Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Mkuu pole sana..mimi ni mwanamke nachelea kusema ulipata mchepuko sahihi ila huna budi kukubali ukweli si wako tena na maisha yaendelee

Kabisa sister mi nimekuelewa na ntafanyia kazi ushauri wako.
 
Yaan hata hapa naandika neno mchepuko ili niweze kueleweka na kutofautisha ila jina la mchepuko sio jina lake kabisaa...she is a my other woman who helped and loved me a lot.
Naamini na yeye kuamua kuolewa hajawahi kukuwekea mipaka ya kuwasiliana and that is why she invited you to her send-off usikute ulipiga kile Cha mwisho Cha kuagana kabla ya kwenda kwenye harusi ...

Aiseee Huyo alikuwa mchaga wa wapi Mumarangu au ...

I can figure out how she is short and nice
 
Habari za mida wakuu!

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni member wa JF muda ila imenibidi nifungue ID mpya kutokana na kuepusha sintofahamu za hapa na pale..ningependa nisamehewe mimi sio muandishi mzuri sana ila nadhani ntaeleweka.

Mimi ni kijana wa mid 30's ni mwenyeji wa mikoa ya kaskazini mnamo mwaka 2015 M/Mungu alinibarikia ndoa takatifu ya kanisa katoliki ambapo nilimuoa binti wa kihaya mrembo...mke wangu ni mzuri,msomi na mengine mazuri pia nikiri ninampenda na yy ananipenda pia ana kasoro zake nadhani na mm nnazo km binadamu ila kusema ukweli mke wangu huyu ana kaubabe,kaujeuri flani na kauvivu ambako kananikwwza ila nisimuhukumu sana yawezekana na mm nina kasoro zangu pia!

Nikienda kwenye point wakati nimetoka kuoa tu nikiwa na umri wa miaka28 tulipanga nyumba maeneo ya Mbezi ilikua ni nyumba nzima lakini ambayo ipo ndani ya fence ambayo mwenye nyumba nae ana nyumba yake kubwa humohumo na ndani ya fence hiyo kulikua na nyumba mbili za kupangisha na nyumba ya mwenye nyumba yetu inakua ya tatu kila mtu nyumba ilikua inajitegemea kuanzia umeme maji na kila kitu hvy kukutana kwetu ilikua ni mara chache sana! Tulipanga mle mimi na wife kwa muda wa miez km miwili sijawahi kukutana na watoto wa mwenye nyumba...nilikuja kumuona siku kwa kweli bila kificho moyo wangu ulishtuka kidogo alikua ni binti mdogo nilikuja kujua baadae alikua na 20 yrs mrembo mnoo! Alikua ana chocolate colour inayong'aa..ana nywele ndefu na nyeusi..shingo nzuri umbile na miguu ndio usiseme yule binti alikua ni mzuri mpk vidole nna hakika mwanaume yyt angemuona angemuappriciate urembo wake.

Sikuwah kumuongelesha maana nilikua namuona kwa mbali baadae alikuja kupotea machoni kumbe alikua kaenda chuo! Alikua akisoma chuo mikoa ya kati...Nilikuja kupata safari mkoa ule kikazi nilivyomaliza kazi usiku nikasema ngoja nikapate moja baridi kupunguza uchovu na ku explore mkoa ule...nikaenda kiwanja kimoja cha starehe ghafla nikamuona yule binti yuko pamoja na kijana flani mtanashati ila dogo tu it seems ni agemates...niliwaangalia kwa muda nikagundua kua hawakua sawa sababu jamaa alionekana km kasusa kaondoka akamuacha binti! Hahahahaaha! Nikasema utoto raha sana nilimfata yule binti nikamuona yuko down nikamsalimia kwa bashasha ila hakunikumbuka mapema ila nilivyomkumbusha akanikumbuka na kunichangamkia kiasi kiukweli yule binti alikua anataka kuondoka ila nikambembeleza sana akakubali kubaki tulipata vinywaji ila nia yangu ni kumla kimasihara sababu kiukweli kale kabinti kalikua kazuri katikati ya kinywaji akaniambia yy kashatosheka kilevi anahitaki kuondoka nilibembeleza tubaki lakini wapi akasema yy hana shida atachukua tu usafir wk nikaona mzee ntapoteza credit acha niwe gentleman nimpeleke...niliwasha gari ya ofisi niliyokua nayo pale nikampeleka mpk hostel aliyokua amepanga niliongia ndani akanipa glass ya maji kwa kweli nilivutiwa na mpangilio wake wa ndani alikua ni binti msafi...nilikunywa tu maji nikaondoka sikutaka kuonekana mzee fisi japo nilikua namuonea uchu balaa!

