Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Meku dawa ya mke huyo ni kuvuta mwenzake,dawa ya jeuri ni hiyo
 
Kumuita mwenzako wa hovyo sio vizuri,kila mtu ana yake anayajua mwenyw,sidhani kama uko 100% perfect,watu jamii ya nyie ndo mnaojifanya makanisani/misikitini muda wote kumbe waovu wa kutupwa.
Huyo anastress zake huoni povu lake,istoshe badala ashauri anatokwa povu tu
 

Mkuu mimi ninakulaumu sana kwa kukubali kumuachia huyo mtoto akili kubwaz, ungemfanyia demotion mama chanja umpromote huyo mtoto mzuri....that was your better half, jaman mwanamke akiwa akili kubwaz ni raha mnooo, sasa rest in peace in your hell...ulishindwa kufanya maamuzi sahihi.
 
Rudi mndenyi ukatafune isalee mkuu,utamsahau huyo,japo na mm nna msala kama wako sema kias chake nmejarbu ku move on 60%

Jaman wanaume wenye misala ya hivi tungetafuta namna ya kuumgana na kusaidia ana hii kujifichaficha haitusaidii kwa kweli
 
Yaanii hizo sifa ulilozimwaga hapa,mkeo angepata neema hata ya kusoma tuu na kujua ni mumewe sidhani kama angesubiri urudi akuage,.. mkeo si kitu kwako,humpendi kweli..

Yaani huu uzi umeshavamiwa na wanawake toxic ambao wana judge kwa emotions hakuna namna ya kuwablock wasiharibu uzi?!
 

Mkuu achana kujibishana na hii mikitu unakua kama mgeni hapa JF?! Hawa watakuchosha tu they are toxic broken feminists
 
Mkuu acha tu mwamba nilikua kwenye send off eoho inaniuma ila nacheka kinafki tu...sikupiga hata bia mzee! She is still cool ila ss hv kuna mipaka ya muda ktk mawasiliano...umejuaje ilikua ni mchanganyiko wa kihaya na mmarangu aisee!
Utavujisha siri sasa.
 
Eti she was God fearing wakati mlikuwa wazinzi tu
 

We ni boga sana mkuu kukubali kumuacha huyu mtoto kwa sababu eti una ndoa
 
Na wewe ni toxic nani..??

Mimi huwa sipendi anawasilisha changamoto yake anahitaji ushauri wa kujenga, wanafiki hasa wanawake wanaanza kumlaumu, kumtukana na kumfanya ajione ni mwovu kuliko shetani. As long as tunaishi tutaendelea kukosea daima, kikubwa ni kushauriana with facts bila kuweka emotions.
 
Hahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…