Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Anatakiwa asafishwe na atakaa sawa; kwa praiveti huwa kama 300k hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaktari wa JF... Mtu ana Incomplete 2° to sepsis unapambana naye kwa maandishi... Aende hospitalPole sana ila inaweza kuwa ni Incomplete Abortion may b ulitoa ujauzito ukiwa na miezi zaidi ya 2 kwa kutumia misoprostol so itabidi aende akasishwee hasa kama anatoa damu yenye harufu na nzitoo...
Sepsis 2' induced incomplete septic abortionMadaktari wa JF... Mtu ana Incomplete 2° to sepsis unapambana naye kwa maandishi... Aende hospital
Anayeua nae auawe. Yale maandiko ya agano la kale tungeyatumia leoIncomplete abortion,kabla hujafanya kitu ni bora utafte kukielewa vizuri,kama mliamua kufanya hivyo ilitakiwa akasafishwe,wahi hospitali akasafishwe la sivyo mnahatarisha hicho kizazi
WauajiShenzi zenu uzi unanuka damu huu
Dah anaua mtoto asiye na kosaAfe tuu mbwa huyo ye kuua ameona vizuri... akifa ulete mrejesho humu
Mngempa Transamenic Acid 500mg na dawa ya kuongeza damuHABARI WANA JF,
Naomba Kufahamu Kwa Mwanamke Aliyetoa Mimba kwa Kutumia Vidonge Vya Kutolea Mimba Na Kupata Bleed Isiyo Kata Zaidi Mwezi Nzima Naomba Kufahamu.👇👇👇
1.Nini Chanzo.
2.Madhara
3.Matibabu.🙏🙏🙏
Hayajakukuta… tena unyamaze tu.Kwahiyo kaua?
Hiyo dhambi na ikae juu yake mwenyewe.
Dah watu wanaroho ngumu sana. Mtu anaua mtoto asiye na hatia?
Jambo la heri, alishapona tayariNdio na doct alimsafisha kwa 400k na jana ameingia hethi yake ya kawaida.
KhaaaaNdio na doct alimsafisha kwa 400k na jana ameingia hethi yake ya kawaida.