Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Sasa kosa lake nini hapo hata kama anajutia hayo unayoyasema maovu, Mimi naona ni bora huyu anayejitahidi hata kuwakutanisha watanzania kumuomba Mungu pamoja kisha kuondoka na amani mioyoni. Makonda ni mbunifu wa mambo mema, na baadhi ya mikoa mingine wanatamani angekuwa mkuu wao wa mkoa.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Haki ya nani nimecheka kweli kweli. Aisee huyu jamaa ni msanii mzuri sana.
 
Sasa kosa lake nini hapo hata kama anajutia hayo unayoyasema maovu, Mimi naona ni bora huyu anayejitahidi hata kuwakutanisha watanzania kumuomba Mungu pamoja kisha kuondoka na amani mioyoni. Makonda ni mbunifu wa mambo mema, na baadhi ya mikoa mingine wanatamani angekuwa mkuu wao wa mkoa.
Mungu Hyu muuaji anamjua? Mnadanganyika na usanii wa huyu bweha!
 
Ukiwa mtenda maovu dhidi ya binadamu wenzako nafsi yako itateseka hadi kifo chako kitapowadia.
Kabisa. Jamaa mauaji aliyosimamia ya kina Ben Saanane ndiyo yanamtesa. Kuna siku atalia na kusaga meno kilio cha kweli na siyo huu uigizaji.
 
Marekani si walisema ana nyima watu haki ya kuishi tena aliyesema ni waziri wa mambo ya nje na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa CIA

Sisi huku kwetu ni Mkuu wa Mkoa. Anasali sasa hivi kuombea wananchi wake wasipatwe na urozi unaoendelea mikoa mingine 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mzee mwenzangu Kipara! Huyo hajamaliza bado ndio maana vilio kila siku hadharani kama binti mdogo aliyetolewa usichana (bik..) bila hiari.
Na kuropoka ropoka! Sasa mambo ya kurogwa Rais katika nchi isiyotambua uchawi si tunaonekana wehu? Na jee aliambiwa hayo na Rais wakiwa wapi? Mashaka makubwa haya, majibu mengi kwa swali hilo tuu!
Mkuu haya mambo ya rais kulogwa kayasema lini? Kumbe maushungi anaamini ulozi? Ndiyo maana nasema ikulu imeingiliwa.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Makonda ni mtu aliyepewa cheo kilichomzidi kimo.

Ndiyo maana anasema ovyo. Anaharibu kusema mpaka kwenye salamu za rambirambi ambazo hazina mambo mengi (rejea alivyochemsha kwenye msiba wa Mzee Reginald Mengi).

Tatizo hatupandishi watu ngazi kwa kuangalia weledi, tunapandisha ngazi kwa kuangalia uchawa na kujuana.

Na hizi kauli ni za kichawa za kujipalilia aonekane anamjali sana rais na wengine ni wabaya.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
DAMU ZA WATU ALIZOMWAGA ZINAMLILIA, WENGI WANAKUAGA MACHIZI
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Attention seeker mmoja asiyejitambua..
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Hii nchi jamani hivi ni nini hiki mbona wehu ndo wanapewa vyeo kutuongoza wenye akili timamu
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Uende ukaombewe ili chuki iishe moyoni mwako. Kuombewa ni hiari ya mtu kwani akiombewa wewe unaumia nini?.
 
Back
Top Bottom