !
 
D

Duh 🙄 !
Mwigu alikuwa akiogeza deni kulipa deni,

Sasa mikopo na misaada hakuna,

Tutawezaje kulipa deni bila mkopo, tutawezaje kulipa mishahara na tukaendelea na matumizi ya anasa na safari za nje, RUSHWA nk nk?
 
Hawana mgombea huyo
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
 
Mkuuu unajua CCM inawatu kma 10 tu ndio wanaofaidi Tanzania hiii ssa hata iwaje watakula mema tu ya inchi
 
Mwigu alikuwa akiogeza deni kulipa deni,

Sasa mikopo na misaada hakuna,

Tutawezaje kulipa deni bila mkopo, tutawezaje kulipa mishahara na tukaendelea na matumizi ya anasa na safari za nje, RUSHWA nk nk?
Hapo ni lazima mtu aote mvi haraka sana kwa kutafuta majawabu !
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Unataka Uchaguzi Mkuu ufanyike kesho uone matokeo yake? CCM tutashinda kwa zaidi ya asilimia 98%! Na ndio lengo letu.
 
Back
Top Bottom