Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

😂 😂 😂 😂 dah....eti huko kwangu ni Afghanistan mabomu daily....😂😂😂...inaitwa gusa unase.....mkeo mna watoto tayari?? Yaani nakuona unatamani mkeo achepuke umfumanie😂😂😂😂😂.....ila elewa keshaolewa na ni MUKE YA MANGI........yaheshimu marinda yako....
 
Habari za mida wakuu!

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni member wa JF muda ila imenibidi nifungue ID mpya kutokana na kuepusha sintofahamu za hapa na pale..ningependa nisamehewe mimi sio muandishi mzuri sana ila nadhani ntaeleweka.

Mimi ni kijana wa mid 30's ni mwenyeji wa mikoa ya kaskazini mnamo mwaka 2015 M/Mungu alinibarikia ndoa takatifu ya kanisa katoliki ambapo nilimuoa binti wa kihaya mrembo...mke wangu ni mzuri,msomi na mengine
Mangi wa Rombo ebu Leta namba ya binti tumvuruge aachike uendelee kujilia hahahahaha eti siku Zote hizo hujampa Hata mimba mburaaaaaaa
 
Habari za mida wakuu!

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni member wa JF muda ila imenibidi nifungue ID mpya kutokana na kuepusha sintofahamu za hapa na pale..ningependa nisamehewe mimi sio muandishi mzuri sana ila nadhani ntaeleweka.

Mimi ni kijana wa mid 30's ni mwenyeji wa mikoa ya kaskazini mnamo mwaka 2015 M/Mungu alinibarikia ndoa takatifu ya kanisa katoliki ambapo nilimuoa binti wa kihaya mrembo...mke wangu ni mzuri,msomi na mengine mazuri pia nikiri ninampenda na yy ananipenda pia ana kasoro zake nadhani na mm nnazo km binadamu ila
Kwahiyo mkeo sio mtamu mkuu.. yaani hanogi tuu hata kwa kulumangia.!??
 
Wako wengi kwenye ndoa na hawapendani. What I see is really mlipendana ndio maana iko hivyo. Ukishampenda mtu kumuondoa moyoni sio kazi rahisi. Endelea kumpenda na kumheshimu. Usi-deny kumpenda. Endelea kujifunza dhana ya love may sometime entail letting go. Cherish good memories mlikuwa nazo pamoja. Mengine yaache yatafanywa na muda.
Sidhani kama ni upendo bali ni lust
 
Nimecheka tu hapo ulipo sema kwamba (maana huko kwangu ni Afghanistan kila siku ni mabomu yanalipuka)😂😂😂
Anyway, pole sana mkuu....
Hilo nalo litapita, kikubwa jifundishe kumpenda na kumvumilia mkeo
 
Habari za mida wakuu!

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni member wa JF muda ila imenibidi nifungue ID mpya kutokana na kuepusha sintofahamu za hapa na pale..ningependa nisamehewe mimi sio muandishi mzuri sana ila nadhani ntaeleweka.

Mimi ni kijana wa mid 30's ni mwenyeji wa mikoa ya kaskazini mnamo mwaka 2015 M/Mungu alinibarikia ndoa
Sijui kwanini namuonea huruma Bwana harusi kuliko wewe.
 
Kwa kweli, angekuja kumuoa afu aje aseme kama huo upendo bado upo vilevile. Maisha ya kukutana kwa ajili ya kuchepuka tu, na maisha ya familia ni tofauti kabisa. Hata mkewe naamini alimpenda sana wakati wa dating.
Kabisa hasa hapa anamsifu zaidi kwa upande wa ngono pengine angemuoa angekinai na kutafuta kamchepuko kengine
 
Back
Top Bottom