Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi kamtelekeza mtoto wetu mdogo mwenye umri wa mwaka 1 na nusu kwa sister wangu.
WTF[emoji24]
 
Mpaka umefikiria kumgawa mtoto jumla jumla basi bila shaka hata kukimbia kwa mama mtoto na kukuachia mtoto wewe ndo chanzo kikubwa. Wewe pambana tafuta dada wa kukusaidia kulea ukae nae ili kupata muda wa kupambana kutafuta riziki. Bibi angekuwa yu hai ningekushauri umpeleke kwa bibi huku ukiendelea kumhudumia.
 
Nipo hapa nawaza ni mwanamke wa aina gani anayeweza kuzaa na kutelekeza mtoto tena mwaka na nusu ameanza na kuita MAMA

Anyway, mtoto hana bibi yake? Au hata kwa dada yako unaweza tafuta msaidizi wa kazi akawa anamuangalia hadi anaporejea toka kwenye biashara zake
Shetani akiwa akiwa bize uwa anatuma mwanamke katika majukumu yake mengine.
nilitelekezewa mtoto mdogo 2 years na mtoto si damu yangu, yule bidada akatokomea leo ni miaka 10 na ushee mtoto bado ninae na hakuna anae jua kuwa si mwanangu hata sister anae m- babysit nae hajui kuwa si mwanangu.
sijui siku nikimuambia sister kuwa huyo dogo si damu yangu ata react vipi.
 
Unataka kugawa mtoto wako akalelewe na kuchukuliwa na mtu mwingine. Huyo mtoto masikini amezaliwa kwenye shida na ni mtoto wa kike, mama kamtelekeza na baba anataka amgawe. Ningekuwa na uwezo ningemchukua nimlee kwa miaka hata mitatu maana naona kwa hapo lazima taifa lipate hasara.
Jaribu kufanya hivyo mkuu mother nature itakulipa kwa namna yoyote ile.
 
Shetani akiwa akiwa bize uwa anatuma mwanamke katika majukumu yake mengine.
nilitelekezewa mtoto mdogo 2 years na mtoto si damu yangu, yule bidada akatokomea leo ni miaka 10 na ushee mtoto bado ninae na hakuna anae jua kuwa si mwanangu hata sister anae m- babysit nae hajui kuwa si mwanangu.
sijui siku nikimuambia sister kuwa huyo dogo si damu yangu ata react vipi.
Duh jamani..na hata baba mtu halisi hajawahi kumtafuta mwanae?
 
Duh jamani..na hata baba mtu halisi hajawahi kumtafuta mwanae?
HAPANA.

baba yake alimkataa toka tumboni mama ndiyo hivyo tena.

na kwa kipindi chote icho hajui nini kinaendelea na pengine hajui kuwa kuna damu yake ipo hai hadi sasa.
hivi karibuni nimepata namba yake(baba wa mtoto) nikaona picha yake whatsapp aise!!! I'm sure hatakuwa na ujasiri wa kusema huyu si mwanangu hakuna cha DNA pale.
hope nikirudi nyumbani nitamtafuta kwa gharama zangu sita hitaji chochote kutoka kwake ila ninahitaji AJUE tu kuwa ana mtoto na yupo hai.
 
Kama elfu ya kula shida, hiyo ada ya day care ataiweza?
Basi afanye mchakato wa kumpeleka kwenye vituo vya kulelea watoto yatima(yaani mpaka hapo mi namuhesabia huyo ni mtoto yatima aliekosa baba na mama)
 
Mi mwenyewe namshangaa huyu mwanamke kwa kweli maana mtoto mwenyewe ni wa kike na mzuri sana tu shida msichana wa kazI inabidi kumpangia chumba manaa kwa sister kumejaa.
Sasa si upambane mzee kutafuta ili mtoto asiteseke.halafu unataka umgawe kwa mtu akamlee hivi hujisikii uchungu? Aisee mi mwanangu akikaa nyumbani kwetu tu sina amani ijekua kwa mtu baki daah mna moyo sana nyie watu.
 
Siku nyingine ukumbuke kuvaa kondomu wewe huna mbele wala nyuma why upige kavu na uzae jumla ka si uwehu kitu gani hicho, Mimi sikuonea huruma pambana aisee very shame shame.
 
Back
Top Bottom