Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziAisee pole sana. Hasara hiyoooo...
Mimi sina utalaam wa ujenzi akini naweza kusema hizo craks zimetokama na msingi haukuwa imara na ujenzi wake uko kwnye udongo wa kutitia.
Nini Cha kufanya.: Inabidi upande huo ulio athirika ubomolewe hadi levo ya msingi then juu ya hapo ipigwe Reinforcement( mfano wa Slab ya Renta) ndipo juu yake ukuta upandishwe
Niko NsemulwaItasaidia,fanya hvyo
Uko katavi sehem gan?,
Unataka kuirekebishia nyumba jf kama ulivyoijengea jf?Duh!Sasa nini kifanyike?Mbona nimechanganyikiwa
Mjomba hiyo nyumba sio imejengwa chini ya kiwango anatupotezea mudaHiyo nyumba juu ya dirisha ulisuka lenta?
HaahaaahaaHii ndio hasara ya Ujenzi wa JF wa kuulizana nina milioni 5 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu? Na watu wanashabikia inawezekana.
Vitu inavyoelekeza havijui mkuu hiyo ni nyumba ya matofali ya udongo halafu karashia lipu ya chokaaNimechunguza kwa haraka harska naona vitu hivi;
1. Hujaweka prince beam yaani nondo kwenye msingi.
2. Hujaweka beam/lenta tofali zimepanda hadi juu tu.
Huu ni ujenzi hafifu sana ulifaa uombe ushauri kabla ya kujenga.
Ungeweka beam ningekushauri uweke chicken wire then upige plasta upya ungekomesha hizo nyufa
Tofali za kuunga zikoje?Naomba unielimishe kuhusu hilo!Kama Una picha naombaBasi huko ni pakujengea tofali za kuunga tu au za udongo
Unamaanisha tofali za udongo ndiyo tofali za kuchoma?Vitu inavyoelekeza havijui mkuu hiyo ni nyumba ya matofali ya udongo halafu karashia lipu ya chokaa
Nitaufanyia kazi huu ushauri!Yaani unajua kabisa huko kuna matetemeko halafu unajenga "kimasikini" bila hata "lenta".
Vipi na majengo ya serikali yana nyufa huko hasa ya 2005 kurudi nyuma? Siyo haya majengo ya wananchi kujitolea.
Huko inahitajita lenta za kusuka nondo nne (12mm) kwenye msingi na juu ya madirisha siyo kulaza nondo moja tu tena 8mm.
Nashukuru kwa ushauri!Hiyo ni nyumba ya uani pamoja na kwamba Ina vyumba vinne vya kulala!Inamaana hakuna marekebisho yoyote yanayoweza kufanyika hata Kama ni makubwa?Kwa mfano nikianza kufumua kuta za juu na kumwaga lenta haitasaidia?Pia nikifumua huku chini kwenye msingi na kumwaga lenta ya chini hakusaidii?
Samahani,Nimechunguza kwa haraka harska naona vitu hivi;
1. Hujaweka prince beam yaani nondo kwenye msingi.
2. Hujaweka beam/lenta tofali zimepanda hadi juu tu.
Huu ni ujenzi hafifu sana ulifaa uombe ushauri kabla ya kujenga.
Ungeweka beam ningekushauri uweke chicken wire then upige plasta upya ungekomesha hizo nyufa
Hebu kuwa serious,,gharama ya kufanya vipimo vya udongo unadhani kila mwananchi anaweza kumudu, hapo unaongelea kuita Mwana Jiolojia na si Mhandisi....Kabla hujaanza ujenzi unatakiwa ufanye vipimo vya udongo je wewe ulifanya?
Ujenzi unasimamiwa na mainjinia je wewe uliajiri injinia asimamie kazi?
Je kwasababu uko eneo lenye tetemeko la ardhi ulikumbuka kulifikiria hili kabla hujaanza ujenzi wa msingi?
===
Tunakimbia gharama za kutumia wataalam alafu ela ambayo ingetumika kulipa mtaalam ndiyo inatumika kuziba ufa.