Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Relax gentleman,
makasiriko ni utumwa wa kuumiza roho yako mwenyewe,

siasa inahitaji tu hekima na busara mihemko ni ushirikiana kwenye siasa 🐒
Ushirikina kama ule wa wanaccm kumroga mwenyekiti wao Rais Samia? Kumbe kwa ccm ushirikina sio msamiati mpya bali ni tabia ya kawaida tuu!
 
Na wewe nawe
Unajulikana humu haumfagilii

We ye dokta wa mtandaoni!!!

Anza kuchekiwa wewe kwanza.. Na bado atawapa 💉💉💉 hadi muombe pooooo

Makonda oyeeeee
 
Ushirikina kama ule wa wanaccm kumroga mwenyekiti wao Rais Samia? Kumbe kwa ccm ushirikina sio msamiati mpya bali ni tabia ya kawaida tuu!
gentleman,
huna haja ya kubabaika na imani haba na fikra potofu..

Daima amini Mungu, na kwa kufanya hivyo utajikuta unapata mawazo mapya na fikra mbadala, na hatimae maono na mwangaza wa kusonga mbele huku wadau wengine wakikuunga mkono.🐒
 
Mtu mwenye busara hawezi kula mazuri ya nchi huku nchi ikipotea, lazima aionye!
Yaani wewe uzeeni ukiona wanao wanakwenda fyongo utawaacha tuu bila kuwapa mwongozo kwa vile unakula pension yako?
Utaonekana Babu jinga kama mzee Chigwemisye!
shida ni mbabu kujifanya Gen z 🤣

babu mzoefu na mwenye busara na hekima hapayukipayuki tu hovyo hovyo,

anaomba fursa kwa wahusika, anakaa nao, wanajadili mambo, wanashauriana na kupendekeza majawabu na suluhu ya kiungwana maslahi mapana ya Taifa,

kubweka bweka kama wale wa upinzani ni useless na completely nonsense. Utapuuzwa tu na hakuna atakaebabaika nae 🐒
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Hakuna Cha makosa, Makonda ni Kiongozi Bora anayemjua Mungu


Acha kuhangaika, na hata kama ana makosa, bado Alishamuomba Mungu wetu, Mungú anayesafisha Nyekundu kua Nyeupe.



Unahisi Nyomi la Makonda linapewa Hela???

Ni nani mwingine nchii hii mwenye ushawishi kama Makonda????
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.

View: https://www.facebook.com/reel/1339867310510087
 
Mtu mwenye busara hawezi kula mazuri ya nchi huku nchi ikipotea, lazima aionye!
Yaani wewe uzeeni ukiona wanao wanakwenda fyongo utawaacha tuu bila kuwapa mwongozo kwa vile unakula pension yako?
Utaonekana Babu jinga kama mzee Chigwemisye!
Hivi hawa wazee wapo au walishafariki dunia...?

1. John Malecela

2. Philip Mangula

3. David Cleopa Msuya

4. Edward Lowassa
 
Back
Top Bottom