- Thread starter
- #141
AsantePole sana dada utapata msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole sana dada utapata msaada
Kumbe alipoteza maisha?Kudanga ni kutafuta maisha kwa kuwa na wanaume wengi wanao kuhudumia...
nisaidie kusema ndioUnasemaje hapana
NdioKumbe alipoteza maisha?
OkayNdio
Pole uko wapi unafanya nini?Wakubwa zangu shikamooni wenzangu habari zenu wote poleni na majukumu.
Wapendwa naombeni msaada wenu tafadhali Mimi ni mama wa mtoto mmoja ninalea mwenyewe kutokana na ugumu wa maisha katika pilika pilika za kulea nimejikuta napita mambo mengi mno ndugu zangu yani imefikia kipindi nimedanga sana lakini kiukweli sijaona faida yoyote ndio kwanza ni kama nazidisha majanga.
Back to the point ndugu zangu naombeni mnisaidie kazi niweze kujikimu au hata mtaji tu najua mnaweza uliza kwanini nimekuja hapa ila kiukweli msaada unaweza pata popote naamini kupitia humu naweza saidiwa pia ninawaomba ndugu zangu mnisaidie hali ni tete sana.
Comments zote umeona za pole tu? Hebu jibu maswali upate msaada.Amina
Nimewajibu inboxComments zote umeona za pole tu? Hebu jibu maswali upate msaada.
Nimewajibu inbox
NilikoseaHabari
Hi brother thank you kwa msaada wako najua nongekuwa huko ningekuwa nishapata ajira you seems kind one Mungu akubariki uwe na moyo huowww.jamiiforums.com
Huyu mbona haukumjibu PM
Tunataka kujua Kwa uwazi, maana ID yako yenyewe mpya sijui unaficha kitu gani.Nilikosea
Asantepole mwaya
Ati!Huyu Dada maswali ya msingi hajibu ...Dada jibu hapa na uwe muwazi ukificha ficha utaonekana ntu ya dili
unasemaje kakosa msaada Kwan we peke ako ndo unaweza msaidia??Pole umekosa msaada
Hata huko PM hajibuHuyu Dada maswali ya msingi hajibu ...Dada jibu hapa na uwe muwazi ukificha ficha utaonekana ntu ya dili
Mbona nakujibuHata huko PM hajibu
MmmmhMtu wenu itakuwa ameshapata msaada, anadharau PM
Kuna tofauti gani na kujiuzaKudanga ni kutafuta maisha kwa kuwa na wanaume wengi wanao kuhudumia...