Unajua mkuu I'd kongwe Ni rahisi zaidi kusaidika kuliko hizi ngeni ngeni,Unataka uitumie?
Jaribu Newborn9 au Oldborn 9.[emoji2960][emoji2960]
Mi huwa najiuliza all that for what?Uandishi wake sio wa mtu mgeni humu.
I'd inavoonekana imetengenezewa leo leo Tena chap chap sana ili Kuanzisha uzi[emoji4]
View attachment 2076046
Naomba nipm mimi nimejaribu inafeli.Una umri gani na unapatikana wapi ?
Njoo Dm nikupe mchongo.
Hata mimi nimeliona hiliUandishi wake sio wa mtu mgeni humu.
I'd inavoonekana imetengenezewa leo leo Tena chap chap sana ili Kuanzisha uzi[emoji4]
View attachment 2076046
Oh yes na despite anonymity kuna watu humu tunawachukuliana kuwa marafiki au hata ndugu na kusaidiana ni rahisi sana.Unajua mkuu I'd kongwe Ni rahisi zaidi kusaidika kuliko hizi ngeni ngeni,
Tunakua tunahisi harufu ya utapeli zaidi kuliko hizi I'd kongwe.
Mfano: Karucee au Extrovert au financial services na wengineo wakija kusema wamekwama Ni rahisi zaidi kuguswa na kujitolea bila kujishaur Mara mbilimbili maana Kila Mara tuko nao humu KWENYE furaha na huzuni
Usikute we mwenyewe unadangwa ila hujui ndo unafanyejwe.... Dunia hii tuiache tu jmnKudanga ndio kufanyaje?
Anahofia online bullying labda kwa post zake za nyuma.Oh yes na despite anonymity kuna watu humu tunawachukuliani marafiki au hata ndugu na kusaidia ni rahisi sana.
Sasa unakuja na bandiko, tena la kuchoka kudanga halafu una mtoto.
Cant you at least respect your child, au mtoto anatumiwa kuonyesha despair?
Just be genuine, hakuna mtu perfect.Anahofia online bullying labda kwa post zake za nyuma.
Ila Kama kweli unahitaj msaaada hata Kama una mabaya 2, Kama mazuri yako Ni mengi bado utasaidiwa TU humu.
Awe muwazi TU, otherwise awafate inperson watu pm asaidiwe kimya kimya[emoji4]
AsantePole,maisha ni mitihani
AminaNamuomba Mungu siku zote akanijalie nikawe msaada kwa wengine kama kwa aliye leta mada hii.
Namuonea huruma sana sana mtoto pamoja na mama kwa aina ya maisha niliopitia changamoto wanayopitia naijua.
Uma wa watu waliopo hapa jukwaani naami naamini hatakosekana mmoja atakae jaaliwa kumsaidia[emoji120]
Mixed feelings mkuu,Mi huwa najiuliza all that for what?
Pamoja na anonymity ya JF lakini bado wanahitaji new IDs?
Halafu unakuja kupanga kukutana na such a person. Utarudi bila kengele *****.
AsantePoleeee
Exactly, binadamu tumeumbiwa mapungufu.Just be genuine, hakuna mtu perfect.
We each have our own demons.