Alinipa namba yake nikaona ni ushindi tosha kesho yake nilimtafuta sababu nilikua na mawasiliano nae tayari akarespond vzr tu nikaomba meeting for lunch akakubali..kalikuja kamevaa simple bt classy aisee mzee mzima akili iliniruka nilijikaza kiume baada ya lunch tukapanda hotel niliyofikia...tukaangalia movie kakawa kanakunywa wine kidogo hamuwezi amini jinsi nilivyokua nazidi kukaa nae ndio confidence ikawa inazidi kushuka nikawa naogopa ht kumtongoza aisee! Mzee mzima nilikua km zoba ghafla nikasema...baadae yy mwnyew aliniambia lets sex this wine is making me horny jamani wakuu ilibaki kidogo nizimie kwa furaha nikataka nimrukie kavu akaniambia condom plz! Mbona ilipatikana bila kuchelewa..jamani kumshika yule binti alikua na mwili mlaini sijawahi ona...alikua na body scent nzuri mpk nikajiuliza haka katoto ni nini kanaapply kuglow kiasi hiki??

Wakuu nilikula mzigo yani yule mtoto alikua ni mtamuu kdg nikojoe damu...kwanza alivyovua nguo unatamani umuone masaa yote hajavaa...mashine ilikua ya motooo halaf ndogo km hajafanya vile cha kushangaza mtoto alinikimbiza alinipa shoo wallah sijawah pewa ht na mama chanja nilijiuliza kayajulia wapi huyu mtoto na kanavyoonekana kapole huwezi kadhania...jamani kiufupi niliienjoy sana yaani nadhani wakuu mnaelewa raha unayopata ukila demu mzuri..msafi na mtamu! Baada ya pale niwe mkweli niliendeleza shobo kwa yule mtoto mpk week ile nilimaliza kaz na kurud mjini Dar..kenyewe kalibaki kakaendlea na masomo! Nilirud Dar ila niliona kabisa kuna kitu kimepungua kwa ule muda niliokaa na yule mtoto nilisahau shida zotee kalikua ni kapole kasikivu halaf kana mapenzi balaaa ila sikua na jinsi.

Kufupisha ni kua yule binti niliendelea na mahusiano nae muda wotee wakati naishi pale kwao..cha ajabu hakuwahi kupunguza heshima kwa wife na sikuwah kumwambia hilo yule mtoto alikua na akili utadhan mtu mzima ilifikia mida kitu akinishauri nikikifanya lazima nifanikiwe na nikizingua kuacha kufanya lazima niende mrama! Kalimaliza chuo kakapata kazi kakafungua na biashara aisee yule binti akili za darasani alizopewa na Mungu sijui ni nani kampa! Nilikaa pale kwao kwa miaka4 mpk nilivyomaliza kujenga kasehemu kangu ila miaka yote huyo si wazazi wake...mke wangu wala mpangaji wa nyumba nyingine aliyegundua mahusiano yetu...japo we had a good time together and naweza kusema ni mtu wa karibu yangu kupita kiasi..amekua akinishauri vitu vingi mnoo na amenisaidia sehemu nyingi sana..yaani umri wake na mambo anayoyafanya ni haviendani.

