Msaada wa haraka unahitajika ili ndugu yangu apate haki yake

Ilipaswa watoto wa marehemu kutumia busara,. ingawaje busara si lazima itumiwe.
 

Watu Kama hao hakuna cha kuwafanyia uungwana.
Ni kuwafukuza tuu!

Usicheke na kima, narudia usicheke na kima
 

Uwe unabadilisha kila baada ya mwaka mmoja.
Hao watu sio watu.
Wanakujaga mikono nyuma Kwa huruma lakini siku wakianza tafrani hutokuja kuamini
 
Watu Kama hao hakuna cha kuwafanyia uungwana.
Ni kuwafukuza tuu!

Usicheke na kima, narudia usicheke na kima

Kabisa hao watu walileta ubabe kwenye mali za watu kisa wamekaa muda mrefu ,ni kufukuza tu ,nahisi Dina hajawahi kukutana na upuuzi wa hao watu,mimi nawajua vizuri ni wapuuzi na washenzi ,watoto wa marehemu wamefanya vizuri kuwafukuza maana inaonekana hawakuwa na kheri.
 
Ni washenzi na wachawi sana ,mimi kuna mtu aliniomba kukaa site nikachomoa mazima ,nili opt bora ikae bila mtu lakini kila week naenda kucheck na kufanya usafi,ningesema nimuweke kuhama ingekuja kuwa issue kubwa sana.
 
Ni washenzi na wachawi sana ,mimi kuna mtu aliniomba kukaa site nikachomoa mazima ,nili opt bora ikae bila mtu lakini kila week naenda kucheck na kufanya usafi,ningesema nimuweke kuhama ingekuja kuwa issue kubwa sana.
Mara unarogwa unaisahau kabisa
 
Hawa huwaga wakikaa vijiweni wanadanganyana kwamba ukikaa kwenye shamba la mtu kwa miaka 10 na kupanda miti kadhaa shamba linakuwa mali yako
 
Hivi mkuu wewe kwa mfano umeajiriwa mahali tufanye kwenye kampuni ya muhindi halafu unaona mwezi wa kwanza hujalipwa,mwezi wa pili hakuna mshahara,mwezi wa 3 hakuna mshahara hadi inafika mwaka hujalipwa mshahara bado utaendelea tu kufanya hiyo kazi?mbona haiingii akilini
 
Hapo muachie shamba la marehemu kama kuna fadhila watoto wa marehemuwatawafikiria, lakini hapo hamna haki ya ndugu yako.
 
No inategemea huyo mzee mlinzi aliwaingia vipi hao watoto aa marehemu.
Angeenda kwa gia ya kuwaomba pengine wangemsaidia ila yeye ameenda kwa gia ya kibabe kwa kusema shamba ni mali yake
 
Atapandaje mazao ya kudumu katika shamba ambalo sio lake?
 
Haki gani hiyo? Wakati aliambiwa akae tu na hakupewa shamba mwambie ndugu yako haache tamaa na dhuluma yeye aongee nao vizuri tu waone namna ya kumsaidia na siyo lazima maana kaachiwa shamba miaka kumi kama angekuwa makini angekuwa tajiri kwa kuachiwa shamba miaka yote hiyo tena aliachiwa bure bila kukodishwa, Tatizo la watu wengi wakiwekwa shehemu waangali shamba au nyumba utakuta wanajisahau sana, Mimi mzee wangu alijenga nyumba wakati yupo kija kwaiyo akaona nyumba isikae bila mtu akampa mzee mmoja ili aishi tena bure!! Sasa mzee akawa anataka kuifanyia finishi hiyo nyumba yake sasa yule mzee ana ambiwa aondoke kwenye nyumba hataki, wakati kaachwa kaishia miaka 6 buree, kwaiyo mtoa mada Mwambie huyo ndugu yako aondoke awaachie watoto mali zao.
 
Sasa yeye miaka 10 yote alishindwa kujiendeleza kiuchumi na wakati alijua kabisa hilo shamba silo lake na kama alikuwa msimamizi ni lazima alikuwa ana jilipa kupitia hilo shamba, na mpaka kaachiwa shamba aliangalie bas huyo mwenyeshamba alikuwa anaishi mkoa mwingine na ni mfanyakazi na alikuwa hana muda wa kulisimamia na watoto wake walikuwa wasoma au walikuwa bado wadogo na walikuwa hawalifatlii si unajua watoto wa mjini hawafatiliagi mambo mpaka mzazi afariki ndiyo wanaanza kujua vitu vya wazazi.
 
akafungue kesi mahakamani kuomba fidia.. wakati akingojea kesi iiishe aombe zuio la muda kuzia hao ndugu wasichukue eneo mpaka kesi iishe
Mkuu fidia gani tena wakati alipewa shaamba aliangalie na kupewa ifadhi ina maana alikuwa anafanya shughuli za kiuchumi kwenye hilo shamba ndani ya miaka kumi bila kulipia, yeye ndo amenufaika na siyo watoto wa marehemu, miaka kumi yote hiyo, mfano umeachiwa shamba utashindwa kujiongeza na wewe uwe na kwako, na usikute alikuwa free kulima mazao na kuuza bila kuulizwa chochote.
 
What if na watoto wakimdai kodi ya kukaa hapo bure bila malipo ?

Maana hata yeye alifaidika kwa kuishi bure hapo, angalieni pande zote.
 
Alipwe tena wakati walikubaliana alinde bila malipo ?na yeye si kahifadhiwa bure miaka yote hiyo?
Tena umenishtua kuna jamaa shamba huko ngoja nikabadilishe.
Hamna kulinda muda mrefu pumbavu.
Utakuta mtu anapewa nyumba au shamba alinde na kuishi hapo hapo utakuta anaishi miaka mingi anao na kuzaa watoto wanafika mpaka Secondary siku akiambiwa atoke anakuwa mgumu kweli, ushauri tusiweke waangalizi kwenye viwanja, mashamba, Nyumba kwa miaka mingi huwa wana jisahau wanaona kama wamiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…