Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Shida yngu ni yeye kwenda kutafta faraja au hyo faraja ilijileta. Mimi naoana na naunga mkono kwa 100% mkishindwana muachane lkn sio kutfta faraja upande wa pili. Maliza hili la ndoa ulilo nalo kisha anza kutafta mtu mwingin. Na kama ni muislam basi huenda angeoa mke wa pili huyu wa kwanza akagunguka akili ikiwa na mambo ya ajabh
Umeolewa au upo kwenye Mahusiano yanayotambulika? Mchaga wetu asiwe anakadiliana na Hawa wasoma tamthilia wakidhani ndiyo Maisha halisi ya Ndoa....

Fafanua marital status yako Kwanza ili tujue ukomavu wako wa hoja yako.
 
Sista mimi sio mpumbavu nisimuheshimu wife na kumpenda hapa sijataka hata kuandika kasoro za wofe sababu ya heshima tu ila wazazi wangu wenyewe dizaini km wamenitenga sababu ya huyu mwanamke ndugu wa kiume na rfk zangu close kila siku walikua wakiniambia kw nn nisitimue wife nioe huyu kwa matendo aliyonayo wife! Kwanza ubabe pale ndipo ulikozaliwa..dharau yake haijali mkubwa mdogo,mama mkwe wala cha baba mkwe nyie acheni! Atakaloamua ndio kaamua hata km halina faida...kuna muda wakati niko na huyu nilikua najisikia vibaya kwa nn nampenda sana huyu na si wife wangu ngj nijaribu kushauri lbd na yy atabadilika na mm ntakua na ndoa ya furaha...nimebembeleza na kushauri mpk nimechoka zaidi ananiambia nisinpande kichwani ana kazi yake atafanya analoona ni sahihi! Ikabidi nicheke tu nikaushe...naenda kw binti huyu ana kazi na biashara na mshahara kumzidi wife nakuta mtu ni mtii na muelewa nyie acheni! Huyu mangi mwenzangu mpk kufikia kuoa aliona madini aliyonayo huyu binti.
Huyu baby Zu akiendelea kuongea Mambo ya dawati la jinsia sijui usitawi wa jamii Basi tunamuonea huruma muhenga ambaye Yuko naye....

Baby zu anaonekana bonge la pasua kichwa...

Kingine Mangi kusema ukweli ulikuwa na kichwa ngumu kumuoa Huyo mhaya aisee Tena wa hivyo sijui atakuwa mnyambo wa kagera ona Sasa anavyokutesa halafu yeye Hata hajali

Bora utafute Pisi nyingine Kali unajua wanatusaidiana Sana acha tu..

Michepuko yenye Akili IPO na Mungu aendelee kuitunza hahahaha
 
Ndoa ilihasharibika ndiyo Maana Ndugu huyu ameshajua mtego wa mkewe Ni kumfilisi kabisa Ila ameamua kutofikia adhima ya kutarakiana kwa kuwa madhara Ni makubwa kwa mtego wa mkewe ndiyo Maana Hata mke hataki kuinject Hata Senti Moja kwenye malezi Wala makuzi wlya watoto wake.. Kama umesoma vizuri ulifika kipindi mtoto anaumwa na Mambo ya biashara yamekwama akimuomba mke hatowi Hata Senti Sasa Hapo kwa mama nyingine hakuna Ndoa kabisa... In short anaishi naye Kimkakati hahaha samahani mtoa mada Kama nitakuwa nimelewa vibaya..

Baby Zu Kama hauko kwenye Ndoa nakuomba acha kuwa na jaziba hujui maswahibu ya Ndoa Wewe bado mdogo Sana

Hujaelewa tofauti jombaa! Wife ni muajiriwa serikalini ila mshahara wake Mungu ananiona sijui anafanyiaga nn nimekausha sababu nna uwezo wa kunhandle familia na kumlisha yy! Km binadamu nafika time nakwama namuomba msaada ananiambia si ukope ht kwa rafiki zako huko mi hela naolitolea wapi! Mind that nanunua kila kitu ndani...nimejenga kwa hela yangu full msaada nikikwama napewa na huyu binti nnaemuita mchepuko...mtu amenikopea mil12 akaniamini akanipannimeanza biashara namlipa kidogokidogo huku huyu wife johncena anakula tu matunda ya biashara ya mwanamke mwenzake halafu unasema nisimthamini huyu binti ntakua na akili??? Mambo hayakwenda sawa mtoto nusu akae nyumbani kisa ada binti wa watu ananiazima namrudishia nafikia nusu deni anasema basi baby umenisaidia vingi hiyo iliyobaki fanyia mambo mengine na mama wa mtoto yupo kabandika makucha km zimwi na wigi lake km mpoki hana time anasema kopa ht kwa rfk zako mi sina hela hlf nisipagawe kuachana na huyu bi dada? Baby zu hayuko serious ht kdg
 
Umeolewa au upo kwenye Mahusiano yanayotambulika? Mchaga wetu asiwe anakadiliana na Hawa wasoma tamthilia wakidhani ndiyo Maisha halisi ya Ndoa....

