Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Mzee baba ulidata huna budi kuruhusu uponyaji. Kwa maelezo yako inaonesha huyo binti ni mzuri sana

Kwa urembo Chief sina sbabu ya kudanganya ni mrembo haswa! Ana ile naturally beauty...wife ni mrembo ila kwa huyu bila kificho anasubiri.
 
Achana na definition, unakumbushwa hata Daud alikuwa God fearing King bila kumsahau Suleiman na michepuko yake

Nashukuru kwa ukumbusho! Wadada wengi najua wataattack hili its nature ila kbl ya kuattack wangejifunza kitu.
 
Chuma tu ndio huliwa na kutu mkuu ila cha mtu lazima kiliwe na mtu so sioni sababu ya wewe kuacha

Kikubwa usiri tu achana na roho mbaya ya kukunyima furaha inayokwambia muache kemea hilo pepo kabisa

[emoji28][emoji28] mzee ushauri wk km unaniingia hivi!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah....eti huko kwangu ni Afghanistan mabomu daily....[emoji23][emoji23][emoji23]...inaitwa gusa ! unase.....mkeo mna watoto tayari??
yaani nakuona unatamani mkeo achepuke umfumanie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....ila elewa keshaolewa na ni MUKE YA MANGI........yaheshimu marinda yako....

Hahahaha mkuu huu ni ukweli unaochoma aisee! Wife tuna watoto wawili sitamani achepuke nimfukize ila sitamani haka katoto kazuri kaondoke maishani mwangu naona kabisa ntayumba mzee! Nikiri ht maushauri mengi ya maendeleo na ufunguzi wa biashara katoa yy!
 
Mangi wa Rombo ebu Leta namba ya binti tumvuruge aachike uendelee kujilia hahahahaha eti siku Zote hizo hujampa Hata mimba mburaaaaaaa

Mkuu yaani usiseme hii kitu inaniuma balaa white niliyumba hapo aisee...ningetia mimba ningeweza kupata chata moja genius basi tu.
 
Nimecheka tu hapo ulipo sema kwamba (maana huko kwangu ni Afghanistan kila siku ni mabomu yanalipuka)[emoji23][emoji23][emoji23]
Anyway, pole sana mkuu....
Hilo nalo litapita, kikubwa jifundishe kumpenda na kumvumilia mkeo

Itabibidi nifanye hvy mkuu sina namna.
 
Back
Top Bottom