Msaada wa Dawa ya Vidonda vya Tumbo

Msaada wa Dawa ya Vidonda vya Tumbo

Sumu Boy

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
206
Reaction score
217
Kwema wakuu nasumbuliwa sana na shida ya vidonda vya tumbo nimekunywa dawa napata nafuu hali inarudi pale pale nilikutwa na hpyrol nikameza dawa nikawa fresh niliporudi hosp kuchek nikakuta mdudu hayupo lakini tumbo bado ni changamoto kupona.

Kama kuna mtu anaijua tiba kamili ya huu ugonjwa naomba anipe madini.
 
Tumia omoprazole miezi 3, nusu saa before ya kula au baada ya kula. Kula kwa wakati epuka kula vyakula vyenye acid na fanya mazoezi. Unapopata muda kula sana kabichi ya kuchemsha plus bamia au juice yake.

Siyo daktari ila ni ushauri tu niliozingatia kutoka kwa doktar mmoja ivi nje ya tiba. Maana mie nilikuwa natembea kama nmebeba kitu chini ya titi upande wa kushoto na muda mwingine nakoswa pumzi kabsa haswaa nikilala. Namshukuru Mungu naendelea vzr

Hizo prazole nmetumia aina nyingi sana tena za gharama tu ila nmekuja pata nafuu kwenye omoprazo za buku pakti
 
Tumia omoprazole miezi 3, nusu saa before ya kula au baada ya kula. Kula kwa wakati epuka kula vyakula vyenye acid na fanya mazoezi. Unapopata muda kula sana kabichi ya kuchemsha plus bamia au juice yake.

Siyo daktari ila ni ushauri tu niliozingatia kutoka kwa doktar mmoja ivi nje ya tiba. Maana mie nilikuwa natembea kama nmebeba kitu chini ya titi upande wa kushoto na muda mwingine nakoswa pumzi kabsa haswaa nikilala. Namshukuru Mungu naendelea vzr

Hizo prazole nmetumia aina nyingi sana tena za gharama tu ila nmekuja pata nafuu kwenye omoprazo za buku pakti
Hivi yale ma capsule hayasababishi tumbo kuunguruma?
 
Mimi tumbo linanguruma lakini haliumi halafu kunamuda kama kunakitu kinakamata ubavuni mwa tumbo mara kulia mara upande wa kuchoto sasa sielewi au namatatizo ya figo
 
Tumia omoprazole miezi 3, nusu saa before ya kula au baada ya kula. Kula kwa wakati epuka kula vyakula vyenye acid na fanya mazoezi. Unapopata muda kula sana kabichi ya kuchemsha plus bamia au juice yake.

Siyo daktari ila ni ushauri tu niliozingatia kutoka kwa doktar mmoja ivi nje ya tiba. Maana mie nilikuwa natembea kama nmebeba kitu chini ya titi upande wa kushoto na muda mwingine nakoswa pumzi kabsa haswaa nikilala. Namshukuru Mungu naendelea vzr

Hizo prazole nmetumia aina nyingi sana tena za gharama tu ila nmekuja pata nafuu kwenye omoprazo za buku pakti
Shukrani mkuu ngoja nijaribu hii
 
Shukrani mkuu ngoja nijaribu hii
Best,

Jifunze tu kuishi nao.

Jitahidi sana kufanya endoscopy mara kwa mara ku-monitor maendeleo ya vidonda kuepukana na cancer.

Usipende sana kula madawa ya kienyeji, usiathiri Figo na ini lako.

Zingatia masharti ya ulaji, na kupungiza mawazo.
 
Jaribu dawa za asilia zinazotengenezwa na chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi muhimbili naona imewasaidia wengi wamepona kabisa vidonda vya tumbo
 
Best,

Jifunze tu kuishi nao.

Jitahidi sana kufanya endoscopy mara kwa mara ku-monitor maendeleo ya vidonda kuepukana na cancer.

Usipende sana kula madawa ya kienyeji, usiathiri Figo na ini lako.