Fafanua marital status yako Kwanza ili tujue ukomavu wako wa hoja yako.

Ht mm comment yng hapo juu nimeuliza km kaolewa na nimemuombea km bado Mungu ampe mume halafu abehave km wife aone km atatoboa lbd apate mtu mpole na disminder km mm na atamchepukia tuuu km tabia zitakua ni hizo.
 
Hujaelewa tofauti jombaa! Wife ni muajiriwa serikalini ila mshahara wake Mungu ananiona sijui anafanyiaga nn nimekausha sababu nna uwezo wa kunhandle familia na kumlisha yy! Km binadamu nafika time nakwama namuomba msaada ananiambia si ukope ht kwa rafiki zako huko mi hela naolitolea wapi! Mind that nanunua kila kitu ndani...nimejenga kwa hela yangu full msaada nikikwama napewa na huyu binti nnaemuita mchepuko...mtu amenikopea mil12 akaniamini akanipannimeanza biashara namlipa kidogokidogo huku huyu wife johncena anakula tu matunda ya biashara ya mwanamke mwenzake halafu unasema nisimthamini huyu binti ntakua na akili??? Mambo hayakwenda sawa mtoto nusu akae nyumbani kisa ada binti wa watu ananiazima namrudishia nafikia nusu deni anasema basi baby umenisaidia vingi hiyo iliyobaki fanyia mambo mengine na mama wa mtoto yupo kabandika makucha km zimwi na wigi lake km mpoki hana time anasema kopa ht kwa rfk zako mi sina hela hlf nisipagawe kuachana na huyu bi dada? Baby zu hayuko serious ht kdg
Makucha na Makope Kama ya Joti ...Huyu mlikofikia hakuna ndoa brother mpaka unamuita zimwi Sasa ole wako uanzishe timbwili la kuachana naye utakuja kujuta..

Friends Mke asiye msaada Ni sawa na changudoa tu ..Zitambue sifa za changudoa
 
Yani we mwanaume wa ovyo kabisa, Mungu amfanyie wepes huyo mkeo maana hapa amekula hasara,
Kaa na mkeo chini mwambie yale yote unayotamani mboreshe na mahusiano yenu achana na huo mchepuko wako, tena jua kabisa unafanya dhambi kubwa na shetani kakukalia unajikuta unasifia upuuzi wa huo mchepuko. Nachukia sana wanaume aina yako, ovyo kabisa.nachukia pia wanawake wanaoingilia ndoa za watu.
Mkeo huko utakuta hakuelewi kumbe ulimbuken wako ndo unaokusmbua.
Useless
Kumuita mwenzako wa hovyo sio vizuri,kila mtu ana yake anayajua mwenyw,sidhani kama uko 100% perfect,watu jamii ya nyie ndo mnaojifanya makanisani/misikitini muda wote kumbe waovu wa kutupwa.
 
Hahahaha mkuu huu ni ukweli unaochoma aisee! Wife tuna watoto wawili sitamani achepuke nimfukize ila sitamani haka katoto kazuri kaondoke maishani mwangu naona kabisa ntayumba mzee! Nikiri ht maushauri mengi ya maendeleo na ufunguzi wa biashara katoa yy!
inakubidi ukubali matokeo....na mchepuko ako na mind gani??? au yeye kwake ni poa tuu....namuonea huruma mme mwenzio aisee...nyie wanawake nyie....HAMTAKIWI KUCHEPUKA.....
 
Ni ovyo kwa kweli. Na wala sijapanick , sipendi mwanaume anaetafta faraja upande wa pili badala ya kusolve tatizo alilo nalo upande wa kwanza. Hapa badala ukae utatue na mkeo kua uanataka hivi na vile na vile mahusiano yenu yawe safi huku mkishirikisha mwenyezi Mungu alie bariki mahusiano yenu unaenda kuharibu kwengine ambako kutaleta matatizo mengi. U ar useless sababu hutumii akili. Sasa anza kuwaza kidunia huu uzinzi wako unaofanya ukaleta mtoto kwa huyo mchepuko , ataharibu ndoa yakr na yako, je hatma ya wanao itakuaje hii ndo ikiharibika? Heshima yako kwa wazazi wako wa mke wako na wa mchepuko wako maana uliwahi kupanga kwako? We unaona unatumia akili ktk kutatua haya? Kama mke mchafu au hapangi nyumba vzur saidianeni tu napenda nyumba iwe safi, napenda kochi zikae hapa, napenda uwe msafi, napenda mazingira ya jiko yawe hivi, napenda mavazi haya tena unaweza mnunulia mwenyewe unachopenda na kwa uwezo wa mungu ndoa itakaa sawa. Mpe muda wako, epuka kampani ya huyu dem wako, weka maslah ya famili mbele na achana na tamaa zako
Wewe ukifuatiliwa kwa ukaribu utakuwa ni muovu zaidi ya huyo jamaa,nina uzoefu na watu wa aina yako yaani wanajifanya wako perfect lakini mambo wanayofanya hata mungu hapendi.
 