Kilichofanya nije kutoa kilio changu hapa ni kwamba huyu binti alikuja kuniambia amepata mchumba na anataka kuja kutoa mahari kwao jamani wakuu ilibaki kidogo nichizike..wivu niliousikia sijui niufananishe na nn nilitaka hadi kuumwa ila nikatulia nikakumbuka mm nishaoa itabid kwa upande wake na yy maisha yaendelee! Nilijaribu kujitoa sana kwenye send off yake walau kulipa fadhila ya jinsi aliyonifanyia kwenye maisha yangu...hapa nnapotype ameshaolewa jamaa aliyemuoa ni mtu wa kwetu huko dah yule mjinga amepata mke mpk nasikia wivu wa hali ya juu shida inakuja ni ninashindwa kumuacha..jamani nafeli kumtoa kichwani.

Nilishamzoea safar zangu nying nilikua naenda nae! Mechi za mpira naangalia nae! She was funny,humble and God fearing...kapole na kasikivu yaani alinifanya nijihisi mwanaume maana huko kwangu ni Afghanistan kila siku ni mabomu yanalipuka! Ila nilikua nikitoka kulipukiwa nikikawaza kenyewe nasahau shida nafanya kazi kwa umakini na weledi mkubwa! Kalinionyesha upendo ambao sikuwahi kuuexperience! Kalikua kananipa mechi tamuu na kila siku km kapyaaa aisee yule mwamba amepata kisu kikali na jamaa linaringa kweli yaani kwenye harusi nilikua najitahidi kujichekesha maana nilialikwa km kaka niliekaa muda mrefu kwao na kwa amani ila wife angenichunguza kwa makini angeona jinsi nilivyopigwa kisu cha moyo...kalipendeza km malkia halaf kanaolewa na jamaa mwingine daah! Yaan upendo wote niliopewa anaenda kupewa yule jamaa nyie acheni tu.

Bado nina mawasiliano nae mazuri ila now kawa mke wa mtu najitahidi sana nimuepuke ila wazee wenzangu roho inashindwa nimemzoea sana I took her as a part of my life aisee nini nifanye nimtoe kichwani huyu binti? Six wonderful years with her zinaniumiza sana wakuu!

Ningeomba msinibeze au kunihukumu asikwambie mtu hakuna kitu kinakupa amani mwanaume km mwanamke msikivu,mchapakazi,anaekuheshimu mwenye kukushauri I mean akili kubwa halafu akawa mrembo na mtamu kitandani ni kweli nilitenda dhambi ya kucheat ila nadhan ni huyu aliefanya ndoa yangu imedumu mpk leo..sasa ameshakua wa mwingine nifanyeje kumtoa kichwani huyu binti?
She was funny,humble and God fearing... 🤣 🤣 🤣
 
Naamini na yeye kuamua kuolewa hajawahi kukuwekea mipaka ya kuwasiliana and that is why she invited you to her send-off usikute ulipiga kile Cha mwisho Cha kuagana kabla ya kwenda kwenye harusi ...

Aiseee Huyo alikuwa mchaga wa wapi Mumarangu au ...

I can figure out how she is short and nice

Mkuu acha tu mwamba nilikua kwenye send off eoho inaniuma ila nacheka kinafki tu...sikupiga hata bia mzee! She is still cool ila ss hv kuna mipaka ya muda ktk mawasiliano...umejuaje ilikua ni mchanganyiko wa kihaya na mmarangu aisee!
 
Jesus! Nimekua wa ovyo tena? Ww hauna tofauti na wife wazee wa kupanick na kutoa kauli chafu hebu pinguza fujo sista Heaven Sent alikua na uchungu ila alinielewesha kiustaarabu nikamuelewa km mwanamke...sasa haya mambo ya kuita watu malimbukeni mara useless mkiachwa wakapendwa wengine macho yanawatoka! Jifunze kua na kauli nzuri ktk kuwasilisha ujumbe utaeleweka zaidi kuliko kupanick my sister utakuja kunishukuru baadae!

