Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Sasa ulitaka awe mkeo wa pili wa sirini au muendelee tu kuchepuka hadi mwisho wa uhai wemu? Mlishakubaliana kwamba hamuwezi kuoana, obviously na yeye alikuwa anatamani awe na mume wake na familia yake kwa uhuru, sio kufichwa fichwa. Sikupatii picha ulivyodata teh
Na bora hakusema tu maana ningefanya nuu chini asimuoe!
 
Kwa mhaho ninaoupata ni nitakubali kwa kufuga mm kwa speed ya 4g! Nimepigwa na mapenz uzeen maumivu yamezidi ht nilivyoachwa na kapenz kangu ka kwanza kukapenda[emoji28]...halafu nae alikua ana character km za wife na huyu anainipa mhaho...wanaume weupe sijui nn kinatuvutaga km sumaku kwa hizi pisi za chocolate.
Mkuu mimi nakuelewa sana. Hata nikikupa pole haitasaidia. Kwanza neno pole lingefutwa tu halisaidii chochote.
 
Sasa ulitaka awe mkeo wa pili wa sirini au muendelee tu kuchepuka hadi mwisho wa uhai wemu? Mlishakubaliana kwamba hamuwezi kuoana, obviously na yeye alikuwa anatamani awe na mume wake na familia yake kwa uhuru, sio kufichwa fichwa. Sikupatii picha ulivyodata teh

Yaani angekubali sababu nilishaona ile red alert ya kupigwa buti ningemuoa hata ya serikali wakati nafatilia process za divorce nipate ya kanisani.
 
Kwa kweli, angekuja kumuoa afu aje aseme kama huo upendo bado upo vilevile. Maisha ya kukutana kwa ajili ya kuchepuka tu, na maisha ya familia ni tofauti kabisa. Hata mkewe naamini alimpenda sana wakati wa dating.

Kwa kweli, angekuja kumuoa afu aje aseme kama huo upendo bado upo vilevile. Maisha ya kukutana kwa ajili ya kuchepuka tu, na maisha ya familia ni tofauti kabisa. Hata mkewe naamini alimpenda sana wakati wa dating.
Umesema yote, mapenzi ya kujificha mazuri bwana, asikuambie mtu, ile tu sense ya kuwa hiki si cha kwangu na muda ni mchache wa ku spend nae na ni kwa siri kuna exictment,ungekaa nae kama mke for few years ungekuweza kuwa tathmini tofauti na hiyo, all in all pole kwa maumivu, heals with time.
 
Umesema yote, mapenzi ya kujificha mazuri bwana, asikuambie mtu, ile tu sense ya kuwa hiki si cha kwangu na muda ni mchache wa ku spend nae na ni kwa siri kuna exictment,ungekaa nae kama mke for few years ungekuweza kuwa tathmini tofauti na hiyo, all in all pole kwa maumivu, heals with time.

Asante sista!
 
Dada angu nashukuru ila siwezi simulia humu(it is a small world na inahusisha watoto wangu pia,i have hurt them enough siwez endelea waumiza hata kama hawajui kama kuna JF).Mi sio malaika,nilishakosea sana hususan ukaribu na ex's baad ya ndoa,nikaumiza hisia za watu innocent sana,mara nyingine nikikaa peke yangu najisikia hukumu sana sababu ya mahusiano yangu ya nyuma.
Ukiweza kimbia zinaa kimbia sanaaaaaa,sanaa yaani.Dhambi tamu yenye matokeo machungu always.
nb:sijawaweza kuwa mtakatifu sana ila am still working on my frailties
ninatamani sana nisome hiki kisa please
 
Kwa mawazo haya nawaelewa sasa wake za watu wanaochepuka......


Na nawaomba msamaha kwa kushangaa kwa jini wanachepuka ilhali wameolewa.....


Aisee


Chepukeni tu


Kama waume ndio wanawaona hivi...hakuna namna!!!
By default, mke akishazaa watoto huwa hanogi tena, anahamishia mapenzi kwa mtoto/watoto..

Majukumu yanaongeza stress mpaka unamuona mkeo hananogi kwa lolote...kodi,ada,matibabu, bili za maji, umeme....hivi vyote vinafanya mke asiwe mtamu hata..

Mume unakuwa ni ziada tu,....hupewi tena attention kubwa, hupetiwipetiwi, ikifika muda wa teno hakuna maandalizi, huo muda mke hana..

Mke anakuambia, baba nanihii nikishalala usiniamshe, na huko kitandani anakupanulia tu mapaja....twa twaa twaaa...paa paa paaa....bao...haya tulale..

Ukute tena mke mwenyewe ana gubu na makelele...mwanaume hata hilo bao moja unalipata kwa jasho kwa huyo mkeo..

Ikifikia hali hii, mwanaume akipata mchepuko,anasikia raha ya tendo kama vile yupo wapi sijui..

