Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Matumizi mabaya ya "God fearing" au hajui maana yake labda

Nashangaa sana mnavyoitafsiri God fearing...km God fearing hawatendagibdhambi kwa namna yyt ile basi duniani hakuna God fearing!
 
RomboMoshi, msalimie shemeji aisee namaanisha mke wako. Pia tambua kuwa kuna mtu pia huwa anamfurahia na kumsifia mke wako kuwa ni mtamu, humble, sexy, etc kama ambavyo ulivyokuwa unafanya kwa huyo binti.

Karma will always be karima. Karma has never be defeated or beaten.
 
Hili neno ni mkuki moyoni kwa wanaume....
 
Sawa ila wakati mwingine ni ngumu sana. Ukweli kuugeuza kuwa uongo ni kitu ambacho hakijawahi kuwezekana. Na inakuwa ngumu sana kukubali uliyoyasema hapo juu. Kibaya zaidi unakuta mwanamke wa ndoa siyo mzuri wala hana maajabu yoyote au kitu cha kufanya umsifie halafu linakuwa libabe ndani ya nyumba.

For instance, imagine the concubine is so curvaceous, she has a tight-fitting pussy than wife, she knows how to play with a man in bed etc. So do you think will be possible to consider what you said?
 
Huyo mkeo Anza kumuandaa kisaikolojia kwamba anytime vulumai linatokea alafu umuhakikishie upendo wako kwake na yeye ndio mwanamke wa ndoto zako .huko kwine mpakazie shetani.


Kama haujui kumuandaa mtu kisaikolojia acha.
 
Sisi wenye ndoa za afaghanstan tunakuelewa na tunaomboleza pamoja
 
Umemaliza yote hata suleiman alikua na wanawake buku
 
Huyo anastress zake wewe fanya kitu roho inapenda,hizo dini zimeletwa n majahazi yaliyojaa dhambi...meku mpe kilambio usimuache hakuna mke mmoja tunajidanganya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…