Makucha na Makope Kama ya Joti ...Huyu mlikofikia hakuna ndoa brother mpaka unamuita zimwi Sasa ole wako uanzishe timbwili la kuachana naye utakuja kujuta..

Friends Mke asiye msaada Ni sawa na changudoa tu ..Zitambue sifa za changudoa
YAANI KUNA WAKE NA mazimwi.....hapa hakuna kushauriwa kuacha....ila yeye aangalie safari yake hapa duniani inaelekea wapi....
 
Wewe ukifuatiliwa kwa ukaribu utakuwa ni muovu zaidi ya huyo jamaa,nina uzoefu na watu wa aina yako yaani wanajifanya wako perfect lakini mambo wanayofanya hata mungu hapendi.
hahahahahhaaaa.....binadamu tukipata kanafasi ka kutapika nyongo...sorry wingi wa nyongo ni vyongo sio...hahahaaahaa..
na jamaa mchgga + mhaya =.....marangi rangi tuu hapo
 
Sista mimi sio mpumbavu nisimuheshimu wife na kumpenda hapa sijataka hata kuandika kasoro za wofe sababu ya heshima tu ila wazazi wangu wenyewe dizaini km wamenitenga sababu ya huyu mwanamke ndugu wa kiume na rfk zangu close kila siku walikua wakiniambia kw nn nisitimue wife nioe huyu kwa matendo aliyonayo wife! Kwanza ubabe pale ndipo ulikozaliwa..dharau yake haijali mkubwa mdogo,mama mkwe wala cha baba mkwe nyie acheni! Atakaloamua ndio kaamua hata km halina faida...kuna muda wakati niko na huyu nilikua najisikia vibaya kwa nn nampenda sana huyu na si wife wangu ngj nijaribu kushauri lbd na yy atabadilika na mm ntakua na ndoa ya furaha...nimebembeleza na kushauri mpk nimechoka zaidi ananiambia nisinpande kichwani ana kazi yake atafanya analoona ni sahihi! Ikabidi nicheke tu nikaushe...naenda kw binti huyu ana kazi na biashara na mshahara kumzidi wife nakuta mtu ni mtii na muelewa nyie acheni! Huyu mangi mwenzangu mpk kufikia kuoa aliona madini aliyonayo huyu binti.
Asikusumbue huyo bint, yawezekana hata hajawahi onja ndoa sasa atakushauri nini,mimi nimeonja shubiri ya ndoa ya namna hiyo,mwanamke hataki ushauri hata kidogo,mshahara wake haujulikani unafanya nn,tujenge hataki yaani kila kitu hata kunipa haki yangu ni shida unaweza kaa 2week ndo upewe kipenyo,nikaamua kutafuta kipoozeo narudi nyumbani kimya,
 
Makucha na Makope Kama ya Joti ...Huyu mlikofikia hakuna ndoa brother mpaka unamuita zimwi Sasa ole wako uanzishe timbwili la kuachana naye utakuja kujuta..

Friends Mke asiye msaada Ni sawa na changudoa tu ..Zitambue sifa za changudoa

Acha tu kaka yaani kuna mida mpk napatwa na hasira.
 
Kumuita mwenzako wa hovyo sio vizuri,kila mtu ana yake anayajua mwenyw,sidhani kama uko 100% perfect,watu jamii ya nyie ndo mnaojifanya makanisani/misikitini muda wote kumbe waovu wa kutupwa.

We muache aendelee na huo mdomo atakuja kujua hajui!
 
inakubidi ukubali matokeo....na mchepuko ako na mind gani??? au yeye kwake ni poa tuu....namuonea huruma mme mwenzio aisee...nyie wanawake nyie....HAMTAKIWI KUCHEPUKA.....

Hahahahahah! Brother umevaa viatu vya mwamba acha tu ni tafrani.
 
Asikusumbue huyo bint, yawezekana hata hajawahi onja ndoa sasa atakushauri nini,mimi nimeonja shubiri ya ndoa ya namna hiyo,mwanamke hataki ushauri hata kidogo,mshahara wake haujulikani unafanya nn,tujenge hataki yaani kila kitu hata kunipa haki yangu ni shida unaweza kaa 2week ndo upewe kipenyo,nikaamua kutafuta kipoozeo narudi nyumbani kimya,

Hawawezi kuelewa aisee..pole mzee mwenzangu!
 
Kabla hajaolewa,ungekuwa umepata jibu namna ya kumtema huyo mlipua mabomu (japo inakuwaga ngumu,mimi mwenyewe nimeshindwa). Halafu ungejitwisha hako
 
Back
Top Bottom