NB:mchepuka haujawahi kua na upuuzi!
Ni ovyo kwa kweli. Na wala sijapanick , sipendi mwanaume anaetafta faraja upande wa pili badala ya kusolve tatizo alilo nalo upande wa kwanza. Hapa badala ukae utatue na mkeo kua uanataka hivi na vile na vile mahusiano yenu yawe safi huku mkishirikisha mwenyezi Mungu alie bariki mahusiano yenu unaenda kuharibu kwengine ambako kutaleta matatizo mengi.

U ar useless sababu hutumii akili. Sasa anza kuwaza kidunia huu uzinzi wako unaofanya ukaleta mtoto kwa huyo mchepuko , ataharibu ndoa yakr na yako, je hatma ya wanao itakuaje hii ndo ikiharibika? Heshima yako kwa wazazi wako wa mke wako na wa mchepuko wako maana uliwahi kupanga kwako?

We unaona unatumia akili ktk kutatua haya? Kama mke mchafu au hapangi nyumba vzur saidianeni tu napenda nyumba iwe safi, napenda kochi zikae hapa, napenda uwe msafi, napenda mazingira ya jiko yawe hivi, napenda mavazi haya tena unaweza mnunulia mwenyewe unachopenda na kwa uwezo wa mungu ndoa itakaa sawa.

Mpe muda wako, epuka kampani ya huyu dem wako, weka maslah ya famili mbele na achana na tamaa zako
 
Wanawake bwana! Tusimtafutie kasoro za lazima tabia njema anayo.
Hiyo siyo kasoro ya lazima ni ipo tu
hata wewe ungegundua mkeo enzi za uchumba anachepuka usingemuoa

by the way kumuacha ni rahisi tu
funga mawasiliano nae maumivu huponyeshwa na muda
 
Ni ovyo kwa kweli. Na wala sijapanick , sipendi mwanaume anaetafta faraja upande wa pili badala ya kusolve tatizo alilo nalo upande wa kwanza. Hapa badala ukae utatue na mkeo kua uanataka hivi na vile na vile mahusiano yenu yawe safi huku mkishirikisha mwenyezi Mungu alie bariki mahusiano yenu unaenda kuharibu kwengine ambako kutaleta matatizo mengi. U ar useless sababu hutumii akili. Sasa anza kuwaza kidunia huu uzinzi wako unaofanya ukaleta mtoto kwa huyo mchepuko , ataharibu ndoa yakr na yako, je hatma ya wanao itakuaje hii ndo ikiharibika? Heshima yako kwa wazazi wako wa mke wako na wa mchepuko wako maana uliwahi kupanga kwako? We unaona unatumia akili ktk kutatua haya? Kama mke mchafu au hapangi nyumba vzur saidianeni tu napenda nyumba iwe safi, napenda kochi zikae hapa, napenda uwe msafi, napenda mazingira ya jiko yawe hivi, napenda mavazi haya tena unaweza mnunulia mwenyewe unachopenda na kwa uwezo wa mungu ndoa itakaa sawa. Mpe muda wako, epuka kampani ya huyu dem wako, weka maslah ya famili mbele na achana na tamaa zako
Naweza kumtetea kidogo mchaga huyu
kuna wanawake hawaambuliki hasa hawa walioenda shule kidogo
 
naweza kumtetea kidogo mchaga huyu
kuna wanawake hawaambuliki hasa hawa walioenda shule kidogo
Shida yngu ni yeye kwenda kutafta faraja au hyo faraja ilijileta. Mimi naoana na naunga mkono kwa 100% mkishindwana muachane lkn sio kutfta faraja upande wa pili. Maliza hili la ndoa ulilo nalo kisha anza kutafta mtu mwingin. Na kama ni muislam basi huenda angeoa mke wa pili huyu wa kwanza akagunguka akili ikiwa na mambo ya ajabh
 
Umesema ni ka God fearing hahahaaa

Mi ndo mana hata kanisani sipendi kwenda maana watu ambao wanajulikana km God fearing ni balaa.

