RomboMoshi
Senior Member
- May 17, 2021
- 188
- 228
- Thread starter
- #101
Dhambi gani ambayo haiepukiki..!??kaka usihalalishe dhambi kwasababu ya tamaa zako,.wewe ni mkristo hebu nikuulize ghafla umefia juu ya kifua cha mchepuko wako huyo anakuja Mungu mwenyewe anakuuliza ilikuwaje,utamjibu kuna dhambi haziepukiki???
My sister ukileta mjadala huu hatutafikia muafaka ila elewa tu kua she was a good woman nadhan ht angekua rafiki yk she was going to be a good friend!