Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Mara chache kuna nchi ambazo unaweza ukatuma hela kwa WU lakini benki za Bongo zikakataa kukutolea.Nimeona WU zimejaa tele huko Nepal, na wanatuma vizuri tu, huyo nduguye ana lake jambo
Mfano Pakistan na Iran hawataki kupokea hela kutokea huko. Niliuliza shida nini, wanadai ni blacklisted countries.