Si kwamba wanaume wanapenda kuchepuka kiasi hicho, tanuri linolofuka moshi huko ndani ya ndoa, ndiyo linasababisha mtu atafute kipoozeo

Mtoa post nimemuelewa sana.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kwa kweli huyu binti alinizidi akili nikiri! Maana siku ananiambia anakuja kutolewa mahari sikuamini..siku hiyo sikufanikiwa kuiona ila harusi na sendoff zote nilihudhuria..aisee nilihisi kulia na kucheka kwa wakati mmoja! Cha kunishangaza jamaa yuko very happy na kamzoea kbs mpk nikajiuliza kamzoea kwa muda gani! Yaani nilijiuliza maswali mpk leo majibu yk sina.
Binti anakuwa anacheza kama pele, wakati wewe hausomeki akapata mwingine na aliogopa kukwambia mapema kabla kule mambo hayajakaa sawa hivyo wewe ulikuwa kwenye mzani tu [emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Yaani angekubali sababu nilishaona ile red alert ya kupigwa buti ningemuoa hata ya serikali wakati nafatilia process za divorce nipate ya kanisani.
Sasa kama ulikuwa unampenda kilichokuwa kinakuzuia kufanya maamuzi ni kitu gani? Yule wa nyumbani ndiyo wako [emoji3][emoji3] wewe tulia naye ndiye fungu lako

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
My sister my life with this young lady was more than kuchojoana...she was my business planner...great adviser na mtu nnaewesa kumpa mashida mengi akayatatua iwe kwa ushauri au kwa chchote alichonacho narudia jamani mangi mwenzangu kapata mke.
Na si ajabu mkeo alikshakustukia mda tuu unajifarji kwamba hajui na hakuwah wakamata na ndo maana hata Pesa yk ulikua huiyon ht kwenye shda coz alijua yupo anaekupiga taff na kuchukua nafac yke ss ya nn upate huku na huku!!!alikua anawaangalia mwendo wenu tuu na mpk ss anakuangalia tuuu usifikie ni mjinga na punguan kiasi hiko!!! Believe me o nat mkuu mwanamke si wa kumchulia poa hata siku moja
 
Sawa ila wakati mwingine ni ngumu sana. Ukweli kuugeuza kuwa uongo ni kitu ambacho hakijawahi kuwezekana. Na inakuwa ngumu sana kukubali uliyoyasema hapo juu. Kibaya zaidi unakuta mwanamke wa ndoa siyo mzuri wala hana maajabu yoyote au kitu cha kufanya umsifie halafu linakuwa libabe ndani ya nyumba.

For instance, imagine the concubine is so curvaceous, she has a tight-fitting pussy than wife, she knows how to play with a man in bed etc. So do you think will be possible to consider what you said?
Sasa kwann ulimuoa kwan hizo piss Kali hukuziona wakati unaoa huyu ambae hana maajabu!!! Achen dharau jmn ndo nyie mnawatenda vibaya wake zenu ikifika utu uzima hakujal wala hakuthamin bize na watt wake kaz kwenda kuwatenbelea watt na watt wanamgombania unabak kusema watt na mke lao moja wamekutelekeza kumbe unalipa coz wakat unamfanyia mama yao vibweka na dhihaka kwamba hana mvuto, maajabu mjinga nk watt walikua wanaona!!!
 
By default, mke akishazaa watoto huwa hanogi tena, anahamishia mapenzi kwa mtoto/watoto..

Majukumu yanaongeza stress mpaka unamuona mkeo hananogi kwa lolote...kodi,ada,matibabu, bili za maji, umeme....hivi vyote vinafanya mke asiwe mtamu hata..

Mume unakuwa ni ziada tu,....hupewi tena attention kubwa, hupetiwipetiwi, ikifika muda wa teno hakuna maandalizi, huo muda mke hana..

Mke anakuambia, baba nanihii nikishalala usiniamshe, na huko kitandani anakupanulia tu mapaja....twa twaa twaaa...paa paa paaa....bao...haya tulale..

Ukute tena mke mwenyewe ana gubu na makelele...mwanaume hata hilo bao moja unalipata kwa jasho kwa huyo mkeo..

Ikifikia hali hii, mwanaume akipata mchepuko,anasikia raha ya tendo kama vile yupo wapi sijui..

Si kwamba wanaume wanapenda kuchepuka kiasi hicho, tanuri linolofuka moshi huko ndani ya ndoa, ndiyo linasababisha mtu atafute kipoozeo

Mtoa post nimemuelewa sana.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe una uzoefu! Ni kweli hakuna mwanaume anapenda kuchepuka ila hawa wake zetu! Mungu anajua tu
 
Binti anakuwa anacheza kama pele, wakati wewe hausomeki akapata mwingine na aliogopa kukwambia mapema kabla kule mambo hayajakaa sawa hivyo wewe ulikuwa kwenye mzani tu [emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app

Mpaka hapo mkuu utaelewa nn namaanisha kuhusu huyu binti kua na intelligence Qualification kubwa.
 
Na si ajabu mkeo alikshakustukia mda tuu unajifarji kwamba hajui na hakuwah wakamata na ndo maana hata Pesa yk ulikua huiyon ht kwenye shda coz alijua yupo anaekupiga taff na kuchukua nafac yke ss ya nn upate huku na huku!!!alikua anawaangalia mwendo wenu tuu na mpk ss anakuangalia tuuu usifikie ni mjinga na punguan kiasi hiko!!! Believe me o nat mkuu mwanamke si wa kumchulia poa hata siku moja

Hakua ananipiga taff ila alikua anatoa msaada inapobidi! Nimempa goodtime nyingi huyu binti sababu alikua anastahili kuzipata...huyu wife ajue niko na yule binti akae kimya??

Thubutu! Kila siku namfuma anamendea cm yangu sema hapati ushahidi namuangalia tu kwanza ingekua sio mm kufahamiana na wazazi wa huyu binti ningeacha ht hizo txts, calls na miamala nnayomtumia aikute tu maana hataki kuplay ktk nafasi yk km mke! Hiyo pesa yk siooni nduo ila haijaleta hasara yyt stress anapata yy kuona nnavyomuignore matendo yk huku nazid kunawiri tu..stress nimezionja ss hv baada ya mtoto mzuri kuolewa.
 
Back
Top Bottom