Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Ila wanaume mnahangaika sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaelewi hawa😀Tatizo unadhania kuwa God fearing ndo hutendi dhambi. Acheni bhana jamaa alipata mchepuko sahihi
May the Almighty bless u for the good advice u have offeredMi sikubezi wala nini ila tu nakwambia chungu ndo dawa.I understand every bit part of what you're going through (been in that route before) lakini KUACHA INAKUBIDI.retreat now that she's married na jaribu kuchukua muda wako ku invest kwenye "mabomu yako ya Afghanstan" yaani your wife.mpe good time,spend muda nae,ujue nae ni demu mzee sema tu ana tag ya kua mke wako.mtreat kama ulivyomtreat mtoto wa mwenye nyumba wako pale mwanzo. naamini hakukua na mabomu toka mwanzo na labda una mchango kwenye kuyaleta now.
Fanya ibada na mkwepe sana hasa kukutana nae mazingira hatarishi. (mi nilishakutana na ex kwenye warsha flani ya kikazi, ambae hatukuwahi gombana wala nini na sikua nimeshikika sana kwake but she was beautiful and a very good person and the devil ensured anakaa chumba cha pili tu toka kwangu pale hotelini na tulikaa for two weeks..ulikua mwanzo wa timbwili na doa zito maishani mwangu)
Kimbia na pinga kila mawazo ya kukutana nae na hata mawasliano kata bro,esp now that she's married.
NikjaMangiii
I feel your problems chief, I passed the same way
Mi sikubezi wala nini ila tu nakwambia chungu ndo dawa.I understand every bit part of what you're going through (been in that route before) lakini KUACHA INAKUBIDI.retreat now that she's married na jaribu kuchukua muda wako ku invest kwenye "mabomu yako ya Afghanstan" yaani your wife.mpe good time,spend muda nae,ujue nae ni demu mzee sema tu ana tag ya kua mke wako.mtreat kama ulivyomtreat mtoto wa mwenye nyumba wako pale mwanzo. naamini hakukua na mabomu toka mwanzo na labda una mchango kwenye kuyaleta now.
Fanya ibada na mkwepe sana hasa kukutana nae mazingira hatarishi. (mi nilishakutana na ex kwenye warsha flani ya kikazi, ambae hatukuwahi gombana wala nini na sikua nimeshikika sana kwake but she was beautiful and a very good person and the devil ensured anakaa chumba cha pili tu toka kwangu pale hotelini na tulikaa for two weeks..ulikua mwanzo wa timbwili na doa zito maishani mwangu)
Kimbia na pinga kila mawazo ya kukutana nae na hata mawasliano kata bro,esp now that she's married.
Mwenye hofu ya Mungu anaogopa sana mahusiano ya wanandoa.God fearing ina maana kubwa na pana sana.
Ila wanaume mnahangaika sana.
Mi sikubezi wala nini ila tu nakwambia chungu ndo dawa.I understand every bit part of what you're going through (been in that route before) lakini KUACHA INAKUBIDI.retreat now that she's married na jaribu kuchukua muda wako ku invest kwenye "mabomu yako ya Afghanstan" yaani your wife.mpe good time,spend muda nae,ujue nae ni demu mzee sema tu ana tag ya kua mke wako.mtreat kama ulivyomtreat mtoto wa mwenye nyumba wako pale mwanzo. naamini hakukua na mabomu toka mwanzo na labda una mchango kwenye kuyaleta now.
Fanya ibada na mkwepe sana hasa kukutana nae mazingira hatarishi. (mi nilishakutana na ex kwenye warsha flani ya kikazi, ambae hatukuwahi gombana wala nini na sikua nimeshikika sana kwake but she was beautiful and a very good person and the devil ensured anakaa chumba cha pili tu toka kwangu pale hotelini na tulikaa for two weeks..ulikua mwanzo wa timbwili na doa zito maishani mwangu)
Kimbia na pinga kila mawazo ya kukutana nae na hata mawasliano kata bro,esp now that she's married.
Acha kucompare mke na mchepuko aisee. Haijalishi mkeo ana mapungufu kiasi gani stili ni mkeo na uliapa kabisa
Tulia na mkeo ndugu huko kwingine ni kuhangaika tu mwisho wa siku unarudi kwa mkeo! Kama ulivompenda mkeo mwanzo sasa unamuona sio ndio utavomuona huyo mchepuko hapo utapokaa nae kwa muda nakujua mapungufu yake!Sijawacompare mama sababu reality bila kuficha ficha huyu binti kamzidi wife mengi...sema km ulivyosema niliapa hamna namna.
Tulia na mkeo ndugu huko kwingine ni kuhangaika tu mwisho wa siku unarudi kwa mkeo! Kama ulivompenda mkeo mwanzo sasa unamuona sio ndio utavomuona huyo mchepuko hapo utapokaa nae kwa muda nakujua mapungufu yake!
Achana na Keyboard heroes.Nimekuelewa sana snowhite shida ni mahakimu hawa yaani km miungu watu vile.
Weeee naeee mbona unajieleza saaana.Mapungufu anayo tena mengi tu km binadamu ila anaelezeka na anasikia wife wangu hataki kuelezeka..kurud nyumbani sio tatizo unarud ila upendo ndio hvy unahama! Upendo bila masikilizano ni useless.
Wewe Zi mropokaji tu huna lolotePole kama ni mawig na makucha type pole tena. Ila bado si ungani na wewe kwenye uzinifu. Set her free then endelea na miasha lkn uzinzi.kwangu big no
Ukisema umchukulie kila mtu serious huku unaweza pata ugonjwa wa akili.Wewe Zi mropokaji tu huna lolote