Sema shida mkeo sio mnyenyekevu,kibri na much know hivyo umepata opposite ya mkeo..

Wanawake ambao ni much know,viburi sio wanyenyekevu kudumu nao ni lazima uwe na mahusiano ya nje otherwise ndoa haitoboi hata miaka 5
 
Ni ovyo kwa kweli. Na wala sijapanick , sipendi mwanaume anaetafta faraja upande wa pili badala ya kusolve tatizo alilo nalo upande wa kwanza. Hapa badala ukae utatue na mkeo kua uanataka hivi na vile na vile mahusiano yenu yawe safi huku mkishirikisha mwenyezi Mungu alie bariki mahusiano yenu unaenda kuharibu kwengine ambako kutaleta matatizo mengi. U ar useless sababu hutumii akili. Sasa anza kuwaza kidunia huu uzinzi wako unaofanya ukaleta mtoto kwa huyo mchepuko , ataharibu ndoa yakr na yako, je hatma ya wanao itakuaje hii ndo ikiharibika? Heshima yako kwa wazazi wako wa mke wako na wa mchepuko wako maana uliwahi kupanga kwako? We unaona unatumia akili ktk kutatua haya? Kama mke mchafu au hapangi nyumba vzur saidianeni tu napenda nyumba iwe safi, napenda kochi zikae hapa, napenda uwe msafi, napenda mazingira ya jiko yawe hivi, napenda mavazi haya tena unaweza mnunulia mwenyewe unachopenda na kwa uwezo wa mungu ndoa itakaa sawa. Mpe muda wako, epuka kampani ya huyu dem wako, weka maslah ya famili mbele na achana na tamaa zako

Kwanza ningependa nikwambie kitu sista mimi ni mwanaume mwenye asili ya upendo na upole sikutaka kuandika mengi juu ya shida za wife ila ungejua ht usingeteseka kuandika hii essay kunihukumu!

Mpk kwny ukoo na familia naonekana zoba kwa huyu mke wangu...wazazi wangu na wanandugu kila siku wananilaumu namuendekeza kwa jinsi tabia zake zilivyo! Hakuna siku aliyowahi kukubali km kakosa huyu mwanamke mwenzio!

Ubabe alionao hata john cena hamfikii mamiloo! Mshahara wake ukishaingia akayengeneza makucha yake na mawigi km joti hana habari! Ukimwambia anawaka km moto wa kifuu anajua mimi ni mnyonge ntanyamaza kumpiga siwezi sababu sijaumbwa hivyo!

Kwanza maisha ya hapa nyumbani sitamani housegirl aondoke maana itakua sio nyumba bali ni stoo watoto watakua wachafu balaa...housegirl niseme km ndio kashikilia huu mji we dada acha kuongea usichokijua mimi si fala au nisiejua thamani ya mke tena ninakua mpole mnoo ili kuepusha kutesa watoto wangu.
 
Hiyo siyo kasoro ya lazima ni ipo tu
hata wewe ungegundua mkeo enzi za uchumba anachepuka usingemuoa

by the way kumuacha ni rahisi tu
funga mawasiliano nae maumivu huponyeshwa na muda

Yawezekana alikua nae ila sikujua kwani hata huyu aliemuoa hakujua ndio maana amemuoa hayo mengine ukitaka kuyajua sna utateseka...kikubwa heshima.
 
naweza kumtetea kidogo mchaga huyu
kuna wanawake hawaambuliki hasa hawa walioenda shule kidogo

Sista mimi sio mpumbavu nisimuheshimu wife na kumpenda hapa sijataka hata kuandika kasoro za wofe sababu ya heshima tu ila wazazi wangu wenyewe dizaini km wamenitenga sababu ya huyu mwanamke ndugu wa kiume na rfk zangu close kila siku walikua wakiniambia kw nn nisitimue wife nioe huyu kwa matendo aliyonayo wife!

