Msaada: Uume kushindwa kusimama

Msaada: Uume kushindwa kusimama

Japo nilitumia mfano wa Baki ili kuficha ila nilishaenda Had rufaa mbeya kufanyiwa vipimo Mzee Hali yangu ilikuwa mbaya niliambiwa hata kumpa mtu mimba siwez lakin leo Nina watoto na ni kopi yangu kabisa

Soma Uzi wangu japo ni WA miaka mingi Sasa imepita


Msaada kuongeza kiwango cha mbegu za kiume
 
Asante kwa ushauri mkuu nakuja inbox
Japo nilitumia mfano wa Baki ili kuficha ila nilishaenda Had rufaa mbeya kufanyiwa vipimo Mzee Hali yangu ilikuwa mbaya niliambiwa hata kumpa mtu mimba siwez lakin leo Nina watoto na ni kopi yangu kabisa

Soma Uzi wangu japo ni WA miaka mingi Sasa imepita


Msaada kuongeza kiwango cha mbegu za kiume
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Wakati Mwingine unapaswa kushukuru Mungu pia huenda kuna jambo anakuepusha nalo kwa kukupa viashiria kama hivyo.
Sehemu zingine Malaika huingilia kati kuokoa nafsi dhidi ya maradhi na mambo mengine.
Jiridhishe kwa wanawake kadhaa kama hali itakuwa ndiyo hiyo ndiyo uanze kuangalia tatizo liko wapi. Ila kwa mwanamke mmoja tu, ni mapema sana kujihukumu kuwa una tatizo
 
Tafuta demu mwingine mwite upige nae show alafu uone mzigo utasimama au lah! Na kama ukigoma ujue uyo manzi wako wa kwanza kuna kitu kakifanya kwako
 
Wanaume wa siku hizi wamekuwa waloziwalozi sana,ukute amewekewa tego na mume mwenzio....pole Kwa changamoto
 
Wanaume wa siku hizi wamekuwa waloziwalozi sana,ukute amewekewa tego na mume mwenzio....pole Kwa changamoto
Mwambie aweke picha kwanza au aweke short video clip tujue unamsaidiaje ili aweze kusimamisha mkuuyege
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Huyo mwanamke, achana nae maana kupitia ngono ni rahisi sana kujibebea laana au roho ya uharibifu so, mtu anaweza kukuchukulia nyota yako kiurahisi kupitia ngono, nenda kafanyiwe maombi rfk
 
Amka asubuhi na mapema kabla jua kutoka..chukua maji tia kwenye chombo isiwe plastic,glass au jamii ya sufuria....tumia chombo cha udongo i.e.kikombe au chungu au kibuyu..simama kwenye mlango wa nje...piga Funda moja...halafu mengine jimwagie angalau ulowe..kaa nje kwenye upepo mpaka maji yakaukie mwilini.
N.B.
zoezi hili unalifanya kabla hujaenda haja.
Rudi tupe mrejesho
 
''japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu''

Usilitaje bure jina la Mungu mkuu, yaani Mungu akupe uwezo kwenye uzinzi kweli!? Labda ndiyo maana haisimami tena

Kwa ninavyoelewa kidogo Mungu sio jina ni cheo mfano! Usilitaje bure jina la baba yako? Nikisema kwa uwezo wa baba nitakuwa nimetaja jina lake? Hapana! Lipo jina la Mungu litafute utalipata
 
Amka asubuhi na mapema kabla jua kutoka..chukua maji tia kwenye chombo isiwe plastic,glass au jamii ya sufuria....tumia chombo cha udongo i.e.kikombe au chungu au kibuyu..simama kwenye mlango wa nje...piga Funda moja...halafu mengine jimwagie angalau ulowe..kaa nje kwenye upepo mpaka maji yakaukie mwilini.
N.B.
zoezi hili unalifanya kabla hujaenda haja.
Rudi tupe mrejesho
Duh, mkuu inafanyeje kazi hii? Mlango wa nje ya nyumba au Getini?
 
Back
Top Bottom