Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

dah,
haya maisha bana ni fumbo kubwa sana,
yaani Pompeo hana ajira anazurura tu mtaani, Makonda anapeta tu serikalini :pedroP:
Nani kakuambia anazurura mitaani? Fuatilia utafuta post yako mwenyewe!
 
Sasa kosa lake nini hapo hata kama anajutia hayo unayoyasema maovu, Mimi naona ni bora huyu anayejitahidi hata kuwakutanisha watanzania kumuomba Mungu pamoja kisha kuondoka na amani mioyoni. Makonda ni mbunifu wa mambo mema, na baadhi ya mikoa mingine wanatamani angekuwa mkuu wao wa mkoa.
Nyie ndio wale wanaitwa "slow learners" bado tuu hujaelewa madhumuni ya thread? Uko kama yeye kumbe!
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Nilisha wahi kusema kuwa ukisha mwaga damu ya binadam mwezako hata wewe unakuwa umeuwa nafusi yako pia . Hata usipo kamatwa kwa mauwaji wewe mwenyewe utaiadhibu nafusi yako kwa maisha yako yote. Hakuna kitu kitakupa amani tena katika maisha yako yote. Hii na kwa mtu yoyote uwe una dini au huna dini damu ya mtu ni mbaya sana.
 
Nahisi aliweza kumuingia Magufuli kwa gia hizohizo za kurogwa ili amletee Sangoma
Usikute hata huyu tayari au anamuandaa kisaikolojia ili amuite kumuuliza ni nani wananiroga na unajua kinga iko wapi?
Na asivyo na huruma wala aibu anaweza wataja kina January, Nape, Dr Nchimbi, Majaliwa, Ĺukuvi nk katika wale walio karibu naye kupata nafasi.
Yaani full mentality za kichawi, chuki with no reason!
 
Maombi yake yakifanikiwa ooooh mkolomije mchawi............ushaambiwa kuwa mwenyezi mungu anapenda kusifiwa tu.........wala sio kingine sifa na utukufu ni wa kwake sio mwingine ..............na hilo pia unashindwa kutimiza???
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Huko kwenye mitandao Kuna watu wanamkweza kichizi makonda... Mpaka wamesahau huyu ndio alikuwa MaliyaMungu kwa Idd Amin au Heinrich Himmler kwa Hitler.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Siku moja akipata ujasiri wa kusema mbele ya hadhara kama hizo kilicho mtokea Ben Saanane, na alipo sasa; huo ndio utakao kuwa mwanzo wake wa kupona.

Vinginevyo, huyu ni mhanga tu, limebaki kuwa ni swala la muda; lini itakuwa kweli!
 
Back
Top Bottom