Msaada: Uume kushindwa kusimama

Msaada: Uume kushindwa kusimama

Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Nina Tiba ya uhakika @ 300000 kwa awamu 3
 
Umeshatengeza visual circle ambayo kutoka ni ngumu. Hata mimi sidhani kuwa una tatizo. Tatizo labda ulipokutana na huyo dada ulidhani ni lazima kuonyesha umbwamba (hasa ukizingatia watu wanavyodanganywa na porn za kwenye mtandao) na ukajikuta umejichosha kupita kiasi na kushindwa kusimamisha. Tangu siku hiyo ukawa umeathirika.
Hiyo uliyoandika ni vicious circle,siyo visual cirle (samahani kwa kukurekebisha)
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Fanya mazoezi
 
nilikutana na rafiki yangu wa muda mrefu baada ya kupotezana tukapiga show usiku kucha bao mbili tena ya hovyo baada siku tatu nikaomba mechi kwingine ila nilipiga kwa viwango vya juu sana mpk mwenzangu kaamua kunyanyua mikono
ushauri jaribu kwingineko uone performance yako itakaje
 
nilikutana na rafiki yangu wa muda mrefu baada ya kupotezana tukapiga show usiku kucha bao mbili tena ya hovyo baada siku tatu nikaomba mechi kwingine ila nilipiga kwa viwango vya juu sana mpk mwenzangu kaamua kunyanyua mikono
ushauri jaribu kwingineko uone performance yako itakaje
Mkuu naomba Sina hamu na tendo la ndoa
 
Hili jukwaa tulitumie vizuri Kuna siku mtu mwingine atakumbana na tatizo kama hili kwahiyo akija kufanya rejea humu basi apate majibu mazuri na sio kejeli kama baadhi ya watu. Let's be positive ndugu zangu, nitoe shukrani kwa wale ambao wameendelea kunisaidia Mungu awabariki sana.
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Ushauri:

Nenda hospital ukaangalie afya kwanza unaweza kuwa na blood pressure ndio imesabisha hayo yote. Au kuna virutubisho flani vimepungua mwilini, angalia afya kwanza kabla ya kufanya maamuzi mengine.
 
Hospital nimeenda Leo nothing wrong mkuu
Hospital kuna huduma ya kuangalia damu kwa vipimo maalum(blood check up or blood scan) hii daktari huangalia glucose,cholesterol,upungufu na wingi wa blood cell na mengine mengi hii test yake malipo kuanzia 150,000 mpaka 200,000 hii ndio uliofanya?.

Pia angalia mkojo
 
Tafuta demu, nnunua Konyagi ndogo, kula shiba, hasahasa minyama, gonga konyagi yako after 10 to 15 minutes panda juu ya kifua.


Mrejesho ni muhimu
Umenikumbusha

Nilipiga ugali wa kutosha na kuku wa kubanika, nikapakia na maziwa mtindi glass 2, ndizi mbivu 12, parachichi 7, nikaona haitoshi juice ya pineapple glass 3, nikaona bado sijakaa sawa nikaenda kupiga Kilimanjaro 2 (bia) za fasta nikaona bado haitoshi nikapiga maji 1.6 Lita chupa la Dasani nikafuta yote baada ya hapo nikatafuta Samaki na kijiti changu kimoja kikiwa dry, menu imetimia nikaenda kupanda kifuani kilichofuata niliulizwa umekula nini leo?

Tahadhari: usichukie hii formula utasababisha madhara kwenye bandama
 
Back
Top Bottom