Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Ha!
 
misaada unapata kama kawaida kwa shartin la kujitenga na mashoga .
 
Sasa ujio wa Trump unamlazimisha nasi tupate KICHWA aina yake.

Tofauti na hapo,

Tutalimia meno!
"WANANZILANKENDA" MJIANDAE KULA MLO MMOJA.TRUMPET NA NDUGUYE MUSK NI HATARI KWA USTAWI WA MASKINI NA WAVIVU🥱
 
Kwa mujibu wa nani?
Kwa mujibu wa biblia
Yesu alipozaliwa watoto wote wote wa kiume waliuliwa ile ilikua ni roho ya mpinga kristo

Hata baada ya Yesu kufa mpinga alijaribu kuwaua baadhi ya wanafunzi wa Yesu kama stephano

Changamoto ya wakristo wa leo mnadhan mpinga mkristo atakuja kutawala kibinadamu hamna tofauti na wayahudi ambao wanadhani Yesu atakuja kutawala kama wafalme wa kibinadamu
 
Tanznaia ikiyumba ,Afrika inayumba,hakuna hata mmja wa kutumbisha Nchi hii Kwa lolote.

Nchi imevuka vipindi vigumu vya kiuchumi chini ya Mama shupavu sembuse kelele za kina Trump?
 
Pole sana kwa uelewa duni kiasi hiki
 

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1886843053459009760?t=x44nDQfO7DieQijXNKqgqg&s=19
CCM imeongiza hii Nchi Hadi Leo kabla ya huyo mropokaji
 
Nadhani umesahau Ile press iliyoitishwa kushangilia mkopo wa Trillion 1.5 za uviko 19 Kwa ajili ya kujengwa maboma ya madasa na vyoo.

Www endelea kusikiliza stori za walevi hapo kilabuni ulipokaa.
Imefanyaje?
 
Watu mnawaza mbali jmn😶
 

Wanaye mkuu na washamkabidhi kwa majini atamuweza trump bila shaka kwa technolojia ya gizani
 
Mkt wa CCM Taifa: Wana CCM msiingiwe na Pepo la kuwaogopa WAPINZANI.

Mimi naqauliza, mnaye mgombea anayeweza kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia ujio wa Donald Trump?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…