mtu mweusi ni kiumbe cha ajabu zaidi duniani. ukimtendea wema atakulipa ushenzi. kumfanyia hisani mtu mweusi ni sawa na kucheza kamari.Mdada tulikua tunaishi nae vizuri tu tunacheka tunapiga story kama ndugu washkaji .ila kuna vitu vilimshinda (mtoto n special case)...ila km ameshindwa yy angeondoka tu asiguse kitu cha mtu ingekua vizuri zaidi
huna ndugu zake unawajua? ulimchukua kienyeji?