Kwanza ubabe pale ndipo ulikozaliwa..dharau yake haijali mkubwa mdogo,mama mkwe wala cha baba mkwe nyie acheni! Atakaloamua ndio kaamua hata km halina faida...kuna muda wakati niko na huyu nilikua najisikia vibaya kwa nn nampenda sana huyu na si wife wangu ngj nijaribu kushauri lbd na yy atabadilika na mm ntakua na ndoa ya furaha...

Nimebembeleza na kushauri mpk nimechoka zaidi ananiambia nisinpande kichwani ana kazi yake atafanya analoona ni sahihi! Ikabidi nicheke tu nikaushe...naenda kw binti huyu ana kazi na biashara na mshahara kumzidi wife nakuta mtu ni mtii na muelewa nyie acheni! Huyu mangi mwenzangu mpk kufikia kuoa aliona madini aliyonayo huyu binti.
 
Se

Serious, mwanamke akiwa jeuri,mkorofi na hakuheshimu huwa hanogi! Zaidi akiwa gogo.

Sista mimi sio mpumbavu nisimuheshimu wife na kumpenda hapa sijataka hata kuandika kasoro za wofe sababu ya heshima tu ila wazazi wangu wenyewe dizaini km wamenitenga sababu ya huyu mwanamke ndugu wa kiume na rfk zangu close kila siku walikua wakiniambia kw nn nisitimue wife nioe huyu kwa matendo aliyonayo wife! Kwanza ubabe pale ndipo ulikozaliwa..dharau yake haijali mkubwa mdogo,mama mkwe wala cha baba mkwe nyie acheni! Atakaloamua ndio kaamua hata km halina faida...kuna muda wakati niko na huyu nilikua najisikia vibaya kwa nn nampenda sana huyu na si wife wangu ngj nijaribu kushauri lbd na yy atabadilika na mm ntakua na ndoa ya furaha...nimebembeleza na kushauri mpk nimechoka zaidi ananiambia nisinpande kichwani ana kazi yake atafanya analoona ni sahihi! Ikabidi nicheke tu nikaushe...naenda kw binti huyu ana kazi na biashara na mshahara kumzidi wife nakuta mtu ni mtii na muelewa nyie acheni! Huyu mangi mwenzangu mpk kufikia kuoa aliona madini aliyonayo huyu binti.
Nakuelewa mpuuzie usiongee nae endelea na mambo yako
 
Se

Serious, mwanamke akiwa jeuri,mkorofi na hakuheshimu huwa hanogi! Zaidi akiwa gogo.

Bora hata angekua gogo ila ana heshima na muelewa mbona anavumilika tu! Shida ni haya masokomoko aliyonayo mzee acha tu.
 
Mkuu acha tu mwamba nilikua kwenye send off eoho inaniuma ila nacheka kinafki tu...sikupiga hata bia mzee! She is still cool ila ss hv kuna mipaka ya muda ktk mawasiliano...umejuaje ilikua ni mchanganyiko wa kihaya na mmarangu aisee!
Hiyo cocktail haiwezi kuwa ya sehemu tofauti tu halafu awe bright na very reasoning kiasi hicho Tena humble...
 
