Umesahau VXHuku hautapata ushauri mkuu Maana Wana JF wote siku hizi wanatumia AUDI,BMW,VW, MERCEDES, MASERATI NA JAGUAR.
π πHuku hautapata ushauri mkuu Maana Wana JF wote siku hizi wanatumia AUDI,BMW,VW, MERCEDES, MASERATI NA JAGUAR.
Mashine haionyeshi errors zozote kinaonyesha kipo sawa sawaPole yako.. Uipeleke ikachunguliwe kwenye mashine..
Kwenye mashine unaweza kuanza na huyu JituMirabaMinne..!
Ya mwaka gani?Habari wapendwa, kuna kiusafiri aina ya toyota VITS new model chenye ingine ya piston 3 , kinashida ifuatayo:-
[emoji117] Ukipanda mlima kinapoteza nguvu na kuwa kama kina kwikwi, kama kina taka kuzima
[emoji117] ukisimama kwenye mataa yaani kipo kwenye D (drive) na mguu kwenye brake kina kuwa kama kinataka kuzima
[emoji117] Kina toa mlio kama wa miss!!
Tumebadili plug, tumebadili pump, tatizo limepungua ila bado lipo!!
Tatizo lilianza baada ya kutoka sheli moja hiv sito itaja kwa sasa!!
Nifanyeje kusolve hii ishu?
Huku hautapata ushauri mkuu Maana Wana JF wote siku hizi wanatumia AUDI,BMW,VW, MERCEDES, MASERATI NA JAGUAR.