Zingatia masharti ya ulaji, na kupungiza mawazo.
Asante ngoja nizingatie hayo maana hali ya kukata tamaa ilishaanza niingia nikaanza kufikiria kwenda kunywa fiterawa ya Rahab
 
Asante ngoja nizingatie hayo maana hali ya kukata tamaa ilishaanza niingia nikaanza kufikiria kwenda kunywa fiterawa ya Rahab
Mimi ni muhanga wa Muda, hvyo nakuelewa sana.

Tafuta pantoprazole ni nzuri sana.

*Usile kiporo.
*Usikae na njaa.
*Usile karanga au vyakula vilivyokaangwa.
*Jitahidi kuepuka nyama.
*Fanya sana mazoezi baada ya kula.
*Usipendelee Pombe.
*Epuka mawazo.
*Kula sana mboga na matunda.
*Penda sana kula kidogo kidogo mara nyingi, usipende kula hadi kujaza tumbo.
*Jitahd kula mwisho saa 12 jioni.
 
Mimi ni muhanga wa Muda, hvyo nakuelewa sana.

Tafuta pantoprazole ni nzuri sana.

*Usile kiporo.
*Usikae na njaa.
*Usile karanga au vyakula vilivyokaangwa.
*Jitahidi kuepuka nyama.
*Fanya sana mazoezi baada ya kula.
*Usipendelee Pombe.
*Epuka mawazo.
*Kula sana mboga na matunda.
*Penda sana kula kidogo kidogo mara nyingi, usipende kula hadi kujaza tumbo.
*Jitahd kula mwisho saa 12 jioni.
Dah!
 
Mimi ni muhanga wa Muda, hvyo nakuelewa sana.

Tafuta pantoprazole ni nzuri sana.

*Usile kiporo.
*Usikae na njaa.
*Usile karanga au vyakula vilivyokaangwa.
*Jitahidi kuepuka nyama.
*Fanya sana mazoezi baada ya kula.
*Usipendelee Pombe.
*Epuka mawazo.
*Kula sana mboga na matunda.
*Penda sana kula kidogo kidogo mara nyingi, usipende kula hadi kujaza tumbo.
*Jitahd kula mwisho saa 12 jioni.
Hapo kwenye nyama na vitu vya kukaanga ndo napenda ngoja nizingatie om ulivyosema mkuu asante kwa msaada wako
 
Kuna hii tiba hapa chini nilitoa jamhuri ya twitter. Then kuna nyingine ya kuloweka punje mbili za clove (nimesahau kiswahili chake) usiku mzima then asubuhi kabla ya kula kitu unakunywa hayo maji
Screenshot_20220711-110353_Twitter.jpg
 
Kwema wakuu nasumbuliwa sana na shida ya vidonda vya tumbo nimekunywa dawa napata nafuu hali inarudi pale pale nilikutwa na hpyrol nikameza dawa nikawa fresh niliporudi hosp kuchek nikakuta mdudu hayupo lakini tumbo bado ni changamoto kupona.

Kama kuna mtu anaijua tiba kamili ya huu ugonjwa naomba anipe madini.
Pole Mkuu kwa hayo maradhi yako ya vidonda vya tumbo kwa dawa za hospitali hutoweza kupona unaweza kupona kwa dawa za asili. Ukihitaji tiba za dawa za asili nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole.
 
Kwema wakuu nasumbuliwa sana na shida ya vidonda vya tumbo nimekunywa dawa napata nafuu hali inarudi pale pale nilikutwa na hpyrol nikameza dawa nikawa fresh niliporudi hosp kuchek nikakuta mdudu hayupo lakini tumbo bado ni changamoto kupona.

Kama kuna mtu anaijua tiba kamili ya huu ugonjwa naomba anipe madini.
Nipigie namba 0764820952 tatizo lako dogo niamini
 
OFFICIAL: Kamati ya Sheria na hadhi za Wachezaji ya TFF imeamua kuwa Feisal Salum Abdallah 🇹🇿 ni mchezaji halali wa Young Africans kwa mujibu wa mkataba wake na timu hiyo
20230107_132700.jpg
 
Back
Top Bottom