Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo anaulizwa maswali muhimu badala ajibu hapa anajibu inbox, mahali alipo ilikua ni muhimu kuweka wazi na aina ya kazi ambayo anaiweza ili apate msaada wa haraka badala ya kujibu inbox.Watu wanarefusha uzi bila msaada.
Mdada kama upo Korogwe naweza kukuunganisha na mtu na ukafanya kazi kama mtu unayezungukia vikundi vya BRAC ukiwa na bidhaa fulani hivi.
Malipo yatatokana na hizo bidhaa utakavyokua unazitoa, kila bidhaa ina % yake. Kama upo Korogwe na unataka maelezo zaidi nicheki.
Hapana sipo hukoWatu wanarefusha uzi bila msaada.
Mdada kama upo Korogwe naweza kukuunganisha na mtu na ukafanya kazi kama mtu unayezungukia vikundi vya BRAC ukiwa na bidhaa fulani hivi.
Malipo yatatokana na hizo bidhaa utakavyokua unazitoa, kila bidhaa ina % yake. Kama upo Korogwe na unataka maelezo zaidi nicheki.
Hapana sipo huko
Ok poaHapana sipo huko
Amenijibu hayupo hukoTatizo anaulizwa maswali muhimu badala ajibu hapa anajibu inbox, mahali alipo ilikua ni muhimu kuweka wazi na aina ya kazi ambayo anaiweza ili apate msaada wa haraka badala ya kujibu inbox.
Baada ya yeye kufa au sio [emoji2]Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
AsantePole sana..
Kuna mtu kaninong'oneza isikute hii ni I'd ya kimkakati ya karucee,nikampiga kibao na kumwambia niombe radhi Kwa niabaUnataka uitumie?
Jaribu Newborn9 au Oldborn 9.🤭🤭
Taikon huyo mpuuzekuna mtu humu alisema tusiwaonee huruma wadada..sasa itakuwaje???
Kweri kabisa yani ila ID ikija mpya inakuwa inatilia mashakaUnajua mkuu I'd kongwe Ni rahisi zaidi kusaidika kuliko hizi ngeni ngeni,
Tunakua tunahisi harufu ya utapeli zaidi kuliko hizi I'd kongwe.
Mfano: Karucee au Extrovert au financial services na wengineo wakija kusema wamekwama Ni rahisi zaidi kuguswa na kujitolea bila kujishaur Mara mbilimbili maana Kila Mara tuko nao humu KWENYE furaha na huzuni
Nimekutumia messageUpo wapi usaidiwe bibie?
Kiungo cha uzazi unakiuzaje babu!!!Yaani kuuza kiungo cha uzazi....
Hivi @mwifa yuko wapiUnajua mkuu I'd kongwe Ni rahisi zaidi kusaidika kuliko hizi ngeni ngeni,
Tunakua tunahisi harufu ya utapeli zaidi kuliko hizi I'd kongwe.
Mfano: Karucee au Extrovert au financial services na wengineo wakija kusema wamekwama Ni rahisi zaidi kuguswa na kujitolea bila kujishaur Mara mbilimbili maana Kila Mara tuko nao humu KWENYE furaha na huzuni
Inaumiza sana.Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.
Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.
Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.