Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
- Thread starter
- #41
Nakuomba uutafute wimbo wa Senzo unaitwa Guilty
View: https://youtu.be/YVwKkwHDb8A?si=ZNmUQOY3_VZrqyx-
Kwa faida ya wote humu jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuomba uutafute wimbo wa Senzo unaitwa Guilty
Nyie ndio wale wanaitwa "slow learners" bado tuu hujaelewa madhumuni ya thread? Uko kama yeye kumbe!Sasa kosa lake nini hapo hata kama anajutia hayo unayoyasema maovu, Mimi naona ni bora huyu anayejitahidi hata kuwakutanisha watanzania kumuomba Mungu pamoja kisha kuondoka na amani mioyoni. Makonda ni mbunifu wa mambo mema, na baadhi ya mikoa mingine wanatamani angekuwa mkuu wao wa mkoa.
Nilisha wahi kusema kuwa ukisha mwaga damu ya binadam mwezako hata wewe unakuwa umeuwa nafusi yako pia . Hata usipo kamatwa kwa mauwaji wewe mwenyewe utaiadhibu nafusi yako kwa maisha yako yote. Hakuna kitu kitakupa amani tena katika maisha yako yote. Hii na kwa mtu yoyote uwe una dini au huna dini damu ya mtu ni mbaya sana.Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Jamaa atakuwa ana changamoto ya afya ya akili..sio bureKwamba unataka kusemaje?
Na hapo kwa mkewe umetaka kusemaje?Jamaa atakuwa ana changamoto ya afya ya akili..sio bure
Wewe unaweza ishi nyumba moja,tena kitanda kimoja na mtu mwenye hiyo changamoto?Na hapo kwa mkewe umetaka kusemaje?
Usikute hata huyu tayari au anamuandaa kisaikolojia ili amuite kumuuliza ni nani wananiroga na unajua kinga iko wapi?Nahisi aliweza kumuingia Magufuli kwa gia hizohizo za kurogwa ili amletee Sangoma
Changamoto ipi mkuu big nyash?Wewe unaweza ishi nyumba moja,tena kitanda kimoja na mtu mwenye hiyo changamoto?
Dah soma vizuri texts zangu utanielewa..kwa ufupi jamaa upstairs hayupo poa, anaweza fanya lolote wakati wowote ..periodChangamoto ipi mkuu big nyash?
Nikajua unazungumzia mengine kumbe juu ya kichwaDah soma vizuri texts zangu utanielewa..kwa ufupi jamaa upstairs hayupo poa, anaweza fanya lolote wakati wowote ..period
muungwana hana ajira,Nani kakuambia anazurura mitaani? Fuatilia utafuta post yako mwenyewe!

Pia anavyoropoka ropoka hivi, ni AIBU kwa mkewe na familia kwa ujumlaNikajua unazungumzia mengine kumbe juu ya kichwa
Afanye haraka...maana anaishia kulia Lia tu majukwaanihakukosea! Ipo siku yaja! makonda atatamka hadharani alichofanya gizani! ipo siku
Siku moja akipata ujasiri wa kusema mbele ya hadhara kama hizo kilicho mtokea Ben Saanane, na alipo sasa; huo ndio utakao kuwa mwanzo wake wa kupona.Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.