- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziAisee pole sana. Hasara hiyoooo...
Mimi sina utalaam wa ujenzi akini naweza kusema hizo craks zimetokama na msingi haukuwa imara na ujenzi wake uko kwnye udongo wa kutitia.
Nini Cha kufanya.: Inabidi upande huo ulio athirika ubomolewe hadi levo ya msingi then juu ya hapo ipigwe Reinforcement( mfano wa Slab ya Renta) ndipo juu yake ukuta upandishwe
Niko NsemulwaItasaidia,fanya hvyo
Uko katavi sehem gan?,