Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Kwa kweli, angekuja kumuoa afu aje aseme kama huo upendo bado upo vilevile. Maisha ya kukutana kwa ajili ya kuchepuka tu, na maisha ya familia ni tofauti kabisa. Hata mkewe naamini alimpenda sana wakati wa dating.

Nilimpenda wife tena sana tu ila trust me wanawake mnazidiana hata maarifa mark that! Mfano ningekutana nao wote waili before ningeoa huyu mchepuko sema niseme haukua mpango wa Mungu!
 
kabisa hasa hapa anamsifu zaidi kwa upande wa ngono pengine angemuoa angekinai na kutafuta kamchepuko kengine

Soma kwa makini sista si upande wa ngono peke yake! Ht mwanzo nikiwa nae nilishawah kuchepuka mwanzoni ila nilikuja gundua ana akili na tabia njema sna ndizo zilifanya nikajenga kibanda kwake wala sinhiyo ngono tu.
 
Wanashangaza sana kufananisha maisha ya mke na mchepuko

Sijafananisha sister tuukubali ukweli mtu akiwa mkeo haimaanishi mchepuko hauwezi kumzidi maarifa na tabia njema ila lbd useme nikubali hali halisi hili lilikua ndio chaguo langu hvy sina budi kukubali ukweli.
 
Nilimpenda wife tena sana tu ila trust me wanawake mnazidiana hata maarifa mark that! Mfano ningekutana nao wote waili before ningeoa huyu mchepuko sema niseme haukua mpango wa Mungu!
Uzuri na Mungu unamjua; basi amini tu huyo mchepuko hakuwa sahihi kwako pamoja na mazuri yake yote, otherwise Mungu asingekupa mkeo. Halafu ukiwa na watu wawili au zaidi, uzuri wa sehemu moja unaweza ukafunika mazuri ya kwingine.

Kaa na mkeo kwa kutulia, Mungu aliyekupa huyo mke na sio mchepuko, anajua kwa nini amekupa huyo. Siku ukimpoteza huyo mkeo, ndiyo utayaona mazuri yake hata ambayo hukuwahi kuyaona
 
Wakati calculation za ndani zikianza za kodi, kujenga, ada, maradhi na mambo mengine mengi hata hizo raha anazozipata hazitakuepo sema mnaamua kukubali maisha na mwenzao na siku zinaenda huku mkikabli majukumu hayo

Yaan huu mchepuko nilikua kuna mida nayumba kiuchumi mpk napagawa ila ananikopea mpk mkopo nafumgua biashara nakuja kumrudishia kidogo kidogo...mtoto anaumwa siko vizuri hela y wife sijui hata imeenda wapi maana hata sigatiliagi anaifanyiaga nn maana yy kila siku hanaga hela katoto ka watu kananitecharge unamrudishia anakwambia hapana hiyo nilikupa sababu ya mtoto wako niliona haukua sawa halafu unataka kunishawishibhakua mtu mwema?? Acha kabisa sista mwanaume mpk nahaha hivi sio bure!
 
Unajua mkuu kuna baadhi ya dhambi kuziepuka ni ngumu sana aisee! Ila nilivyosema hvy namaanisha generally ht maisha yk nje na mahusiano alikua hvy.
Dhambi gani ambayo haiepukiki..!??kaka usihalalishe dhambi kwasababu ya tamaa zako,.wewe ni mkristo hebu nikuulize ghafla umefia juu ya kifua cha mchepuko wako huyo anakuja Mungu mwenyewe anakuuliza ilikuwaje,utamjibu kuna dhambi haziepukiki???
 
Sijafananisha sister tuukubali ukweli mtu akiwa mkeo haimaanishi mchepuko hauwezi kumzidi maarifa na tabia njema ila lbd useme nikubali hali halisi hili lilikua ndio chaguo langu hvy sina budi kukubali ukweli.
Wanawake tunazidiana vitu vingi, ila heshimu commitment yako. Hata ungeoa huo mchepuko, inawezekana ungepata mchepuko ambao ungemzidi maarifa na tabia njema. Tulia na mkeo na muheshimu kwa kuacha kumfananisha na michepuko. Hata ukutane na malaika, jiambie mke wangu amewazidi wote. Ridhika na cha kwako, ndiyo fungu lako; au unafikiri mkeo hakutani na wanaume waliokuzidi wewe mambo mengi?
 
Kwa kweli huku ukifika mnachojoana tu, wakati ukirudi nyumbani unafikia majukumu. Na maisha yetu ndiyo hayo ya majukumu, na maisha yanaenda fresh tu tunamshukuru Mungu

My sister my life with this young lady was more than kuchojoana...she was my business planner...great adviser na mtu nnaewesa kumpa mashida mengi akayatatua iwe kwa ushauri au kwa chchote alichonacho narudia jamani mangi mwenzangu kapata mke.
 
Uzuri na Mungu unamjua; basi amini tu huyo mchepuko hakuwa sahihi kwako pamoja na mazuri yake yote, otherwise Mungu asingekupa mkeo. Halafu ukiwa na watu wawili au zaidi, uzuri wa sehemu moja unaweza ukafunika mazuri ya kwingine. Kaa na mkeo kwa kutulia, Mungu aliyekupa huyo mke na sio mchepuko, anajua kwa nini amekupa huyo. Siku ukimpoteza huyo mkeo, ndiyo utayaona mazuri yake hata ambayo hukuwahi kuyaona
Pepo mchafu kamuingia anamtumia vile atakavyo... maombi muhimu hapa,
 
My sister my life with this young lady was more than kuchojoana...she was my business planner...great adviser na mtu nnaewesa kumpa mashida mengi akayatatua iwe kwa ushauri au kwa chchote alichonacho narudia jamani mangi mwenzangu kapata mke.
Eeh ndiyo sio wako sasa. Wako ndiyo huyo huyo uliyemchagua, kwani hukujua kama sio business planner na great adviser; kipo kilichokufanya umchague yeye na sio mwingine. Hichohicho kikupe sababu ya kukaa naye kwa kutulia
 
Inawezekana pia. Lakini naona wana strong bond aisee. Maana kuna wengi wako kwenye ndoa na hawana mapenzi. Ndoa zina mengi. Siamini lust itadumu kwa kiasi Chote hicho.

Mkuu blessed acha tu! Upate mwanamke wa pembeni unampa matatizo yako yote anakushauri km mama yako mzazi! Mwanamke anakuamini anakuchukulia mkopo ufungue biashara na hujamuoa na anajua una mke..kwa nn asingenichuna akachapa lapa na aliona nishampenda?? Mke wangu wa nyumbani hata mshahara wake sijui unafanyiaga nini jamani nyie acheni tu.
 
mpelekee moto na huyo akulelee mwanao..kitanda hakijawahi beba haramu

Nikisema nifanye huo mchezo ntampa shida na sitaki kumuumiza kamwe maana sitakubali damu yangu ilelewe na yule mwamba.
 
Back
Top Bottom