Msaada unahitajika nimechoka kudanga

Msaada unahitajika nimechoka kudanga

Una ujuzi gani? Kazi gani unaweza kufanya?, Elimu yako? N.k

Ongezea mambo kama hayo, unaweza kupata msaada.
Tofauti na hapo utaonekana umekuja kudanga JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu kaninong'oneza isikute hii ni I'd ya kimkakati ya karucee,nikampiga kibao na kumwambia niombe radhi Kwa niaba
Katu siwezi kufungua ID ingine.

Naficha nini, ili nifanikishe nini?

Nabaki na hii hii mara freshi mara bangi tena miksa *****.
 
Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.

Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.

Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.


Pole na hongera sana kwa kukiri kwa kinywa chako kwamba umechoka kudanga. Hiyo ni neema kubwa sana na sio kila mdangaji anaipata

Kinachofuata acha kabisa kudanga ili umpe Mungu nafasi ya kukuonyesha na kukupa maisha bora unayostahili. Na Mungu atakuinulia watu wa kukutoa huko uliko

Kwenya kitabu cha Mathayo 11:28-30 tunaambiwa
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
 
Pole na hongera sana kwa kukiri kwa kinywa chako kwamba umechoka kudanga. Hiyo ni neema kubwa sana na sio kila mdangaji anaipata

Kinachofuata acha kabisa kudanga ili umpe Mungu nafasi ya kukuonyesha na kukupa maisha bora unayostahili. Na Mungu atakuinulia watu wa kukutoa huko uliko

Kwenya kitabu cha Mathayo 11:28-30 tunaambiwa
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
Amina
 
Pole na hongera sana kwa kukiri kwa kinywa chako kwamba umechoka kudanga. Hiyo ni neema kubwa sana na sio kila mdangaji anaipata

Kinachofuata acha kabisa kudanga ili umpe Mungu nafasi ya kukuonyesha na kukupa maisha bora unayostahili. Na Mungu atakuinulia watu wa kukutoa huko uliko

Kwenya kitabu cha Mathayo 11:28-30 tunaambiwa
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
Amen Dada.
 
Dini yako inasemaje kuhusu hizi kura? Kama uliyoyasema ni ya kweli, basi Magufuli atakuwa anateseka huko.
1641854362866.png

Pole na hongera sana kwa kukiri kwa kinywa chako kwamba umechoka kudanga. Hiyo ni neema kubwa sana na sio kila mdangaji anaipata

Kinachofuata acha kabisa kudanga ili umpe Mungu nafasi ya kukuonyesha na kukupa maisha bora unayostahili. Na Mungu atakuinulia watu wa kukutoa huko uliko

Kwenya kitabu cha Mathayo 11:28-30 tunaambiwa
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
 
Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.

Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.

Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.
ukimpa ombaomba mamilioni half kaa baada ya muda utakuta amerudi tena ulipomkuta anaomba. hapo shida ni mindset. kudanga nako ni ivoivo kunaanzia kichwani,,,nashauri usikimbilie kutafuta mtaji bali tibu kwanza kichwa (yaani badili kwanza mtazamo) utaeza kutoka. kila lakheri kiongozi.
 
Okopa sana mtu anayepost mistari ya biblia kila mahali

Mhurumie sana mtu anayeogopa, anayepata wasiwasi au kupoteza amani na kuhuzunika anapoona mistari ya biblia ikipostiwa kila mahala sababu sio yeye anayeogopa bali ni ile roho iliyo ndani yake isiyotaka kusoma wala kuusikia utukufu wa Mungu aliye hai

Basi niseme tuu Mungu akakufungue ufahamu ukalione neno la Mungu kama taa inayofungua akili yako. Akupe hekima ya kumpa Mungu utukufu badala ya kumpa shetani utukufu kwa kumuona yeye "shetani na nguvu zake" pale unapkutana na neno lake limepostiwa

Kwa kuwa najua sio wewe usiyetaka kuona mistari ya biblia inapostiwa na kwa kuwa roho iliyo ndani yako inakufanya kuona na kuwaza kila anayepost mstari wa biblia ni kuogopwa wacha nikupe na bonus😂

Wakolosai 3:16-17
Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.

Zaburi 119:105 Msikilize pia Mfalme Daudi anamwambia Mungu
Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.


2 Timotheo 3:16-17
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.


Usiwaogope tena wanaopost mistari ya biblia, usikasirike wala usiwe na shaka. Hakuna aliye safi sote tumepungukiwa ila tunakumbushana kukulia neno kwa sifa na utukufu wa Mungu.

Vinginevyo useme unatamani kuskia mistari gani🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom