Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

muungwana hana ajira,
nifuatilie nini tena na wakati jamaa anang'aa macho to street :pedroP:
Ngoja nikupe hii:
Mike Pompeo, the former U.S. Secretary of State, is currently engaged in various activities, primarily focused on public speaking, writing, and geopolitical analysis. He serves as a Distinguished Fellow at the Hudson Institute, where he contributes to discussions on national security, international relations, and global policy challenges. Recently, Pompeo has emphasized issues like U.S.-China relations, the war in Ukraine, and global trade【6】【7】.

Pompeo is also a sought-after speaker, delivering keynote addresses and moderated discussions on topics like leadership, international diplomacy, and business strategy. He continues to write and advocate for policies aligned with his experiences in government, including his book, Never Give an Inch, which outlines his views on America's role in global affairs【7】【8】.

Additionally, he remains an influential voice in conservative political circles, participating in events and sharing his insights on current geopolitical events【6】【8】.
Tlaatlaah wenzetu huko post za kisiasa sio zabkutumia kujitajirisha kama Bashite alivyokuwa anatumia kupora ili atajirike, huku US akili zako waweza kuzitumia kupata maisha bora tuu!
 
Siku moja akipata ujasiri wa kusema mbele ya hadhara kama hizo kilicho mtokea Ben Saanane, na alipo sasa; huo ndio utakao kuwa mwanzo wake wa kupona.

Vinginevyo, huyu ni mhanga tu, limebaki kuwa ni swala la muda; lini itakuwa kweli!
Una maana siku tukisikia "sio mimi, mshua alinikabidhi watch8 akiwa kamfunga pingu mikono na miguu na kuniambia nikamrushie yule chatu"
Ningefanyaje nami naipenda kazi yangu. Ndipo watu wa Arusha watakapo funguka macho na kumjua tapeli. Ni swala la muda tuu dalili zinaonyesha wazi.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
HUENDA NI KARMA ! Yeye atakuwa anajua sababu 🙏 !
 
Ngoja nikupe hii:
Mike Pompeo, the former U.S. Secretary of State, is currently engaged in various activities, primarily focused on public speaking, writing, and geopolitical analysis. He serves as a Distinguished Fellow at the Hudson Institute, where he contributes to discussions on national security, international relations, and global policy challenges. Recently, Pompeo has emphasized issues like U.S.-China relations, the war in Ukraine, and global trade【6】【7】.

Pompeo is also a sought-after speaker, delivering keynote addresses and moderated discussions on topics like leadership, international diplomacy, and business strategy. He continues to write and advocate for policies aligned with his experiences in government, including his book, Never Give an Inch, which outlines his views on America's role in global affairs【7】【8】.

Additionally, he remains an influential voice in conservative political circles, participating in events and sharing his insights on current geopolitical events【6】【8】.
Tlaatlaah wenzetu huko post za kisiasa sio zabkutumia kujitajirisha kama Bashite alivyokuwa anatumia kupora ili atajirike, huku US akili zako waweza kuzitumia kupata maisha bora tuu!
Na ndio kitu kikubwa kwa wenye Akili
Maisha bora sio utajiri wa kukwapua na kuonea wengine !!
 
Ngoja nikupe hii:
Mike Pompeo, the former U.S. Secretary of State, is currently engaged in various activities, primarily focused on public speaking, writing, and geopolitical analysis. He serves as a Distinguished Fellow at the Hudson Institute, where he contributes to discussions on national security, international relations, and global policy challenges. Recently, Pompeo has emphasized issues like U.S.-China relations, the war in Ukraine, and global trade【6】【7】.

Pompeo is also a sought-after speaker, delivering keynote addresses and moderated discussions on topics like leadership, international diplomacy, and business strategy. He continues to write and advocate for policies aligned with his experiences in government, including his book, Never Give an Inch, which outlines his views on America's role in global affairs【7】【8】.

Additionally, he remains an influential voice in conservative political circles, participating in events and sharing his insights on current geopolitical events【6】【8】.
Tlaatlaah wenzetu huko post za kisiasa sio zabkutumia kujitajirisha kama Bashite alivyokuwa anatumia kupora ili atajirike, huku US akili zako waweza kuzitumia kupata maisha bora tuu!
nilikwambia lakini kwamba jamaa hana ajira,
anachokifanya Pompeo ni sawa na alichokua anakifanya Makonda baada ya kupumzika ukuu wa mkoa wa DAR,



RC ni mtu mwingine kabisa saivi na ana ajira ya uhakika huku akiwatumikia wananchi kwa bidii, kizalendo na kwa weledi wa kiwango cha juu sana, bila kujivuna wala kumuonea mtu mwingine.

ila pompeo mpaka aitwe kwenye kuzungumza ni kama warioba tu :pulpTRAVOLTA:
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Bashite ni sikio la kufa.Hakuna wa kumsaidia.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Mwenye matatizo ya kisaikolojia ni nani? Makonda au wewe? Yaani umekaa unasubiri Makonda aongee ndio ukomenti halafu unajihisi wewe ni mzima? Wahi Milembe dogo!
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Nimeajaribu kulitazama lile tukio, honestly limenishangaza sana...

Ni wazi kuwa bado kiburi kinamsumbua. Hataki kufuata utaratibu sahihi wa ki - Mungu ktk kutengeneza mambo yake. Hataki kuubeba msalabani na kisha ndipo amfuate Yesu Kristo. Huyu ana roho ngumu ya kama Yuda Iskaroite au Mfalme Farao wa Misri...

Mathalani kama Paul Makonda ni Mkristo kwelikweli, ni kitu gani kinamshinda kwenda kwa mchungaji wa kanisa lake anakoabudia kila siku na kumweleza kila kitu juu ya matatizo yake kiroho na kisha apewe maelekezo ya namna ya kutua mzigo aliobeba? Asifikiri kwamba dhambi zake ni kubwa na nzito sana kiasi kwamba hazisameheki. La hasha Mungu anasamehe makosa yote hata kama aliua kweli. Anachotaka Mungu ni moyo uliopondeka na mnyenyekevu mbele zake. Hapendi kiburi na watu wenye kujikweza na kujikinai wenyewe....

Anapaswa kufanya kama mfalme Ahabu alivyofanya. Nabii Isaya alipompa ujumbe wa Mungu juu ya makosa yake na adhabu ya kifo iliyokuwa mbele yake, alochofanya mfalme ni kugeukia ukutani, kutubu kwa machozi kwa moyo wa dhati kabisa...

Mfalme Ahabu hakuwa na kiburi cha ujinga kama alichonacho Makonda bali alikuwa mnyenyekevu na mwenye moyo wa toba ya kweli.....

Mungu aliouona huo moyo wa toba wa mfalme Ahabu na kumsamehe na kuifuta adhabu iliyokuwa mbele yake na kumpa miaka 15 zaidi ya kuishi na kuendelea kuwa mfalme wa Israel na Yuda...

Makonda ukimwangalia tu na ukisikiliza kauli zake, unajua moja kwa moja kuwa huyu ni kiongozi mtu mnafiki, mwenye kiburi na asiye na unyenyekevu hata kidogo. Huyu ana roho ya Farao ndani yake na ndiyo inayomsumbua....

Kwenda hapo mbele ya kadamnasi na kujifanya kulia na kutoa machozi sio njia sahihi ya kutengeneza mambo yake...

Mungu anamsubiri tu. Anataka aone moyo wa unyenyekevu na wa toba. Bado haupo kwake na inashangaza hawa viongozi wa dini wanakosa macho ya kiroho kuona matatizo ya huyu ndugu ili wampe njia sahihi za kutengeneza mambo yake...

Huyu kama hatasimama hadharani mbele ya Watanzania wote na kuomba msamaha na specifically kuwaomba msamaha watu wote aliowaumiza kama Tundu Lissu, Mzee Joseph Warioba, Mch Josephat Gwajima na wengine, basi hataweza kuutua mzigo mzito alioubeba ndani ya nafsi yake...!!
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Mwenzio kitu kinanishangaza pamoja na hayo maruwe ruwe alokuwanayo, lakn Mamlaka za Uteuzi zikampa nafasi?
Serious kabisa Makonda ni wa kupewa Uteuzi???
Limenishangaza sana hili....
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Kuna damu za watu zinalia ndani yake sisi tunafikiri ni yeye analia kumbe wapi!
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Anatatizo kweli ana majini wale njano hawezi kujinasua
 
Una maana siku tukisikia "sio mimi, mshua alinikabidhi watch8 akiwa kamfunga pingu mikono na miguu na kuniambia nikamrushie yule chatu"
Ningefanyaje nami naipenda kazi yangu. Ndipo watu wa Arusha watakapo funguka macho na kumjua tapeli. Ni swala la muda tuu dalili zinaonyesha wazi.
Kumfuatilia anayo fanya Makonda ni kupoteza muda. Huyu anasubiri tu siku yake maalum; atakapo anza kulia kikweli kweli, siyo kwa maigizo kama hayo anayo fanya sasa.
 
"Umelazwa hospital Mwenzako(next bed) anaondoka we unarudi nyumbani"...

Hii ni Code hii... Tufungulieni..
 
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwanza usafi wa jiji amefanya?
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Hata mimi nahisi hivyo
 
Back
Top Bottom