jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
KujiuzaKudanga ndio kufanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KujiuzaKudanga ndio kufanyaje?
Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.Yaani kuuza kiungo cha uzazi....
Asaidiwe huyu, wengi hufanya hivyo sababu ya ugumu wa maisha akipata kipato kizuri hafanyi mambo hayo asilaniKweli ni kukodisha asee
Kumkamua ng'ombe maziwa.Kudanga ndio kufanyaje?
We jamaa umenichekesha msibani...Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
Tatizo misaada mingi ya wanaume lazima iambatane na tendo la shukraniAsaidiwe huyu, wengi hufanya hivyo sababu ya ugumu wa maisha akipata kipato kizuri hafanyi mambo hayo asilani
Nina ID moja mkuu tangu 2008, namsaidia kujibu mleta mada kwa maswali yenye ukakasi
Inawezekana au ndio wale wa kusoma tuu bila kujiunga. leo kaona ajiungeMleta maada atuambie kwanza , maana hata siku hajamaliza tokea ajiunge kabandika na bango kama hili, au ndio tuseme kabadilisha id
Pole umekosa msaadaYupo
We jamaaaMkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
Hahahahh mkuu fanya hivyo aisee.We jamaa umenichekesha msibani...
Tatizo kasema ameshachoka kudanga
Hamna namna tena
Yes brother. Kwema?We jamaaa
Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
Unataka uitumie?I'd yako ya zamani Ni ipi mkuu?[emoji4]
Uandishi wake sio wa mtu mgeni humu.Unataka uitumie?
Jaribu Newborn9 au Oldborn 9.[emoji2960][emoji2960]