Ngoja madaktari uchwara wanaovaa milegezo waje kunishambulia hapa. Nitawanyoosha mpaka waitike abee baba.
Hawa watu ni FOOLISH, wakikariri vitini kule medical school wanageuka kuwa MADALALI WA CHANJO badala ya WATABIBU.
Mwisho wa siku kumbe ni njaa tu wanatafuta maokoto na kulisha familia zao AT THE EXPENSE OF DESTROYING PEOPLE.
Yaani nina usongo nao kweli kweli sijasahau ujinga wao wa CORONA, nawachukia kuliko kitu chochote.
Majitu yamekaa KIUDALALI DALALI tu, hawana ethics wala elimu ya uhakika. Kukariri kariri tu na kurudia rudia maneno kama MAKASUKU.