Msaada: Uume kushindwa kusimama

Wakati mwingine,tunagomea nafsi zetu zinapotukataza vitu,sisi tunalazimisha. Wasiwasi wako,huenda huyo mdada keshaathirika. Na hutaki kupima. Lakini,hiyo hofu si bure. Kama wewe unaogopa,panga njama akapime,utaona kwa nini
 
Basi kimbilia kwenye viagra hapo!
ndo solution huyo hana shida ila kisaikolojia hayuko OK hata mie inanipataga hiyo ishu mara kwa mara kutokana na depression niliyopata ikaleta iyo shida ila nafanya mazoez nakula ok nalala on time na nikimkamata mamaaa anasema hilo.moja km unataka kushinda olympic
 
tapeli mkubwa k******ma we
 
Shukuru Mungu unaepuka mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…