Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?


Bora umeelewa
 
Mchepuko hapendwi wewe ,mchepuko ni kwa ajili ya kusuza rungu tu basi.
 
Hapo ndio nnajivunia kua Muislam, aisee ningeoa huyo awe mke mdogo, hawa viumbe wenye akili wamekua adimu na ukimpata weka ndani laa sivyo majuto ni mjukuu
 
Hapo ndio nnajivunia kua Muislam, aisee ningeoa huyo awe mke mdogo, hawa viumbe wenye akili wamekua adimu na ukimpata weka ndani laa sivyo majuto ni mjukuu

Kaka umeongea ukweli hawa viumbe kuwabahatisha wenye akili ni wachache mno!
 
.... Huu uzi umekuwa mtamu Kama hako kabinti aisee .... unaweza ukakufanya uombe ushauri njinsi gani utaweza kuacha kuusoma ....

.... Ushauri wangu... punguza mawasiliano ... najua uko addicted nae but in a long run utajikuta umeanza kumsahau.... Just like hivo yaani ...
 

Ntafanya hvyo chief lbd itasaidia
 

Wenzako wakipata wa hivi wanaoa awe mke wa pili.... Ndoa inafungwa hata kimila au bomani.

Binafsi nisingemuachia.
 
Anza kufurahia matendo ya mkeo Ila kama mkeo ni mtu wa Kilimanjaro aisee utalia kila mara iasee wale dada zangu hawawezi kukupa furaha wala kukufariji zaidi ya lawama naamini mchepuko alikuwa mtu wa mkoa tofauti na kaskazini Ila punguza mawasiliano kama miezi mi3 then ushepu uhusiano wenu kuwawa kindugu japo najua mbeleni utakuja kurudisha jeshi kwake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Wewe bhana umenifanya nicheke. Umemkomalia kumwambia "huyo ni chaguo lakooo". Ujue jamaa anaumia. Maumivu anayopitia nayajua na ni makali sana, kwa hiyo usimuumize zaidi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Mwenzio anatamani amuache mkewe ili amchukue mchepuko ila ndio hivyo it is too late ila wewe umekazana kumsukumizia kwa mkewe tu. Amini usiamini huyo mchepuko ikitokea akamwomba jamaa amwache mkewe amuoe jamaa atakubali. Jamaa keshadata, chezea moyo ukipenda wewe!
 
Kumuacha mkewe hawezi pia, otherwise angeshamuacha kitambo
 
Kumuacha mkewe hawezi pia, otherwise angeshamuacha kitambo
Read between the lines. Mwanzoni hakumuacha mkewe kwa sababu mchepuko ulikuwa bado haujaolewa. Sasa hivi maumivu anayopitia hayamithiliki, yupo kwenye tanuru la moto. Sisi wanaume tunajijua. Ikitokea mchepuko ukarudi kwa sharti la kuolewa hatafikiri hata mara mbili, jibu litakuwa yes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…