Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
Mkuu nyeto kwenye maisha yangu nimepiga mara sita tuuMisuli ilishapoteza uimara,kwa hiyo haina ushirikiano na jambo husika.Hapo ni kupata tiba tu hakuna namna.Kuna uwezekano ulikuwa mpiga punyeto sana kwa muda mrefu.Karibu tunaendelea kuwasaidia ushauri na tiba.
Ktka maisha yangu mpaka nafikia Umri huu niliwahi piga nyeto Tena nkiwa na Umri wa miaka24 nilipiga mara6 tuMisuli ilishapoteza uimara,kwa hiyo haina ushirikiano na jambo husika.Hapo ni kupata tiba tu hakuna namna.Kuna uwezekano ulikuwa mpiga punyeto sana kwa muda mrefu.Karibu tunaendelea kuwasaidia ushauri na tiba.
🤣🤣🤣🙌Umefanya juhudi zipi mpaka Sasa..?
Pima sukari pia..Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,
Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
Sukar ipo normal5.2 -5.7fastingPima sukari pia..
Si uende hoapitali wakitoe hicho kibamia nyambafffMsaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,
Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
Mkuu pole kwa hayo matatizo uliyokuwa nayo nitafutemimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,
Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
...Ina maana Toka 2015 ukipiga BAO Moja TU basi, huwezi kurudia la Pili ? Na Hilo BAO Moja lenyewe linakuwa la dk ngapi?Shida iliazaga 2015 kabla sjaoa yaan baada yakuwa ktk mahusiano ndio nkaexperiece ufanyaji tendo wa namna hiyo
...Labda ulimuahidi Kumuoa, halafu ukapoga Kona hewani na kumuacha Solema, na Kumuoa huyo uliye naye Sasa....!Hapana sjawahi mfanyia mwanamke yoyote ubaya..labda ubaya Kama upi unaouzungumzia
Hilo moja la dk10-15 nimeshakwenda sana hosiptal Sina shida...Ina maana Toka 2015 ukipiga BAO Moja TU basi, huwezi kurudia la Pili ? Na Hilo BAO Moja lenyewe linakuwa la dk ngapi?
...Hilo ni tatizo linalostahili Dr hospitalini.
Pole Mkuu...
..
Hofu inamiaka mingi nisaidieHofu,hii hali imeanza lini nikusaidie