Shida yngu ni yeye kwenda kutafta faraja au hyo faraja ilijileta. Mimi naoana na naunga mkono kwa 100% mkishindwana muachane lkn sio kutfta faraja upande wa pili. Maliza hili la ndoa ulilo nalo kisha anza kutafta mtu mwingin. Na kama ni muislam basi huenda angeoa mke wa pili huyu wa kwanza akagunguka akili ikiwa na mambo ya ajabh

Km hujaolewa nakuombea uolewa sistaa na km tayari ukae ukijua mwanaume kucheat inatokea sana tena si mara moja km nilivyoeleza mwanzo sikutoka kutafuta faraja ni tamaa tu za kimwili na km nilivyosema kwny comment moja hapo juu ht baada ya kuchepuka nae nilishawah kuchepuka ila tabia za huyu binti ndio zilifanya niliweka makazi kwake nikatulia na sikuchepuka tenaaaa nikawa na yy na wife tu! Dada ukiwa na tabia njema kwa mwanaume mielewa hawezi mpa credit mwanamke wa nje zaidi yako!
 
Umesema ni ka God fearing hahahaaa

Mi ndo mana hata kanisani sipendi kwenda maana watu ambao wanajulikana km God fearing ni balaa.


Sema shida mkeo sio mnyenyekevu,kibri na much know hivyo umepata opposite ya mkeo..

Wanawake ambao ni much know,viburi sio wanyenyekevu kudumu nao ni lazima uwe na mahusiano ya nje otherwise ndoa haitoboi hata miaka 5

Sio God fearing kwa ishu za kwenda kanisani hamna! Namaanisha jinsi anavyoishi na jamii ya nje tofauti na mm...jinsi anavyobehave kwa majirani zake..marafiki na watu wengine trust me ana hofu ya Mungu ndani yake!

Daah wife wangu ni balaa acheni tu kwanza watu wa nje wananionaga lofa kwake sema nakausha tu nilee wanangu.
 
Ni ovyo kwa kweli. Na wala sijapanick , sipendi mwanaume anaetafta faraja upande wa pili badala ya kusolve tatizo alilo nalo upande wa kwanza. Hapa badala ukae utatue na mkeo kua uanataka hivi na vile na vile mahusiano yenu yawe safi huku mkishirikisha mwenyezi Mungu alie bariki mahusiano yenu unaenda kuharibu kwengine ambako kutaleta matatizo mengi. U ar useless sababu hutumii akili. Sasa anza kuwaza kidunia huu uzinzi wako unaofanya ukaleta mtoto kwa huyo mchepuko , ataharibu ndoa yakr na yako, je hatma ya wanao itakuaje hii ndo ikiharibika? Heshima yako kwa wazazi wako wa mke wako na wa mchepuko wako maana uliwahi kupanga kwako? We unaona unatumia akili ktk kutatua haya? Kama mke mchafu au hapangi nyumba vzur saidianeni tu napenda nyumba iwe safi, napenda kochi zikae hapa, napenda uwe msafi, napenda mazingira ya jiko yawe hivi, napenda mavazi haya tena unaweza mnunulia mwenyewe unachopenda na kwa uwezo wa mungu ndoa itakaa sawa. Mpe muda wako, epuka kampani ya huyu dem wako, weka maslah ya famili mbele na achana na tamaa zako
Ndoa ilihasharibika ndiyo Maana Ndugu huyu ameshajua mtego wa mkewe Ni kumfilisi kabisa Ila ameamua kutofikia adhima ya kutarakiana kwa kuwa madhara Ni makubwa kwa mtego wa mkewe ndiyo Maana Hata mke hataki kuinject Hata Senti Moja kwenye malezi Wala makuzi wlya watoto wake.. Kama umesoma vizuri ulifika kipindi mtoto anaumwa na Mambo ya biashara yamekwama akimuomba mke hatowi Hata Senti Sasa Hapo kwa mama nyingine hakuna Ndoa kabisa... In short anaishi naye Kimkakati hahaha samahani mtoa mada Kama nitakuwa nimelewa vibaya..

Baby Zu Kama hauko kwenye Ndoa nakuomba acha kuwa na jaziba hujui maswahibu ya Ndoa Wewe bado mdogo Sana
 
Back
Top Bottom